Pre GE2025 Rapa Fid Q aachia ngoma mpya inayoitwa "Kazi Na Utu Tunasonga Mbele"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sina muda mchafu wa kuisikiliza, na wasanii sasa hivi baada ya kugeuka machawa naona wanapumulia mashine kwani hakuna mwenye muda na mapambio yao.
TUMEWACHOKA
Na Bado, mtachoka zaidi. Nyie mnapiga matone tone huko halafu mnataka wenzenu wafe njaa........ pumbaaav!!
 
Back
Top Bottom