Rais Samia hakuna anayekutukana na mwenye ubavu wa kukutukana, hakuna sababu ya kukutukana. Wanatoa facts ambazo burden inashift kwako kuzijibu

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
42,394
78,919
1. Unaosema wanakutukana ni kuwa wanasema HARD FACTS about you hakuna mwenye ubavu wa kukutukana.. Wanachokisema wanasiasa wa upinzani kwenye majukwaa ni facta probantia or to the worst side ni facta probanda

2. Kama kiongozi, unazijibu hard facts kama alivyofanya RUTO na sakata la kukodi ndege.

3. Kwamba mkataba wa Korea umeuza bahari. It is a fact, factum probandum, kanusha hiyo fact with evidence.

4. Pamoja na kuwa law of evidene inasema he who alleges must prove, in this special case burden inashift kwako kuzijibu kama kiongozi wa nchi.

Kuwa mvumilivu , hakuna mwenye ubavu wa kukutukana na hakuna sababu ya kukutukana kama Rais wa nchi.
 
1. Unaosema wanakutukana ni kuwa wanasema HARD FACTS about you hakuna mwenye ubavu wa kukutukana.. Wanachokisema wanasiasa wa upinzani kwenye majukwaa ni facta probantia or to the worst side ni facta probanda
2. Kama kiongozi, unazijibu hard facts kama alivyofanya RUTO na sakata la kukodi ndege.
3. Kwamba mkataba wa Korea umeuza bahari. It is a fact, factum probandum, kanusha hiyo fact with evidence.
4. Pamoja na kuwa law of evidene inasema he who alleges must prove, in this special case burden inashift kwako kuzijibu kama kiongozi wa nchi.

Kuwa mvumilivu , hakuna mwenye ubavu wa kukutukana na hakuna sababu ya kukutukana kama Rais wa nchi.......
Huyo naona kuna Jambo haliko sawa. Hasa kwa Watendaji na Wasaidizi wake. Jiulize ilikuaje akamteua Marehemu??? Hapo akiambiwa ukweli katukanwa??

Tukisema Mh JK ni Mkwere sifa kwa kabila lake kumtoa Rais. Ila tukisema yeye ni Mzanzibari ni matusi na ubaguzi. Tukisema kapora adhi ya Watangayika na kuwapa Waarabu ni matusi.
 
1. Unaosema wanakutukana ni kuwa wanasema HARD FACTS about you hakuna mwenye ubavu wa kukutukana.. Wanachokisema wanasiasa wa upinzani kwenye majukwaa ni facta probantia or to the worst side ni facta probanda
2. Kama kiongozi, unazijibu hard facts kama alivyofanya RUTO na sakata la kukodi ndege.
3. Kwamba mkataba wa Korea umeuza bahari. It is a fact, factum probandum, kanusha hiyo fact with evidence.
4. Pamoja na kuwa law of evidene inasema he who alleges must prove, in this special case burden inashift kwako kuzijibu kama kiongozi wa nchi.

Kuwa mvumilivu , hakuna mwenye ubavu wa kukutukana na hakuna sababu ya kukutukana kama Rais wa nchi.......
Waambie ukweli Hawa machawa! Hawakuelewi hata kidogo kama huyo Luka Mwashambwa?
 
1. Unaosema wanakutukana ni kuwa wanasema HARD FACTS about you hakuna mwenye ubavu wa kukutukana.. Wanachokisema wanasiasa wa upinzani kwenye majukwaa ni facta probantia or to the worst side ni facta probanda

2. Kama kiongozi, unazijibu hard facts kama alivyofanya RUTO na sakata la kukodi ndege.

3. Kwamba mkataba wa Korea umeuza bahari. It is a fact, factum probandum, kanusha hiyo fact with evidence.

4. Pamoja na kuwa law of evidene inasema he who alleges must prove, in this special case burden inashift kwako kuzijibu kama kiongozi wa nchi.

Kuwa mvumilivu , hakuna mwenye ubavu wa kukutukana na hakuna sababu ya kukutukana kama Rais wa nchi.
Wakishindwa kujibu wanaanza kumtuhumu anayehoji na baadae kumbambikia makesi
 
Ngoja tuone huu uchaguzi wa 2024 na 2025..ITAJULIKANA
Kiongozi sisi wadanganyika tumelala usingizi wa pono.watapewa khanga,vitenge,kofia,fulana za kijani,pia nasikia vijana wameanza kuhongwa boda na ukifika uchaguzi wanakipigia chama cha hovyo kama kijani.hawajifunzi kutoka Ufaransa,kwa madiba nk.
 
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa mje maza kaguswa huku...mje msaidie kujibu...
mihemko ya mtoa mada nadhani huwa inapandisha mori alishaniweka store ati kwasabb nasema ukweli mtupu, napokua katika engagements na waungwana katika majukwaa mbalimbali humu JF🐒

hata hivyo,
naona hakuna hata cha maana kwenye bandiko lake, mama alishasema, akamaliza na imeishia pale pale🐒
 
Back
Top Bottom