Rais Samia: Pikipiki zako za CCM zimeongeza ufanisi wa kiutendaji, zilizobaki naomba wapewe wenyeviti wa kata

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Oct 7, 2020
1,603
1,500
Chama cha Mapinduzi kimejizatiti kwa kuongeza ufanisi ktk ngazi za chini kupitia program ya kugawa Pikipiki maarufu kwa Pikipiki za Samia Suluhu.

Hata hivyo baada ya kuzigawa kwa walengwa (Makatibu Kata, Makatibu wa Jumuiya Vijana, Wanawake, na Wazazi) nchi nzima kuna zilizobakizwa bila kugawiwa. Ni dhahili kuwa kutokana na uhitaji wa pikipiki haziwezi kuenea kila kiongozi wa CCM.

Pamoja na hayo katika ngazi ya kata kiongozi mwenye chama ni MWENYEKITI WA KATA husika. Sasa kitendo cha wasaidizi wake kupata Pikipiki halafu yeye akiwa kando inaweza kutafsiriwa kuwa wametengwa - lkn pia hili linakuwa kama linawashushia hadhi ya uongozi dhidi ya wanaowaongoza. HIVYO NASHAURI:

Soma Pia:

* Pikipiki zilizobakizwa baada ya Makatibu wa kata kugawiwa wapewe WENYEVITI;

* Uchaguzi wa Serikali za mitaa umefika - viongozi hawa wapewe semina ili wasijitenge na mchakato ulioko mbele yao;

* CCM ibaki kuwa kimbilio la wanyonge.
 
Chama cha Mapinduzi kimejizatiti kwa kuongeza ufanisi ktk ngazi za chini kupitia program ya kugawa Pikipiki maarufu kwa Pikipiki za Samia Suluhu.

Hata hivyo baada ya kuzigawa kwa walengwa (Makatibu Kata, Makatibu wa Jumuiya Vijana, Wanawake, na Wazazi) nchi nzima kuna zilizobakizwa bila kugawiwa. Ni dhahili kuwa kutokana na uhitaji wa pikipiki haziwezi kuenea kila kiongozi wa CCM.

Pamoja na hayo katika ngazi ya kata kiongozi mwenye chama ni MWENYEKITI WA KATA husika. Sasa kitendo cha wasaidizi wake kupata Pikipiki halafu yeye akiwa kando inaweza kutafsiriwa kuwa wametengwa - lkn pia hili linakuwa kama linawashushia hadhi ya uongozi dhidi ya wanaowaongoza. HIVYO NASHAURI:

Soma Pia:
* Pikipiki zilizobakizwa baada ya Makatibu wa kata kugawiwa wapewe WENYEVITI;

* Uchaguzi wa Serikali za mitaa umefika - viongozi hawa wapewe semina ili wasijitenge na mchakato ulioko mbele yao;

* CCM ibaki kuwa kimbilio la wanyonge.
Pikipiki zaidi ya 18,000 zimeagizwa na SSH zenye hadi chapa SSH-2025 kwa ajili ya kampeni zake, huyu mama kweli anatutendea haki na fedha zetu? Unajua ni kiasi gani cha fedha kimetumika hapo na kutakuwa na manufaa gani kwa nchi? Ni angalu 50bn zimetumika kwa ajili ya kuhonga watu kwa kutumia pikipiki na utaona kuana mtanzania anashabikia hilo wakati hana maji safi wala barabara kwenda kwao!
 
Back
Top Bottom