Rais Magufuli usipokaa vizuri na wateule wako wananchi tutakuchoka asubuhi na mapema sana

Tarehe 18 July ntakuwa Dar, saa mbili kamili ntakuwa court yard nakusubiri hapo parking lot, na ndipo utapojuwa hilo jiji jina la Dar es Salaam alitowa nani.

Sipigiwi nnacheza...
Huo mkwara wa kihindi tu
 
Tarehe 18 July ntakuwa Dar, saa mbili kamili ntakuwa court yard nakusubiri hapo parking lot, na ndipo utapojuwa hilo jiji jina la Dar es Salaam alitowa nani.

Sipigiwi nnacheza...
Hata ukija na bajaji utanikuta tu
 
Nadhani tukubaliane kutofautiana. Qualitative analysis haina maana kuwa unatoa tu value based arguments bila supporting evidence halafu unatoa conclusion. Qualitative analysis inakuwa qualitative sababu sample inayotumika inakuwa ndogo kuweza kutoa data representative. Hata hivyo lazima kuwe na empirical evidence ya ku back hizo value based arguments. Evidence is what lacks in your analysis na ukisema hiyo ni analysis, sawa ni analysis!! Lakini haiwezi kumfanya mtu afanye informed conclusion or decisions. Haijitoshelezi!!!

Sample size ndio inayo define statistical power iliyokuwa derived from quantitative analysis, sample size haina uhusiano wowote na independence ya qualitative analysis. Kama umeamua kuvibishia vitabu then I have nothing to say! Research is my bread and butter hivyo nachokiongea sikosei na sitakosea, naweza kukosea kuweka tonge la ugali puani badala ya kinywani ila siwezi kukosea jambo lolote kwenye intricacies za research!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom