Rais Magufuli, RC Makonda anaongea sana na hakuna kitu kinachofanyika

Unajua kwanini Julius Nyerere alianza na Mzee Rasheed’s mfaume Kawawa 1954 na akamaliza nae 1990?

Kila Baya la Awamu ya Kwanza alibebeshwa Kawawa nae hakusema hili sio Langu hadi Nyerere anatoka Ikulu aliandika Kitabu ‘Siasa yetu na Hatma ya Tanzania’

kwenye Kitabu hicho kuna sehemu anasema Mungu kaumba Binadamu wachche sana wa aina ya Kawawa ambao Mara kadhaa walikubali kubeba Lawama za Bosi wake ili Bosi asichafuke

Na Ndio Binadamu Pekee ambae hakukosa kwenye Cabinet ya Nyerere Mara zote na hata ilipobidi Nyerere Atoke Serikalin kwa muda basi Madaraka yote alimuachia Simba huyo wa Vita?

Mambo mengi muda mchache?
Kwa Hiyo Bashite ni Kama Kawawa ?
 
Unajua kwanini Julius Nyerere alianza na Mzee Rasheed’s mfaume Kawawa 1954 na akamaliza nae 1990?

Kila Baya la Awamu ya Kwanza alibebeshwa Kawawa nae hakusema hili sio Langu hadi Nyerere anatoka Ikulu aliandika Kitabu ‘Siasa yetu na Hatma ya Tanzania’

kwenye Kitabu hicho kuna sehemu anasema Mungu kaumba Binadamu wachche sana wa aina ya Kawawa ambao Mara kadhaa walikubali kubeba Lawama za Bosi wake ili Bosi asichafuke

Na Ndio Binadamu Pekee ambae hakukosa kwenye Cabinet ya Nyerere Mara zote na hata ilipobidi Nyerere Atoke Serikalin kwa muda basi Madaraka yote alimuachia Simba huyo wa Vita?

Mambo mengi muda mchache?
Duh! Ina maana Kwenye kila utawala lazima awepo mbeba lawama wa kudumu?
 
We Jamaa inaonekana hujui kazi za Mkuu Wa Mkoa, RC hana kazi yoyote ya kuleta maendeleo, zaidi ya kuungan na Wahuni wenzake kusimamia wizi, kipora, ufisadi na wizi wa kura za CCM ili ishinde tu. Hizo zingine ni porojo tu.
Asante sana mkuu kwa mchango wako wa hoja. Nasikitika sita husika sana na malumbano ya kuhusu kazi za mkuu wa mkoa, nilitaka tu kutoa statement juu ya issue ambayo iko serious katika maisha yetu. Bare in mind that kila siku ya mungu vijana wana acha makazi yao mikoani na vijijini kuja kutafuta riziki zao Dar, tukiacha wale wanao zaliwa hapa kila siku, naona kuwa ni challenge moja kubwa sana ambayo serikali inabidi iifanyie ufumbuzi wa haraka.


Nashindwa kuelewa kwanini viongozi ambao wamepewa dhamana kubwa na Rais ya kutafuta ufumbuzi wa maswala kama haya kuto kuwa serious kama huyo mkurugenzi wa mkoa anavyo fanya.

Simlaumu RC Makonda yeye amepewa dhamana hiyo na Rais na kusema kweli kwa uwezo wake amejitahidi sana hasa ukiangalia sakata lile la madawa ya kulevya, ule ulikuwa ni ujasiri mkubwa sana kiasi kwamba hata mimi mwenyewe nilimwonea huruma kwa nini alilianzisha. Natoa hongera kwa Rais kwa kuweza kuchukua hatua za haraka ili kuweza kum-back up. Watu kama hawa nchi ina wahitaji Sana. Lakini pamoja na ujasiri huo bado jitihada ni ndogo sana katika kukabiliana na issue kubwa ambayo iko mbeleni ya msongamano wa watu hasa vijana ambao hawana kazi na kipato cha uhakika wa maisha na makazi mazuri. Hali hii isipo tafutiwa majawabu ya uhakika na ya uharaka itakuja kuwa shida kubwa kwetu. Hapa serikali ina hitaji kuwa na sera mbadala ya kubuni miradi ya uhakika ambayo itawawezesha vijana wetu kuwa na ajira za uhakika.

