Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,253
- 122,342
- Thread starter
- #41
Shukran katheeran mkuu.Dah hilo tukio limeni-inspire sana. Wapo binadamu wachache sana ambao wanatamani dunia hii iwe sehemu nzuri ya kuishi na wewe Nyani Ngabu ni mmoja wapo japokuwa sikufahamu kwa kina.
Yaani kwa mfano ningekuwa na uwezo, ningewachukua watoto wote walio yatima na kuwatunza.
Basi tu sina huo uwezo.
Matendo ya wema hunigusa sana, na haijalishi ni tendo kubwa kiasi gani.
Kile kitendo cha mtu tu kuamua kutenda wema kwa mtu asiyemjua kwangu linasema mengi sana.
Wema bado upo hapa duniani.