Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amuiga Rais Magufuli

Ndi tatizo la ninyi wapinzani ni uzushi Period!
Kwanini usicheki dampo kama ninachokwambia ni uongo?
Kama unaona uongo mimi siwezi kukulazimisha uone ukweli ulio mbele yako. Nimeomba ushauri wewe unataka kujua mimi ni nani. Mimi ni mtanzania ambaye naenjoy anonymity ya JF. Ningetaka unifahamu ningejiandika jina langu kama baadhi ya members. Sijawahi kuwa kwenye chama chochote, but I have my principles. Anayeona nilichokisema kina mshiko basi afanyie kazi.

Ukweli ni huu: namkubali Magufuli, kumkubali huko hakunifanyi mimi kuwa na upofu. Wrong is wrong hata kama kitu kinafanywa na right person.
 
Kubana Matumiz hakukuanza na Magufuli ni toka enzi za JK matumiz yalibanwa sana. Nyinyi wote ni mashahid pesa ya RADA ilivyotumika. Pia tulikuwa na jeshi dogo la kisasa. Balozi chache nje ya nchi. n.k.


Hivi mtu kam wewe pia great thinker??jk nae alibana matumixi kwa kusafiri mara500 na mawaziri60 stupid kabisa rudi facebook
 
Zuma yupo analihutubia Bunge, amechukua hatua za kukata matumizi ya serikali sawasawa kabisa na alivyofanya Magufuli , mfano safari za nje lazima zizipate kibali, sherehe za kibunge, kusafiri nje na delegation kubwa marufuku na mengine mengi.

Ama kweli Magufuli ni mfano duniani!

Source : Zuma’s resolution to make drastic changes - Capetimes | IOL | Breaking News | South Africa News | World News | Sport | Business | Entertainment | IOL.co.za

These measures are common practices for a government that is service oriented, these are not magufuli's. Serikali zote ambazo zimeendelea zimekuwa ziki-practise mambo haya hata kabla ya magufuli hajafikiria uraisi
 
Back
Top Bottom