Jambo jingine ni kama nilivyo kwisha toa kwenye hoja, ni swala la manzingira kupitia activities za binadam. Ili tuwe na manzingira bora Dar City ina hitaji sewarage system ya uhakika. Hii system ya mitaro kando kando ya barabara za mitaa kama tulivyo zoea kutengeneza katika jiji kama Dar es salaam sio tena compatible. Hili jiji linahitaji a big Investment katika implimantation yake. Rais au serikali inatakiwa lichukulie hili swala serious na kulipa kipao mbele kama anavyo fanya kwenye infrastructure ya barabara.

Namshukuru Rais na serikali yake inavyo jitahidi kuboresha Transport system jijini DSM katika mabasi ya mwendo kasi na hivi juzi nimefurahishwa na taarifa ya introdaction ya usafiri wa treni za mitaani COMMUTER.

Hiyo ni ishara tosha kuona jinsi gani Rais alivyo dhamira kuondoa msongamano wa usafiri.

Kama idadi ya wakazi mjini DSM mpaka kufikia mwaka 2050 itakuwa milioni 10, je serikali ina mipango gani kuhakikisha kuwa maisha ya wakazi wa hili jiji haliwi affected na maradhi yanayo tokana na uharibifu wa mazingira? Uharibifu wa manzingira sio tu unaletwa na watu bali pia matumizi ya fuel katika magari kama Diesel na petroli.

Ili kukabiliana na hili swala la mazingira kama la maji machafu radical measures are sopposed to be taken kama kusafisha haya maji kabla hatuja yamwaga baharini kwa kutumia Wastewater Treatment Plants.

Tuachane na vyoo vya mashimo, bafu na mashine za kufulia nguo na kuoshea vyombo na garage za miembeni, kwani kitu ambacho wengi hawajui ni kuwa means zote hizi tunazo zitumia mijini zina changia kwa asilimia kubwa sana kuharibu manzingira yetu, kwani maji ya kutoka kwenye vinyesi, mafuta na sabuni yana kuwa katika hali ya contaminated solutions na baadhi ya inorganic na organic hazardous substances ambazo zina jipenyeza ardhini na kuingia kwenye ground water na kusababisha uharibifu wa manzingira na vile vile kuhatarisha maisha yetu kwa kutumia maji ya visima katika shughuli za majumbani kama kunywa na kupika, hutokea.

Mafuriko yakitokea hizo sumu na uchafu wote unaeda kwenye mabwawa na baharini. Mabwawa yakikauka ina maana maji yote yanakwenda chini kwenye ground water.

Ni kitu cha kushangaza sana watanzania tuna taasisi ya manzingira NEMC ambayo ina wataalam ambao wamesomeshwa kwa hela nyingi sana ndani na nje ya nchi, lakini points kama hizi sizisikii zikiongelewa na sioni hatua zozote za kimkakati zikichuliwa ili kuboresha manzingira yetu yanayo tuzunguka. Tunaweza tusizione hathari hizi leo lakini miaka ya mbeleni ina wezakana kwa namna fulani vizazi vyetu vikawa na genetic defects kwa sababu ya uharibifu huu wa mazingira.

Maswala mingine muhimu kwa kifupi ni kama ajira na makazi. Kulingana na idadi ya watu kuongezeka miaka ya mbele vijana wengi watahitaji ajira na makazi ili kuendesha maisha yao. Je, serikali imeweka malengo gani ili kukabiliana na changamoto hizi? Rais Magufuli na wanasiasa karibu wote wanatoa hotuba nyingi kuhusu uchumi wa kati wa viwanda, sawa lakini viwanda vitaletwa na nani?

Haya mawazo ya kukabiliana na manzingira, uboreshaji wa njia za mikokoteni na waenda kwa miguu na nyinginezo kama usambazaji wa mabomba ya gasi asilia Dar es salaam na usafishaji wa fukwe na kadhalika ndiyo ajira zenyewe hizo.

NEMC na TPDC kama taasisi nyingine TRC na ATCL na kadhalika nazo zinatakiwa zipewe fedha na majukumu ambayo yataziwezesha kuleta ajira nyingi jijini. NEMC inatakiwa kuwa katika mstari wa mbele katika kubuni na ku-impliment uboreshaji wa maswala ya manzingira kama ujenzi wa sewage Systems, waste water purification plants, usombaji taka na ujenzi, uangalizi na usimamiaji wa shughuli zote zinazo husu mazingira na maswala ya usafi kwa ujumla na TPDC inatakiwa pamoja na yote pia kuwa mstari wa mbele katika ku-guarantee usambazaji na matumizi ya energy source inayotokana fossil kwa vitendo na sio tu kuwa state owned Authority Institutions za kutoa vibali vya manzingira na mafuta na kutia sahii za mikataba.

Wito wangu kwa wana Dar es salaam wenzangu tusipoteze mda na kuanza kulaumiana. Haya maswala ya ajira na manzingira yana tuhusu sisi sote na sio maswala yanayo wahusu viongozi wetu na wana siasa tu. Kila mmoja kwa nafsi yake anatakiwa awe makini na vitendo au shughuli tunazo zifanya. Tuachanane na tabia ya kuzomeana na kuoneana wivu usio leta tija kwetu badala yake sisi wote tuna takiwa to develop strategy ya kuwa wabunifu na tuunde mfumo wa kushirikiana katika kukabiliana na swala la ajira. Ulinzi wa mali za umma uwe jukumu letu wote na manufaa yake yawe kwetu sote. Tuachane na tabia za kuwasifia, kuwashangilia na kuwasaidia wezi wa mali za umma.

Rais Magufuli na RC Makonda wanajitahidi kwa kadri ya uwezo wao, na sisi tunatakiwa ku-play party yetu. Serikali ya Magufuli ninavyo jua iko wazi kwa Ideas ambazo zitakuwa na vigezo vya kutukwamua kimaisha na hatimaye kimaendeleo.
 
Asante sana mkuu kwa mchango wako wa hoja. Nasikitika sita husika sana na malumbano ya kuhusu kazi za mkuu wa mkoa, nilitaka tu kutoa statement juu ya issue ambayo iko serious katika maisha yetu. Bare in mind that kila siku ya mungu vijana wana acha makazi yao mikoani na vijijini kuja kutafuta riziki zao Dar, tukiacha wale wanao zaliwa hapa kila siku, naona kuwa ni challenge moja kubwa sana ambayo serikali inabidi iifanyie ufumbuzi wa haraka.


Nashindwa kuelewa kwanini viongozi ambao wamepewa dhamana kubwa na Rais ya kutafuta ufumbuzi wa maswala kama haya kuto kuwa serious kama huyo mkurugenzi wa mkoa anavyo fanya.

Simlaumu RC Makonda yeye amepewa dhamana hiyo na Rais na kusema kweli kwa uwezo wake amejitahidi sana hasa ukiangalia sakata lile la madawa ya kulevya, ule ulikuwa ni ujasiri mkubwa sana kiasi kwamba hata mimi mwenyewe nilimwonea huruma kwa nini alilianzisha. Natoa hongera kwa Rais kwa kuweza kuchukua hatua za haraka ili kuweza kum-back up. Watu kama hawa nchi ina wahitaji Sana. Lakini pamoja na ujasiri huo bado jitihada ni ndogo sana katika kukabiliana na issue kubwa ambayo iko mbeleni ya msongamano wa watu hasa vijana ambao hawana kazi na kipato cha uhakika wa maisha na makazi mazuri. Hali hii isipo tafutiwa majawabu ya uhakika na ya uharaka itakuja kuwa shida kubwa kwetu. Hapa serikali ina hitaji kuwa na sera mbadala ya kubuni miradi ya uhakika ambayo itawawezesha vijana wetu kuwa na ajira za uhakika.

Jambo jingine ni kama nilivyo kwisha toa kwenye hoja, ni swala la manzingira kupitia activities za binadam. Ili tuwe na manzingira bora Dar City ina hitaji sewarage system ya uhakika. Hii system ya mitaro kando kando ya barabara za mitaa kama tulivyo zoea kutengeneza katika jiji kama Dar es salaam sio tena compatible. Hili jiji linahitaji a big Investment katika implimantation yake. Rais au serikali inatakiwa lichukulie hili swala serious na kulipa kipao mbele kama anavyo fanya kwenye infrastructure ya barabara.

Namshukuru Rais na serikali yake inavyo jitahidi kuboresha Transport system jijini DSM katika mabasi ya mwendo kasi na hivi juzi nimefurahishwa na taarifa ya introdaction ya usafiri wa treni za mitaani COMMUTER.

Hiyo ni ishara tosha kuona jinsi gani Rais alivyo dhamira kuondoa msongamano wa usafiri.

Kama idadi ya wakazi mjini DSM mpaka kufikia mwaka 2050 itakuwa milioni 10, je serikali ina mipango gani kuhakikisha kuwa maisha ya wakazi wa hili jiji haliwi affected na maradhi yanayo tokana na uharibifu wa mazingira? Uharibifu wa manzingira sio tu unaletwa na watu bali pia matumizi ya fuel katika magari kama Diesel na petroli.

Ili kukabiliana na hili swala la mazingira kama la maji machafu radical measures are sopposed to be taken kama kusafisha haya maji kabla hatuja yamwaga baharini kwa kutumia Wastewater Treatment Plants.

Tuachane na vyoo vya mashimo, bafu na mashine za kufulia nguo na kuoshea vyombo na garage za miembeni, kwani kitu ambacho wengi hawajui ni kuwa means zote hizi tunazo zitumia mijini zina changia kwa asilimia kubwa sana kuharibu manzingira yetu, kwani maji ya kutoka kwenye vinyesi, mafuta na sabuni yana kuwa katika hali ya contaminated solutions na baadhi ya inorganic na organic hazardous substances ambazo zina jipenyeza ardhini na kuingia kwenye ground water na kusababisha uharibifu wa manzingira na vile vile kuhatarisha maisha yetu kwa kutumia maji ya visima katika shughuli za majumbani kama kunywa na kupika, hutokea.

Mafuriko yakitokea hizo sumu na uchafu wote unaeda kwenye mabwawa na baharini. Mabwawa yakikauka ina maana maji yote yanakwenda chini kwenye ground water.

Ni kitu cha kushangaza sana watanzania tuna taasisi ya manzingira NEMC ambayo ina wataalam ambao wamesomeshwa kwa hela nyingi sana ndani na nje ya nchi, lakini points kama hizi sizisikii zikiongelewa na sioni hatua zozote za kimkakati zikichuliwa ili kuboresha manzingira yetu yanayo tuzunguka. Tunaweza tusizione hathari hizi leo lakini miaka ya mbeleni ina wezakana kwa namna fulani vizazi vyetu vikawa na genetic defects kwa sababu ya uharibifu huu wa mazingira.

Maswala mingine muhimu kwa kifupi ni kama ajira na makazi. Kulingana na idadi ya watu kuongezeka miaka ya mbele vijana wengi watahitaji ajira na makazi ili kuendesha maisha yao. Je, serikali imeweka malengo gani ili kukabiliana na changamoto hizi? Rais Magufuli na wanasiasa karibu wote wanatoa hotuba nyingi kuhusu uchumi wa kati wa viwanda, sawa lakini viwanda vitaletwa na nani?

Haya mawazo ya kukabiliana na manzingira, uboreshaji wa njia za mikokoteni na waenda kwa miguu na nyinginezo kama usambazaji wa mabomba ya gasi asilia Dar es salaam na usafishaji wa fukwe na kadhalika ndiyo ajira zenyewe hizo.

NEMC na TPDC kama taasisi nyingine TRC na ATCL na kadhalika nazo zinatakiwa zipewe fedha na majukumu ambayo yataziwezesha kuleta ajira nyingi jijini. NEMC inatakiwa kuwa katika mstari wa mbele katika kubuni na ku-impliment uboreshaji wa maswala ya manzingira kama ujenzi wa sewage Systems, waste water purification plants, usombaji taka na ujenzi, uangalizi na usimamiaji wa shughuli zote zinazo husu mazingira na maswala ya usafi kwa ujumla na TPDC inatakiwa pamoja na yote pia kuwa mstari wa mbele katika ku-guarantee usambazaji na matumizi ya energy source inayotokana fossil kwa vitendo na sio tu kuwa state owned Authority Institutions za kutoa vibali vya manzingira na mafuta na kutia sahii za mikataba.

Wito wangu kwa wana Dar es salaam wenzangu tusipoteze mda na kuanza kulaumiana. Haya maswala ya ajira na manzingira yana tuhusu sisi sote na sio maswala yanayo wahusu viongozi wetu na wana siasa tu. Kila mmoja kwa nafsi yake anatakiwa awe makini na vitendo au shughuli tunazo zifanya. Tuachanane na tabia ya kuzomeana na kuoneana wivu usio leta tija kwetu badala yake sisi wote tuna takiwa to develop strategy ya kuwa wabunifu na tuunde mfumo wa kushirikiana katika kukabiliana na swala la ajira. Ulinzi wa mali za umma uwe jukumu letu wote na manufaa yake yawe kwetu sote. Tuachane na tabia za kuwasifia, kuwashangilia na kuwasaidia wezi wa mali za umma.

Rais Magufuli na RC Makonda wanajitahidi kwa kadri ya uwezo wao, na sisi tunatakiwa ku-play party yetu. Serikali ya Magufuli ninavyo jua iko wazi kwa Ideas ambazo zitakuwa na vigezo vya kutukwamua kimaisha na hatimaye kimaendeleo.

Sawa nimekuelewa
 
eti anafaa kuwa mkoa wa rukwa....rukwa hatuletewagi wakuu wa mikoa wajinga. na akiwa mjinga rais huambiwa na anamuondoa. huyo anafaa mikoa ya huko huko pwani au kwa wagogo.
Ha ha haa!! du umenichekesha kweli ...matusi ya rejareja haya 😁
 
Mleta mada ulisha jaribu Siku moja kumpigia mbuzi gitaa akiwa anakula majani yake?
Nini kilitokea? Kama hujajaribu pole sana, na endelea kuandika makala zako za aina hii ya kumpigia gitaa mbuzi
Mkuu uko sahii, lakini ningekuomba kwanza utambue kuwa sisi ni binadam na kama binadam alivyo anasifa pia za kuto kuwa amekamilika. Kama tungekuwa tumekamilika nafikiri tungekuwa miungu.

Naomba kabla sija toa maelezo yeyote kuhusu makala yangu ningekuomba pia kutoa history ndogo kuhusu mimi mwenyewe.

Katika malezi yangu ya maisha kuna kipindi niliishi kijijini ambako wazazi wangu walitoka na nyanya yangu wakati wazazi wangu wakilisukuma gurudumu la maendeleo Das es salaam. Nikiwa huko kijijini nikiwa na umri wa miaka 13 kuna jamaa wa kutoka kijiji kimoja jirani na kijiji cha wazazi wangu alikuwa likizo kutoka Dar na pikipiki yake ya KAWASAKI.

Kwa umri wangu sasa wakati ule pikipiki za KAWASAKI kwa vijana na watu wazima ilikuwa ni kitu kipya ambacho watu wa vijijini kama kule kwa wazazi wangu walikuwa hawaja wahi kupata nafasi ya kukiona wala kukisikia.

Kwa bahati nzuri yule jamaa alipo fika kijiji kwetu aliisimamisha ile pikipiki yake mbele ya duka la tajiri mmoja wa kijiji chetu na yeye mwenyewe kuingia ndani ya hilo duka. Haikupita mda wakati yeye akiwa ndani ya duka watu walikuwa wamejazana kuizunguka ile pikipiki tukiishangaa na kuitamani.

Minong'ono ya watu miongoni mwangu walikuwa wakipiga dua za kuwa na kitu kama kile na jinsi watakavyo fanya nacho. Nashindwa kuelewa kitu gani kilinitokea katika kuishangaa pikipiki ile. Nilijikuta nimezama katika mawazo ya kujaribu kutafakari kama kile chombo kweli kilikuwa kimeundwa na binadam kweli au ndiyo mungu alikishusha?

Hii story amini usiamini ndiyo ufunguo wangu wa career mpaka nikawa Design Engineer na ku-participate katika undani wa vitu mbali mbali nchini Ujerumani. Nafikiri utajiuliza kwa nini natoa story kama hiyo? Ina kuhusu nini na hoja uliyo changia?

Naomba tuelewane! Hapa najaribu kwanza kukupa wewe upeo wa mambo ambayo mimi naujua. Pili kukuonyesha wewe uelewa wangu wa mawazo ya watanzania. Watanzania nawaelewa vizuri sana na ndiyo maana nampigia mbuzi Guitar wakati yeye anakula majani. Unajua kwanini? Kwa sababu nataka nimpe huyo mbuzi feeling ya kutambua kuwa mimi kama binadam niko beneti naye na nayaangalia matendo yake. Siko dormant!!!

Na tatu kukuomba wewe kuto kuwa na fikra za kuyakatia maisha tamaa. Ukiyakatia tamaa maisha umeula kwako! Kuna vitu vinatokea katika ulimwengu huu hutajua kwanini vimetokea? Wewe kusema ule ukweli ulijua na kutabiri kuwa Mh. Dr John Pombe Magufuli angekuwa Rais 2015? Lakini yametokea kwa uwezo wa Mungu.

Haya ndiyo tunayo yaita maajabu ya Mungu. Mungu ndiye anaejua kesho tutakuwa wapi na kitu gani kitatutokea.
You never know what gonna happen tomorrow for any little effort you are making to day. Mimi niliishangaa Kawasaki kijijini kwetu, sikujua na wala nilikuwa sijaota wala kuwaza mambo yaliyo nitokea baada ya hapo mpaka leo, kuwa nitakuja kuwa mwuundaji wa mashine na vitu Ujerumani. Hayo naomba tumwaachie Mungu!

Kwa hiyo mkuu Rais Magufuli sio mbuzi ni binadam kama wewe na mimi. Ina wezekana siku akaja kutafakari aliyo yasoma na kuambiwa na hapo ndipo mageuzi yatakapo tokea kwani atakuwa na uwezo wa kufanya maamuzi ambayo yatatunufaisha sisi sote.

Nirudi kwenye hoja tena, namwuomba sana Rais Magufuli pamoja na majukumu makubwa aliyo nayo kulishughulikia swala la ujenzi na uboreshaji wa mitaro ya maji machafu jijini Dar es salaam yeye mwenyewe.

Kwa jiji kubwa kama la Dar es salaam hali ya system yetu ya kutengeneza mitaro ya maji machafu sio ya kujivunia hata kidogo.
Hiyo ni haibu kubwa sana kwa jiji linalo jivuna kuwa lina wasomi wengi na watu walio pevuka. Ina maana tuna shindwa kweli kununua vyombo vya kutuwezesha sisi kutengeza mitaro ya uhakikika kama inavyo tokea kwenye mataifa mengine yenye uwezo kama wetu?

Kama dhamira ya kutengeneza mitaro ya maji machafu ya uhakika mjini Dar es salaam ipo, basi namwomba Rais Magufuli aunde team ya wataalam kama alivyo fanya wakati wa kutafuta ukweli wa makinikia au aifanye NEMC kuwa taasis ambayo ina shughulikia na maswala yote yanayo husu manzingira na maisha Bora ya wana DSM kimazingira.

NEMC iwe pia na majukumu ya kuboresha jiji letu kwa kuwa na mipango ya kuweka pavements za waenda kwa miguu, wasukuma mikokoteni na waendesha baiskeli jiji zima ili kurahisisha maisha ya wakazi wa jiji letu na pia kujenga platforms za kupandia mabasi na treni.

Kazi nyingine za NEMC ni kuliweka jiji letu liwe attractive kimazingira kwa kusimamia upandaji wa miti kando kando ya barabara kudumisha miti hiyo ili isiharibiwe na ujenzi wa modern and attractive City Toilets na kadhalika.

Nasikitika kusema wazi kuwa watendaji na wasimamizi wa miradi ya uboreshaji wa hili jiji katika swala hili la maji machafu hawako serious. Utaalam wanao utumia sio wa kuridhisha hasa.

Ujenzi wa mitaro yetu ya maji machafu mjini ni hatari kwa maisha ya watoto na watumishi wetu.
 
Kwa jinsi unga ulivyoadimika dar,mateja sasa wanavuta sumu ya panya!Makonda hatari sana
 
afu tutake radhi huyo MTU kuwa mkuu wa mkoa wa rukwa

wafipa hatumtaki MTU huyo
 
Hivi Makonda anajua variation katika ujenzi zinaweza ku cost kiasi gani na zinasababishwa na nini?

Barabara ya Tanroads eneo lipo surveyed for proper pavement
DMDP wanajenga barabara katikati ya mji ambao una mafuriko kila mara
How comes utacompare these two pavements
Tukumbuke adui no moja wa barabara ni maji. .......

Siasa hizi ....
 
Hivi Makonda anajua variation katika ujenzi zinaweza ku cost kiasi gani na zinasababishwa na nini?

Barabara ya Tanroads eneo lipo surveyed for proper pavement
DMDP wanajenga barabara katikati ya mji ambao una mafuriko kila mara
How comes utacompare these two pavements
Tukumbuke adui no moja wa barabara ni maji. .......

Siasa hizi ....
Mkuu umenifurahisha sana kwa mchango wako wa hoja. Unatambua kuwa miji mingi mikubwa imeanzishwa katika maeneo ambayo wakazi wake walikuwa na garantee ya maji, yaani kando kando ya mito? Kitu ambacho waanzilishi hawakujua ni hayo Magufuli iliyo yasema, wakati sisi tuna jua hilo kupitia experience ambazo tumezipata siku zote.

Kwa mtu aliye bobea kitaaluma na maarifa mapana ya Design hiyo siyo issue kubwa. Unajua kuwa Netherland sehemu kubwa iko chini ya sea Level?
View attachment 1078286
Pamoja na changamoto hiyo wametafuta njia za kitaalam kuweza kukabiliana na changamoto hiyo na kuweza kutengeneza maeneo kwa ajili ya kilimo na makazi.

Tanzania na hasa jiji la Dar es salaam kuna ma-engineer wengi sana ambao wanaweza tatua hilo tatizo la mafuriko ya maji kirahisi. Mbona ni swala dogo sana hilo! Watu wanajenga barabara chini ya bahari sembuse mafuriko! Waulizeni watu walio soma Norway na Sweeden watawaeleza au wachina wamejenga Arport Baharini

na barabara inayo iunganisha miji ya Hong Kong, Zhuhai na Macao pamoja ya baharini.

Hapo ni applications za physical laws, mahesabu ya uhakika na design ndiyo ina matter. Kitu mbachao ma-engineer wetu wakijiamini wanaweza, kwani nina uhakika conditions nilizo toa hapo juu wanazijua na mahesabu pia wanayaweza sana.

Sawa Barabara za Tanroads maeneo yapo surveyed for proper pavements, lakini kuna pavements kweli zinazo hitajika katika kurahisisha maisha ya waenda kwa miguu na waendesha baiskeli? Watoto chini ya miaka kumi wata endesha wapi baiskeli zao za kitoto na mama zao?
View attachment 1078300? Uthibitisho ni huu hapa;
View attachment 1078288
View attachment 1078289
View attachment 1078293
View attachment 1078300
Samora Avenue toka enzi za wakoloni iko vile vile bila pavements.
View attachment 1078312
Glock Tower
Barabara za magari ni nzuri Sana, lakini waenda kwa miguu na baiskeli hawawi considered katika miradi ya barabara.
 
Hivi Makonda anajua variation katika ujenzi zinaweza ku cost kiasi gani na zinasababishwa na nini?

Barabara ya Tanroads eneo lipo surveyed for proper pavement
DMDP wanajenga barabara katikati ya mji ambao una mafuriko kila mara
How comes utacompare these two pavements
Tukumbuke adui no moja wa barabara ni maji. .......

Siasa hizi ....
Mkuu naomba angalia hii clip hapa chini alafu niambie wapi kuna pavements ambako waenda kwa miguu, waendesha baiskeli, wasukuma mikokoteni, watoto chini ya mika 10 na mama zao watapita bila kusumbuliwa na mchanga, vumbi, matope na vizuizi vingine kama maua, bustani iliyo wekwa mpaka barabarani na vizuizi vingine? Yaani mpangilio wa mji ni hovyo hovyo. Obama Road yote haina mitaro ya kuondoa maji ya mvua sasa unategemea mvua zikinyesha hakuto kuwa na mafuriko?

