Pre GE2025 Rais Samia, anayekushauri utumie mkono wa chuma anataka kukupoteza na usionekane kabisa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ninja

JF-Expert Member
Feb 5, 2010
354
546
Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu:

Anayekushauri utumie mkono wa chuma anataka upoteze msingi wako asilia wa ushindi na usimame juu ya msingi usioujua.

Kwenye mapigano ya asili, naweza kuwa mpiganaji mzuri nikiwa juu ya farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa bila farasi. Au naweza kuwa mpiganaji mzuri ardhini bila farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa juu ya farasi. Eneo langu asilia la mapigano hunipa faida dhidi ya adui ikiwa nitalitumia vema katika mapambano.

Pia soma: Kuna la kujifunza hapa kutoka na sera zetu za mkono wa chuma

Maandiko matakatifu 1Samweli 17:38-39: "38Ndipo Sauli akamvika Daudi mavazi yake ya vita, akamtia chapeo cha shaba kichwani, akamvika dirii. 39Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua."

MSISITIZO:
Mwanzo wa ushindi wa Daudi eneo la vita ilikuwa ni kujiondoa kwenye msingi wa nafasi ya mapigano ambao haukuwa asili yake ili kurudi kwenye asili yake. Na akashinda vita.

1Samweli 17:39c "Basi Daudi akavivua" Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu: Tafadhali nakuomba uvivue. Kisha vaa vitu vyako wewe. UTASHINDA. Vinginevyo sikuoni popote 2025.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Kwa maoni yako, nani anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025?
 
Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu:

Anayekushauri utumie mkono wa chuma anataka upoteze msingi wako asilia wa ushindi na usimame juu ya msingi usioujua.

Kwenye mapigano ya asili, naweza kuwa mpiganaji mzuri nikiwa juu ya farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa bila farasi. Au naweza kuwa mpiganaji mzuri ardhini bila farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa juu ya farasi. Eneo langu asilia la mapigano hunipa faida dhidi ya adui ikiwa nitalitumia vema katika mapambano.

Pia soma: Kuna la kujifunza hapa kutoka na sera zetu za mkono wa chuma

Maandiko matakatifu 1Samweli 17:38-39: "38Ndipo Sauli akamvika Daudi mavazi yake ya vita, akamtia chapeo cha shaba kichwani, akamvika dirii. 39Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua."

MSISITIZO:
Mwanzo wa ushindi wa Daudi eneo la vita ilikuwa ni kujiondoa kwenye msingi wa nafasi ya mapigano ambao haukuwa asili yake ili kurudi kwenye asili yake. Na akashinda vita.

1Samweli 17:39c "Basi Daudi akavivua" Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu: Tafadhali nakuomba uvivue. Kisha vaa vitu vyako wewe. UTASHINDA. Vinginevyo sikuoni popote 2025.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Kwa maoni yako, nani anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025?
Unaonekana wewe au? Bila Rungu mambo hayaendi 👇👇

View: https://x.com/bbcswahili/status/1848242854088294621?t=i4ATB3rFS6uThJRDfGgMmA&s=19
 
Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu:

Anayekushauri utumie mkono wa chuma anataka upoteze msingi wako asilia wa ushindi na usimame juu ya msingi usioujua.

Kwenye mapigano ya asili, naweza kuwa mpiganaji mzuri nikiwa juu ya farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa bila farasi. Au naweza kuwa mpiganaji mzuri ardhini bila farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa juu ya farasi. Eneo langu asilia la mapigano hunipa faida dhidi ya adui ikiwa nitalitumia vema katika mapambano.

Pia soma: Kuna la kujifunza hapa kutoka na sera zetu za mkono wa chuma

Maandiko matakatifu 1Samweli 17:38-39: "38Ndipo Sauli akamvika Daudi mavazi yake ya vita, akamtia chapeo cha shaba kichwani, akamvika dirii. 39Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua."

MSISITIZO:
Mwanzo wa ushindi wa Daudi eneo la vita ilikuwa ni kujiondoa kwenye msingi wa nafasi ya mapigano ambao haukuwa asili yake ili kurudi kwenye asili yake. Na akashinda vita.

1Samweli 17:39c "Basi Daudi akavivua" Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu: Tafadhali nakuomba uvivue. Kisha vaa vitu vyako wewe. UTASHINDA. Vinginevyo sikuoni popote 2025.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Kwa maoni yako, nani anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025?
ñjoo na maandiko yako ulete fujo au vurugu kwenye uchaguzi utanyoroshwa ili ukajifunze kutii mamlaka za dunia ambazo zimetoka kwa Mungu..

unadhani kuongoza nchi ni kama kuongoza nyumba ya ubada kwamba tunatafuta utakatifu 🐒
 
ñjoo na maandiko yako ulete fujo au vurugu kwenye uchaguzi utanyoroshwa ili ukajifunze kutii mamlaka za dunia ambazo zimetoka kwa Mungu..

unadhani kuongoza nchi ni kama kuongoza nyumba ya ubada kwamba tunatafuta utakatifu 🐒
Mlisema hivi kumpambania 'rais wenu wa milele', YUKO WAPI na Mamlaka yake ya kidunia ambayo unadai imetoka kwa Mungu? Yuko wapi aliyeamuru TL auwawe na kafa yeye kwamwacha TL!!!?

Soma maandiko yangu ya tangu 2016 nikionya na mkadharau hivi. Sasa adharau tuone.
 
Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu:

Anayekushauri utumie mkono wa chuma anataka upoteze msingi wako asilia wa ushindi na usimame juu ya msingi usioujua.

Kwenye mapigano ya asili, naweza kuwa mpiganaji mzuri nikiwa juu ya farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa bila farasi. Au naweza kuwa mpiganaji mzuri ardhini bila farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa juu ya farasi. Eneo langu asilia la mapigano hunipa faida dhidi ya adui ikiwa nitalitumia vema katika mapambano.

Pia soma: Kuna la kujifunza hapa kutoka na sera zetu za mkono wa chuma

Maandiko matakatifu 1Samweli 17:38-39: "38Ndipo Sauli akamvika Daudi mavazi yake ya vita, akamtia chapeo cha shaba kichwani, akamvika dirii. 39Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua."

MSISITIZO:
Mwanzo wa ushindi wa Daudi eneo la vita ilikuwa ni kujiondoa kwenye msingi wa nafasi ya mapigano ambao haukuwa asili yake ili kurudi kwenye asili yake. Na akashinda vita.

1Samweli 17:39c "Basi Daudi akavivua" Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu: Tafadhali nakuomba uvivue. Kisha vaa vitu vyako wewe. UTASHINDA. Vinginevyo sikuoni popote 2025.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Kwa maoni yako, nani anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025?
Kazi ya Baba mwenye nyumba ni kufanya maamuzi sahihi baada ya kupokea maoni, ushauri wa wasaidizi wake.

Sifa ya kiongozi mzuri ni kufanya maamuzi sahihi. Sio kuwasingizia wasaidizi wako. Wakikupa ushauri mbaya watumbue.
 
Mlisema hivi kumpambania 'rais wenu wa milele', YUKO WAPI na Mamlaka yake ya kidunia ambayo unadai imetoka kwa Mungu? Yuko wapi aliyeamuru TL auwawe na kafa yeye kwamwacha TL!!!?

Soma maandiko yangu ya tangu 2016 nikionya na mkadharau hivi. Sasa adharau tuone.
sina haja maandiko yako,

wala siwezi kubabaika na ushirikina wako na wawatu wengine gentleman..

Infact,
Mungi ni wa wote wamchao, na sio wa mihemko au mbambamba za wenye makasiriko :pulpTRAVOLTA:
 
sina haja maandiko yako,

wala siwezi kubabaika na ushirikina wako na wawatu wengine gentleman..

Infact,
Mungi ni wa wote wamchao, na sio wa mihemko au mbambamba za wenye makasiriko :pulpTRAVOLTA:
Hapo ulipoanza na neno 'infact' basi nimekuelewa sasa. Kumbe najadiliana fuvu kavu. Haya endelea na 'useless efforts' zako ubahatishe. Kwa heri!
 
 
Hapo ulipoanza na neno 'infact' basi nimekuelewa sasa. Kumbe najadiliana fuvu kavu. Haya endelea na 'useless efforts' zako ubahatishe. Kwa heri!
mihemko na ghadhabu za yeyote ni useless na nonsense kwenye mijadala huru ya muhimu na ya kiungwana kama hii kwa maoni yangu..

by the way,
ile ya muhimu zaidi, ikiwa umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala, better you rest in peace gentleman 🐒
 
mihemko na ghadhabu za yeyote ni useless na nonsense kwenye mijadala huru ya muhimu na ya kiungwana kama hii kwa maoni yangu..

by the way,
ile ya muhimu zaidi, ikiwa umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala, better you rest in peace gentleman 🐒
Hapa umeandika ushuzi tu hakuna kitu. Tatizo huna elimu ila kabila lako mnapenda sifa kujifanya 'by the way' na takataka zingine za kijinga.

Chagua lugha moja uandike una mada.

Tuanze na 4Rs. Nini unachoelewa wewe kuhusu 4Rs na mkono wa chuma. Nini unajua kuhusu ngozini kuna 'hybrid' ya kupe na chawa na utata wa 2025 njia ni kijivu. Kama umo ndani fafanua.

Kama wewe ni raia unayefahamishwa kupitia vyombo vya habari kakojoe ulale HUJUI kitu!

Ukitaka chagua lugha yeyote ya kimataifa halafu tujadili hapa. Sio kujifanya 'gentleman' sijui takataka gani.

Mwaga nondo hapa twende kazi kama unajua lolote kwenye mfumo.

Twende kazi..
 
Hapa umeandika ushuzi tu hakuna kitu. Tatizo huna elimu ila kabila lako mnapenda sifa kujifanya 'by the way' na takataka zingine za kijinga.

Chagua lugha moja uandike una mada.

