Range Rover ya Wema yakamatwa tena

Ok..Ntakuwa nimechanganya na alizo vaa ndani
IMG-20160108-WA0014.jpg
IMG-20160108-WA0014.jpg




enzi hizi wemer asingempenda dai haahahahaha na hawwa madem sijui hata dai akiwaona anawapa hi kweli maake sahizi kawa matawi ya juu au huyu ni wema?
 
Hai sio TRA, hao ni wamachinga walikuwa wanamuuzia kokoto kwa ajili ya jumba lake jipya analojenga Mbezi beach. Yaani hamuoni kokoto hapo pembeni?
 
Waliomtuma kutukana watu wenye umri sawa na marehemu Baba yake wakamsaidie sasa!

Mama ongea na mwanao!
 
Sudybrown amesema amedakwa na Kina Zakayo aka Watoza Ushuru na kuanza kumuanzishia Akapiga wimbo wa Zogo Huyo akapiga wimbo wa tundra mama kijacho.
 
Back
Top Bottom