Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,415
- 906
Rapa Fid Q aachia ngoma mpya inayoitwa "Kazi Na Utu Tunasonga Mbele"
Ameshaishiwa Huyo hana jipyaChawa wa majizi ya Ccm
Na mwana FA akitoka tu ndio basi tenaAmeshaishiwa Huyo hana jipya
Wanasafiria upepo wa mwana fa
No reform no electionBila ya Tume HURU yote hayo hayasaidii.
View attachment 3291982
Na Bado, mtachoka zaidi. Nyie mnapiga matone tone huko halafu mnataka wenzenu wafe njaa........ pumbaaav!!Sina muda mchafu wa kuisikiliza, na wasanii sasa hivi baada ya kugeuka machawa naona wanapumulia mashine kwani hakuna mwenye muda na mapambio yao.
TUMEWACHOKA