OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 54,499
- 123,146
Hii ni Trela Tu
View: https://youtu.be/EjzqLZbmJto?si=ZMWXt4D1JRAGS8C_
Hizi ni rasharasha kuelekea Tamko kuu la Kanisa
Baba Askofu ameamua kuwachana tu No reform no Election hata ccm wanaitaka ila wamejificha
View: https://youtu.be/EjzqLZbmJto?si=ZMWXt4D1JRAGS8C_
Hizi ni rasharasha kuelekea Tamko kuu la Kanisa
Ni Mjinga pekee na mhubiri fake anayeweza kusema Tanzania hii ina viongozi watenda haki.Ukiona hadi Viongozi wa Dini wameanza kuhubiri haki, ujue huo msamiati umekuwa adimu Kwa Watawala
Hizo faulo wanazozifanya Kwa wapinzani wao zitakuwa zimefika hadi madhabahuni
Bahati mbaya tumekubali kugawanywa Kwa Imani zetuNi Mjinga pekee na mhubiri fake anayeweza kusema Tanzania hii ina viongozi watenda haki.
Tunaendelea kusali sana Unabii Utimie Mwaka huu.
Amen
No Reforms No Election inaelekea kuwa wimbo wa taifa.Hizi ni rasharasha kuelekea Tamko kuu la Kanisa
Kwisha habari yenu Mariah sarungi anasemaje atakuwepo mahakamani!Mungu libariki Kanisa
Amen.Ni Mjinga pekee na mhubiri fake anayeweza kusema Tanzania hii ina viongozi watenda haki.
Tunaendelea kusali sana Unabii Utimie Mwaka huu.
Amen
😡Kwisha habari yenu Mariah sarungi anasemaje atakuwepo mahakamani!
Kwahiyo mzee Wasira, Amos Makala, Emanuel Nchimbi , meigulu nchemba ,na dk tulia akson pia ni Imani Moja na madam president?!Bahati mbaya tumekubali kugawanywa Kwa Imani zetu
Wenzetu wamesimama naye kwakuwa anatokana na Imani yao
Na hawa wengine wanavyoendelea kumsahihisha, wale wengine watasema ni kwasababu sio wa kwao
Kwa kweli haki imekuwa Uhaini kwasasa
Ni wapuuzi tu wanaosimama na udhalimu kwa sababu ya imani.Bahati mbaya tumekubali kugawanywa Kwa Imani zetu
Wenzetu wamesimama naye kwakuwa anatokana na Imani yao
Na hawa wengine wanavyoendelea kumsahihisha, wale wengine watasema ni kwasababu sio wa kwao
Kwa kweli haki imekuwa Uhaini kwasasa
Wimbo wa Taifa wakati ndani ya chadema kwenyewe Kuna watu hawakubaliani na sera hiyo ya vurugu kama G55 na pia akina Halima Mdee na wenzake 18 ?!No Reforms No Election inaelekea kuwa wimbo wa taifa.
Inatakiwa kote na walio wengi..
View: https://youtu.be/eYqrDjwkZ1E?si=E83BhpzkGMOxFFhg
Wachawi wanatoka nje wanaingia ndani. We hujawahi kuwangiwa ma majirani?Wimbo wa Taifa wakati ndani ya chadema kwenyewe Kuna watu hawakubaliani na sera hiyo ya vurugu kama G55 na pia akina Halima Mdee na wenzake 18 ?!
Dogo,Wimbo wa Taifa wakati ndani ya chadema kwenyewe Kuna watu hawakubaliani na sera hiyo ya vurugu kama G55 na pia akina Halima Mdee na wenzake 18 ?!
Mamluki.....Double agentsDogo,
Hao siyo wa Chadema, ni mamluki wa ccm
Hiyo tume waunde za huko kwao kwa ajili ya chaguzi zao, tume yetu ni huru hao wapumbavu wasitake kulazimisha matokeo
View: https://youtu.be/EjzqLZbmJto?si=ZMWXt4D1JRAGS8C_
Hizi ni rasharasha kuelekea Tamko kuu la Kanisa