Tuanze na 4Rs. Nini unachoelewa wewe kuhusu 4Rs na mkono wa chuma. Nini unajua kuhusu ngozini kuna 'hybrid' ya kupe na chawa na utata wa 2025 njia ni kijivu. Kama umo ndani fafanua.

Kama wewe ni raia unayefahamishwa kupitia vyombo vya habari kakojoe ulale HUJUI kitu!

Ukitaka chagua lugha yeyote ya kimataifa halafu tujadili hapa. Sio kujifanya 'gentleman' sijui takataka gani.

Mwaga nondo hapa twende kazi kama unajua lolote kwenye mfumo.

Twende kazi..
ndiyo maana nimesema mihemko ni kitu mbaya sana kisaikolojia 🤣

toa mawazo mapya na fikra mbadala sasa unamuonyesha nani kwamba wew ni empty brain?🤣

mambo ya ukabila,sijui elimu yametoka wapi tena gentleman?🤣

just relax,
toa maoni na mtazamo wako wa maana bila kujitambulisha umbumbumbu na ghadhabu zako kwenye masula haya kwa wadau. Hiyo ni useless na nonsense hasa kwenye hoja na mjadala wa wazi muhimu kama huu 🐒
 
ñjoo na maandiko yako ulete fujo au vurugu kwenye uchaguzi utanyoroshwa ili ukajifunze kutii mamlaka za dunia ambazo zimetoka kwa Mungu..

unadhani kuongoza nchi ni kama kuongoza nyumba ya ubada kwamba tunatafuta utakatifu 🐒
Mkuu, wengi humu hawa kufaulu somo la "Kiswahili Kigumu" hivyo tujuuze maana ya "kuongoza nyumba ya ubada" ina maana gani?
 
Mkuu, wengi humu hawa kufaulu somo la "Kiswahili Kigumu" hivyo tujuuze maana ya "kuongoza nyumba ya ubada" ina maana gani?
ndhani ufafanuzi zaidi kwenye hilo utaupata kwa vitendo, pale utakapo jaribu kuvuruga au kuleta fujo kwenye eneo la uchaguzi 🐒
 
ndiyo maana nimesema mihemko ni kitu mbaya sana kisaikolojia 🤣

toa mawazo mapya na fikra mbadala sasa unamuonyesha nani kwamba wew ni empty brain?🤣

mambo ya ukabila,sijui elimu yametoka wapi tena gentleman?🤣

just relax,
toa maoni na mtazamo wako wa maana bila kujitambulisha umbumbumbu na ghadhabu zako kwenye masula haya kwa wadau. Hiyo ni useless na nonsense hasa kwenye hoja na mjadala wa wazi muhimu kama huu 🐒
Hapa ndio umefikia mwisho wako wa kufikiri. Yaani vidole vyako na akili yako vimepeana talaka tangu ulipozaliwa.

Ebu jadili 4Rs na mada niliyotoa halafu tuone kama najadiliana na 'brain' au tope. Tusipotezeane muda hapa.

Kama huna cha kuandika humu kuna majukwaa ya wadada wa mipasho na VICOBA yanakufaa nenda kule.
 
Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu:

Anayekushauri utumie mkono wa chuma anataka upoteze msingi wako asilia wa ushindi na usimame juu ya msingi usioujua.

Kwenye mapigano ya asili, naweza kuwa mpiganaji mzuri nikiwa juu ya farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa bila farasi. Au naweza kuwa mpiganaji mzuri ardhini bila farasi lakini nikawa mnyonge nikiwa juu ya farasi. Eneo langu asilia la mapigano hunipa faida dhidi ya adui ikiwa nitalitumia vema katika mapambano.

Pia soma: Kuna la kujifunza hapa kutoka na sera zetu za mkono wa chuma

Maandiko matakatifu 1Samweli 17:38-39: "38Ndipo Sauli akamvika Daudi mavazi yake ya vita, akamtia chapeo cha shaba kichwani, akamvika dirii. 39Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua."

MSISITIZO:
Mwanzo wa ushindi wa Daudi eneo la vita ilikuwa ni kujiondoa kwenye msingi wa nafasi ya mapigano ambao haukuwa asili yake ili kurudi kwenye asili yake. Na akashinda vita.

1Samweli 17:39c "Basi Daudi akavivua" Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu: Tafadhali nakuomba uvivue. Kisha vaa vitu vyako wewe. UTASHINDA. Vinginevyo sikuoni popote 2025.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Kwa maoni yako, nani anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025?
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Hapa ndio umefikia mwisho wako wa kufikiri. Yaani vidole vyako na akili yako vimepeana talaka tangu ulipozaliwa.

Ebu jadili 4Rs na mada niliyotoa halafu tuone kama najadiliana na 'brain' au tope. Tusipotezeane muda hapa.

Kama huna cha kuandika humu kuna majukwaa ya wadada wa mipasho na VICOBA yanakufaa nenda kule.
Huyo mjinga nilisha muignore kitambo, yeye anaamini ccm ni ya Mama yake
 
Back
Top Bottom