Rais Samia ni taa juu ya kilele cha mlima na pumzi mpya kwa Watanzania

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
29,880
21,083
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika ninamshukuru Sana Mwenyezi Mungu kwa Kupata Bahati ya kipekee na adimu ya kuongozwa na Rais Samia Akiwa ni Rais Wa Nchi ,Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Ni historia kwangu ambayo najivunia na ambayo nitaisimulia kwa wengi wajao panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu kama ataendelea kunipatia uhai na uzima na miaka Mingi hapa Duniani.

Huyu Mama Yangu ,Mama yetu na Rais wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania namuona na kumtazama Kama Taa juu ya kilele cha Mlima. Ni Taa ya matumaini, Ni Taa ambayo kila mmoja akiitazama analiona pambazuko la tumaini la Maisha yake, anaona pambazuko la ndoto yake ,anaona pambazuko la uchumi wake ,anaona pambazuko la biashara na kuinuka kwake kiuchumi.

Namuona Rais Samia Kama Pumzi mpya kwa waliokata tamaa,pumzi mpya kwa walio ishiwa matumaini,pumzi mpya kwa walio ishiwa nguvu. Ni pumzi mpya kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu, ni pumzi mpya kwa wakulima, wafanyakazi wa umma, vijana wa bodaboda, wafanyabiashara, mama ntilie, vijana wanaojiunga na Elimu ya sekondari.

Ni pumzi mpya kwa sababu wakulima wakilima wanapatiwa soko la uhakika kwa mazao yao baada ya kuwa wamepewa Ruzuku kwa wakati, ni pumzi kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu ambapo sasa wana Matumaini ya kupata ajira hata kama siyo wote wanaopata lakini vijana wanakuwa na imani mioyoni mwao kuwa ipo siku ndoto itatimia ya kuingia kwenye utumishi wa umma.

Ni pumzi mpya kwa watumishi wa umma ambao wanao namna ambavyo Mama anaendelea kuboresha maslahi yao na pamoja na kuongeza nyongeza ya mishahara yao kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu na hata sasa wanasubiri Mei mosi ifike ili wasikie Sauti ya Mama kuwahusu Watoto wake ambao kwa hakika wanampenda sana na wao pia wanatambua upendo mkubwa alionao Mama kwao.

Kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuombea huyu Mama,kumuunga mkono na kumpatia ushirikiano. Tusimvunje moyo na tusikubali wenye chuki binafsi wakamshambulia Mama na kumkwamisha . Tusimame na mama na tuwe upande wa Mama kama ambavyo naye amekuwa nasi wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika ninamshukuru Sana Mwenyezi Mungu kwa Kupata Bahati ya kipekee na adimu ya kuongozwa na Rais Samia Akiwa ni Rais Wa Nchi ,Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Ni historia kwangu ambayo najivunia na ambayo nitaisimulia kwa wengi wajao panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu kama ataendelea kunipatia uhai na uzima na miaka Mingi hapa Duniani.

Huyu Mama Yangu ,Mama yetu na Rais wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania namuona na kumtazama Kama Taa juu ya kilele cha Mlima. Ni Taa ya matumaini, Ni Taa ambayo kila mmoja akiitazama analiona pambazuko la tumaini la Maisha yake, anaona pambazuko la ndoto yake ,anaona pambazuko la uchumi wake ,anaona pambazuko la biashara na kuinuka kwake kiuchumi.

Namuona Rais Samia Kama Pumzi mpya kwa waliokata tamaa,pumzi mpya kwa walio ishiwa matumaini,pumzi mpya kwa walio ishiwa nguvu. Ni pumzi mpya kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu, ni pumzi mpya kwa wakulima, wafanyakazi wa umma, vijana wa bodaboda, wafanyabiashara, mama ntilie, vijana wanaojiunga na Elimu ya sekondari.

Ni pumzi mpya kwa sababu wakulima wakilima wanapatiwa soko la uhakika kwa mazao yao baada ya kuwa wamepewa Ruzuku kwa wakati, ni pumzi kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu ambapo sasa wana Matumaini ya kupata ajira hata kama siyo wote wanaopata lakini vijana wanakuwa na imani mioyoni mwao kuwa ipo siku ndoto itatimia ya kuingia kwenye utumishi wa umma.

Ni pumzi mpya kwa watumishi wa umma ambao wanao namna ambavyo Mama anaendelea kuboresha maslahi yao na pamoja na kuongeza nyongeza ya mishahara yao kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu na hata sasa wanasubiri Mei mosi ifike ili wasikie Sauti ya Mama kuwahusu Watoto wake ambao kwa hakika wanampenda sana na wao pia wanatambua upendo mkubwa alionao Mama kwao.

Kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuombea huyu Mama,kumuunga mkono na kumpatia ushirikiano. Tusimvunje moyo na tusikubali wenye chuki binafsi wakamshambulia Mama na kumkwamisha . Tusimame na mama na tuwe upande wa Mama kama ambavyo naye amekuwa nasi wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo taa inakumulika k...nduni kwako tu. Shetani. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika ninamshukuru Sana Mwenyezi Mungu kwa Kupata Bahati ya kipekee na adimu ya kuongozwa na Rais Samia Akiwa ni Rais Wa Nchi ,Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Ni historia kwangu ambayo najivunia na ambayo nitaisimulia kwa wengi wajao panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu kama ataendelea kunipatia uhai na uzima na miaka Mingi hapa Duniani.

Huyu Mama Yangu ,Mama yetu na Rais wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania namuona na kumtazama Kama Taa juu ya kilele cha Mlima. Ni Taa ya matumaini, Ni Taa ambayo kila mmoja akiitazama analiona pambazuko la tumaini la Maisha yake, anaona pambazuko la ndoto yake ,anaona pambazuko la uchumi wake ,anaona pambazuko la biashara na kuinuka kwake kiuchumi.

Namuona Rais Samia Kama Pumzi mpya kwa waliokata tamaa,pumzi mpya kwa walio ishiwa matumaini,pumzi mpya kwa walio ishiwa nguvu. Ni pumzi mpya kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu, ni pumzi mpya kwa wakulima, wafanyakazi wa umma, vijana wa bodaboda, wafanyabiashara, mama ntilie, vijana wanaojiunga na Elimu ya sekondari.

Ni pumzi mpya kwa sababu wakulima wakilima wanapatiwa soko la uhakika kwa mazao yao baada ya kuwa wamepewa Ruzuku kwa wakati, ni pumzi kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu ambapo sasa wana Matumaini ya kupata ajira hata kama siyo wote wanaopata lakini vijana wanakuwa na imani mioyoni mwao kuwa ipo siku ndoto itatimia ya kuingia kwenye utumishi wa umma.

Ni pumzi mpya kwa watumishi wa umma ambao wanao namna ambavyo Mama anaendelea kuboresha maslahi yao na pamoja na kuongeza nyongeza ya mishahara yao kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu na hata sasa wanasubiri Mei mosi ifike ili wasikie Sauti ya Mama kuwahusu Watoto wake ambao kwa hakika wanampenda sana na wao pia wanatambua upendo mkubwa alionao Mama kwao.

Kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuombea huyu Mama,kumuunga mkono na kumpatia ushirikiano. Tusimvunje moyo na tusikubali wenye chuki binafsi wakamshambulia Mama na kumkwamisha . Tusimame na mama na tuwe upande wa Mama kama ambavyo naye amekuwa nasi wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukiambiwa ule kinyesi chake utafakamia huku unakata miuno.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika ninamshukuru Sana Mwenyezi Mungu kwa Kupata Bahati ya kipekee na adimu ya kuongozwa na Rais Samia Akiwa ni Rais Wa Nchi ,Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Ni historia kwangu ambayo najivunia na ambayo nitaisimulia kwa wengi wajao panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu kama ataendelea kunipatia uhai na uzima na miaka Mingi hapa Duniani.

Huyu Mama Yangu ,Mama yetu na Rais wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania namuona na kumtazama Kama Taa juu ya kilele cha Mlima. Ni Taa ya matumaini, Ni Taa ambayo kila mmoja akiitazama analiona pambazuko la tumaini la Maisha yake, anaona pambazuko la ndoto yake ,anaona pambazuko la uchumi wake ,anaona pambazuko la biashara na kuinuka kwake kiuchumi.

Namuona Rais Samia Kama Pumzi mpya kwa waliokata tamaa,pumzi mpya kwa walio ishiwa matumaini,pumzi mpya kwa walio ishiwa nguvu. Ni pumzi mpya kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu, ni pumzi mpya kwa wakulima, wafanyakazi wa umma, vijana wa bodaboda, wafanyabiashara, mama ntilie, vijana wanaojiunga na Elimu ya sekondari.

Ni pumzi mpya kwa sababu wakulima wakilima wanapatiwa soko la uhakika kwa mazao yao baada ya kuwa wamepewa Ruzuku kwa wakati, ni pumzi kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu ambapo sasa wana Matumaini ya kupata ajira hata kama siyo wote wanaopata lakini vijana wanakuwa na imani mioyoni mwao kuwa ipo siku ndoto itatimia ya kuingia kwenye utumishi wa umma.

Ni pumzi mpya kwa watumishi wa umma ambao wanao namna ambavyo Mama anaendelea kuboresha maslahi yao na pamoja na kuongeza nyongeza ya mishahara yao kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu na hata sasa wanasubiri Mei mosi ifike ili wasikie Sauti ya Mama kuwahusu Watoto wake ambao kwa hakika wanampenda sana na wao pia wanatambua upendo mkubwa alionao Mama kwao.

Kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuombea huyu Mama,kumuunga mkono na kumpatia ushirikiano. Tusimvunje moyo na tusikubali wenye chuki binafsi wakamshambulia Mama na kumkwamisha . Tusimame na mama na tuwe upande wa Mama kama ambavyo naye amekuwa nasi wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🚮
 
.
 

Attachments

  • images - 2025-03-30T152501.267.jpeg
    images - 2025-03-30T152501.267.jpeg
    10 KB · Views: 1
Mods unga hii na huu...

Anzisha jukwaa lako ndio uwe unawapangia watu masharti yako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika ninamshukuru Sana Mwenyezi Mungu kwa Kupata Bahati ya kipekee na adimu ya kuongozwa na Rais Samia Akiwa ni Rais Wa Nchi ,Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Ni historia kwangu ambayo najivunia na ambayo nitaisimulia kwa wengi wajao panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu kama ataendelea kunipatia uhai na uzima na miaka Mingi hapa Duniani.

Huyu Mama Yangu ,Mama yetu na Rais wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania namuona na kumtazama Kama Taa juu ya kilele cha Mlima. Ni Taa ya matumaini, Ni Taa ambayo kila mmoja akiitazama analiona pambazuko la tumaini la Maisha yake, anaona pambazuko la ndoto yake ,anaona pambazuko la uchumi wake ,anaona pambazuko la biashara na kuinuka kwake kiuchumi.

Namuona Rais Samia Kama Pumzi mpya kwa waliokata tamaa,pumzi mpya kwa walio ishiwa matumaini,pumzi mpya kwa walio ishiwa nguvu. Ni pumzi mpya kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu, ni pumzi mpya kwa wakulima, wafanyakazi wa umma, vijana wa bodaboda, wafanyabiashara, mama ntilie, vijana wanaojiunga na Elimu ya sekondari.

Ni pumzi mpya kwa sababu wakulima wakilima wanapatiwa soko la uhakika kwa mazao yao baada ya kuwa wamepewa Ruzuku kwa wakati, ni pumzi kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu ambapo sasa wana Matumaini ya kupata ajira hata kama siyo wote wanaopata lakini vijana wanakuwa na imani mioyoni mwao kuwa ipo siku ndoto itatimia ya kuingia kwenye utumishi wa umma.

Ni pumzi mpya kwa watumishi wa umma ambao wanao namna ambavyo Mama anaendelea kuboresha maslahi yao na pamoja na kuongeza nyongeza ya mishahara yao kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu na hata sasa wanasubiri Mei mosi ifike ili wasikie Sauti ya Mama kuwahusu Watoto wake ambao kwa hakika wanampenda sana na wao pia wanatambua upendo mkubwa alionao Mama kwao.

Kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuombea huyu Mama,kumuunga mkono na kumpatia ushirikiano. Tusimvunje moyo na tusikubali wenye chuki binafsi wakamshambulia Mama na kumkwamisha . Tusimame na mama na tuwe upande wa Mama kama ambavyo naye amekuwa nasi wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo mwanamke ni binadamu WA kawaida hawezi kuwa pumzi ya Mtu Acha upumbavu.
 
biden kaenda, Papa kaenda, K.Schwab kajiuzulu jumapili siku Papa alioaga Dunia, halafu bado unaongelea mambo ya muhula wa pili? hizi ni zama za Christian Conservative kutawala Dunia, imeisha hiyo …
Tunatamba na RAIS Samia Hadi 2030 ndio tutaweka breki.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Hakika ninamshukuru Sana Mwenyezi Mungu kwa Kupata Bahati ya kipekee na adimu ya kuongozwa na Rais Samia Akiwa ni Rais Wa Nchi ,Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Ni historia kwangu ambayo najivunia na ambayo nitaisimulia kwa wengi wajao panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu kama ataendelea kunipatia uhai na uzima na miaka Mingi hapa Duniani.

Huyu Mama Yangu ,Mama yetu na Rais wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania namuona na kumtazama Kama Taa juu ya kilele cha Mlima. Ni Taa ya matumaini, Ni Taa ambayo kila mmoja akiitazama analiona pambazuko la tumaini la Maisha yake, anaona pambazuko la ndoto yake ,anaona pambazuko la uchumi wake ,anaona pambazuko la biashara na kuinuka kwake kiuchumi.

Namuona Rais Samia Kama Pumzi mpya kwa waliokata tamaa,pumzi mpya kwa walio ishiwa matumaini,pumzi mpya kwa walio ishiwa nguvu. Ni pumzi mpya kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu, ni pumzi mpya kwa wakulima, wafanyakazi wa umma, vijana wa bodaboda, wafanyabiashara, mama ntilie, vijana wanaojiunga na Elimu ya sekondari.

Ni pumzi mpya kwa sababu wakulima wakilima wanapatiwa soko la uhakika kwa mazao yao baada ya kuwa wamepewa Ruzuku kwa wakati, ni pumzi kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu ambapo sasa wana Matumaini ya kupata ajira hata kama siyo wote wanaopata lakini vijana wanakuwa na imani mioyoni mwao kuwa ipo siku ndoto itatimia ya kuingia kwenye utumishi wa umma.

Ni pumzi mpya kwa watumishi wa umma ambao wanao namna ambavyo Mama anaendelea kuboresha maslahi yao na pamoja na kuongeza nyongeza ya mishahara yao kwa kadri hali ya uchumi inavyoruhusu na hata sasa wanasubiri Mei mosi ifike ili wasikie Sauti ya Mama kuwahusu Watoto wake ambao kwa hakika wanampenda sana na wao pia wanatambua upendo mkubwa alionao Mama kwao.

Kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuombea huyu Mama,kumuunga mkono na kumpatia ushirikiano. Tusimvunje moyo na tusikubali wenye chuki binafsi wakamshambulia Mama na kumkwamisha . Tusimame na mama na tuwe upande wa Mama kama ambavyo naye amekuwa nasi wakati wote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unanunisha wanaocheka!
 
Back
Top Bottom