Swali zuri sana hilo; ukimuuliza swali hilo mtu kama Obama, Clinton au Tonny Blaire utawapa uwanja wa kujizolea marks nyingi sana. Unatakiwa ujibu 3 key points na kueleza kwa ufupi vigezo ambavyo ni general kama weledi,n.k.Umetumia vigezo gani kuwateua hawa mawaziri nalo ni swali? Ni bora angeuliza hivi "unatarajia nini kwa hawa mawaziri na manaibu uliowateua" au unawaeleza nini kuhusu matarajio ya Watanzania kwa serikali ya awamu ya 5. Samahani lakini. Ila waandishi wa habari tafuteni namna nzuri ya kuframe maswali ili majibu yatolewe kutokana na matakwa ya swali.
Kiujumla rais anatakiwa kuwa mtu eloquent mwenye kuwapa watu matumaini wakati wowote sio kwenye kampeni tu.