Rais wa BRAZIL akimbia ikulu(Alvorada Palace) kisa MIZIMU (GHOSTS)/Mambo ya kishirikina

Naye atakuwa impeached na hao ghosts soon kuanzia sasa

Fikiria unataka kutia sain sheria fulani mara karatasi linapotea
Unahutubia mara unakabwa kikohozi na kushindwa kupumua vyema

Lazima uachie madaraka bila shuruti
Hahahahahahaha hatari sanaaaa
 
Hata Mkapa alikimbia ikulu akawa analala kwake Sea View pale kwa sababu hizo hizo.

Ila sisi hatusemi tu.
Hata Kikwete aisee.... Nasikia na Magufuli naye vivyo hivyo!!!

Ndo maana JK alikua kutwa kiguu na njia!!
 
Naye atakuwa impeached na hao ghosts soon kuanzia sasa

Fikiria unataka kutia sain sheria fulani mara karatasi linapotea
Unahutubia mara unakabwa kikohozi na kushindwa kupumua vyema

Lazima uachie madaraka bila shuruti
 
Wakaachie ikulu ka Michelzinho kajimwage si wanasema kenyewe kanafurahia mazingira?
 
Back
Top Bottom