Karikenye
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 564
- 280
Wakuu habari za Usiku...
Ninatumia modem ya Vodacom ya kuwela line ya simu na nimeweka VODA BOMBA ya kulipia 30,000/= kwa mwezi tatizo tangu Ijumaa haitaki ku access website ya yahoo so siwezi ku access mail box yangu... nifanyeje wajameni??? Arrrrrrghhhhhhhh!!!:A S cry:
Ninatumia modem ya Vodacom ya kuwela line ya simu na nimeweka VODA BOMBA ya kulipia 30,000/= kwa mwezi tatizo tangu Ijumaa haitaki ku access website ya yahoo so siwezi ku access mail box yangu... nifanyeje wajameni??? Arrrrrrghhhhhhhh!!!:A S cry: