johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 98,252
- 172,502
Mbowe Wakati akina Makongoro wanaenda Jeshini yeye alikuwa Hotelini kwao anapigisha Disco na akina Kalikali leo anaajiri Makomandoo wamlindeHuko wanaogopa na hata wakiwepo wanakuwa kwenye nafasi za uafisa wa Juu ila huwezi wakuta kwenye oparesheni shenzi sana hao kinyume na Nchi zingine.
May be Kwa sababu Bado tuko kwenye njia ya kutafuta ustaarabu wa kweli.
Naunga mkono Katiba Mpya itoe fursa Kwa wote japo Machadomo wasidhani with Katiba Mpya wataitoa ccm kirahisi.
Nchi ngumu sana hii bwashee 😄😄