Raisi wa Israel ataka wawe na nchi moja na Wapalestina

Wamiliki halali ni nani? Wapalestina walikuwa wamiliki wa eneo la Israel halali kuanzia lini?

Acheni kupotosha ukweli.

Hakuna nchi inaitwa palestina. Eneo lile lote ni la Israel na kama wapalestina wantaka kuishi Isreal wakubali ukweli kwamba wao ni wakuja, wapewe uraia wawe raia wa Isreal.
we mwehu hii historia ulisomea wapi, acha kupelekeshwa na mizuka plus mahaba na mihemko.. ekeza ukweli sio ushuzi huu
 
Kwani kuna sehemu yoyote kwenye biblia imeandikwa kuwa Mungu amewapa wapalestina Lebanon na Misri?.
Ahaaa kumbe ndo maana mnafukuzwa usa hadi mnaanza kulia lia rudin kwenu mkatulie muuwane vizur mwahi zile bikira 72 mlizoaidiwa na allah
 
nonsense and bullshit, hao wazayuni walorejea israel kwa wingi baada ya vita vya pili vya dunia hawana haki ya kuonea wezao ambao wameishi eneo hilo kwa maelfu ya miaka israel-palestina ni kheri wawe nchi moja na waishi kwa amani huo upopompo wa kudai mungu ndo mwanzilishi wa zogo lao ni upumbavu, mapigano baina yao hayana maana, waelewane tu, haina jinsi
na unaposema wapalestina hawana haki pale mbona dunia hiyohiyo haiwanyimi haki wale wazungu wa sauzi ama wazungu walohamia amerika na kwengineko, watu wakishaishi kwa karne na karne mahala wanakuwa na haki ya kuwa wenyeji, sasa hao wapalestina wapo pale for thousands of years.
Hakika sijawahi kusikia Mungu ni mbumbavu, amekusikia!
 
Wamiliki halali ni nani? Wapalestina walikuwa wamiliki wa eneo la Israel halali kuanzia lini?

Acheni kupotosha ukweli.

Hakuna nchi inaitwa palestina. Eneo lile lote ni la Israel na kama wapalestina wantaka kuishi Isreal wakubali ukweli kwamba wao ni wakuja, wapewe uraia wawe raia wa Isreal.
Wapalestina walikuja kutoka wapi? Maana wayahudi tunajuwa walipotoka.
 
Sidhani kama Wazayuni wanaweza kukubali kukaa kwenye hema moja na Wapalestina; Kinyume chake pia sidhani kama Wapalestina wanaweza kukubali kuitwa Waisraeli.
Mwarobaini wa haya yote ni kutengeneza kwanza nchi ya Palestina ndiyo muwaulize kama wanakubali kuungana na Israel au lah!
Wala sidhani kama ni issue ya Wazayuni tu. Nina hakika hata Wapalestina hawawezi kukubali kupoteza utambulisho wao.
 
Wapalestina walikuja kutoka wapi? Maana wayahudi tunajuwa walipotoka.


03990_000_bible-map-2.jpg


SettingOfHagarAndIshmael.jpg



maps-bible-archeology-exodus-ishmaelites-amalekites.jpg
 
Ni vigum sana maana wana religious disputes thus y kna kitu kina itwa middle east criss ntill leo ipo....
 
Wayahudi Kuishi pamoja na Wafilisti Magovi haikuwezekana kitambo na haiwezekani sasa
 
Hivi Biblia inasema sisi Watanzania tulipewa ardhi gani?
Usikute labda hii Tanzania sisi ni wavamizi tu!
 
Ndo mshabakiza hayo hayo baada ya kuona dini yenu haiwez kuhubirika pasipo kuingiza uongo na kuchanganya imani za watu na watu wa imani nyingine
Labda kukusaidia uislamu ni dini inayoji pambanua.kuna sura nyingi ambazo zinamzungumzia yakobo kuwa alikuwa muislam
 
Back
Top Bottom