Mimi najiuliza hivi Marais wote, mawaziri wote na manaibu mawaziri wote, wakurugenzi, na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wote waliopita si wamesha wahi kusoma au kuiona miji ya wenzetu nje? Ina maana mbali na majengo na Barabara za kupita magari hawaja wahi kuuona umuhimu wa njia za watu watembea kwa miguu na njia za waendesha baiskeli?

Muda wote huo walio tawala toka enzi za Mwalim Nyerere ina maana hawaja wahi fikiria na pia kuwa na mawazo kuwa mji wao iko siku utakuja kuwa jiji lenye wakazi wengi?

Haiingii akilini kuona viongozi wengi walio pita na waliojivuna wakizungumza kiingereza perfect kuliko Rais Magufuli, wameshindwa kuweka miundo mbinu mizuri na mpangilio mzuri wa mji wao, mpaka Rais Magufuli alipo ingia Madarakani na kuanza kuishughulikia miundo mbinu hiyo?

Naomba radhi kama nitakuwa nimemkwaza mtu au kiongozi yeyote yule, hilo sio lengo langu, lakini tubaki na ukweli, kama Rais Kikwete muda mwingi kautumia kwenda nje, ina maana huko kote aliko kuwepo hakuona jinsi gani wenzetu wanavyo ishi kwenye hiyo miji yao mizuri na yeye akaja na mawazo ya kuboresha mji wake?

Mara nyingi napata uchungu mkubwa nikiwasikia watu kama akina Tundu Lissu na wengine wasio jielewa na kuwaelewa wazungu wakipiga filimbi za kudai haki za binadam na kumwona Magufuli kama ni dikteta anaye wanyima haki zao za binadam.

Katika mess hii yote tulio nayo, mtanzania leo anathubutu kulalamika kwa wazungu kuhusu haki za binadam kweli? Wanafikiri haki za binadam bila mpangilio mzuri wa maisha unaweza kuwafikia wananchi kiasi kwamba tukawa na amani na umoja?

Kama wa-european pamoja na utajiri wao na maendeleo yao yote hivi sasa wanaona mzigo mkubwa kuwa na wageni wachache ambao wameingia kwenye nchi zao, je sisi tunaweza kuhimili ongezeko la wakazi wengi zaidi kwenye mji wetu siku za mbele tukiendelea kuwa na miundo mbinu mibovu kama hii tuliyo nayo?

Watanzania walio wahi kuutembelea mji wa Berlin au kuishi Berlin Ujerumani nadhani wanajua jinsi gani huo mji ulivyo kuwa na miundo mbinu mizuri na bora ukilinganisha na wa kwetu Dar es salaam, lakini cha kustaajabisha ni kwamba mji wa Berlin una wakazi milion 3.8 tu wakati DSM una milioni tano sasa.

Pomoja na umati wote huu wa wakazi ambao mji wetu wa Dar es salaam unao katika miundo mbinu hafifu namna hii, bado baadhi ya watanzania wenye uroho wa madaraka wanaona haki ya binadam ndiyo solution ya kukakabiliana na matatizo ya njaa, ajira, makazi na mazingira.

Nimeshangazwa sana na mtu kama Tundu Lissu kumsikia akiwa Berlin akiendelea kuwaeleza vibaraka wake walio mkaribisha mambo ambayo hayana miguu wala mikono kuhusu ubaya wa Rais Magufuli na serikali yake. Yeye anaamini bado Angela Merkel anaweza aka support agenda yake ya kuzuia ushirikiano wa Ujerumani na Serikali ya Magufuli.

Watanzania na hasa wana Dar es salaam nawaomba msidanganyike na mtu kama huyu. Huyu mtu aidha hajui maana ya maisha ni nini au hawajui wazungu jinsi walivyo. Niliona haibu kubwa sana nilivyo isikiliza hiyo clip yake ya Berlin akidai kuwa waafrika hatuwezi ishi bila kutegemea msaada wa wazungu. Kama mtu anayejiita jasiri kama yeye anatoa utumbo kama huo, mtanzania asiye fika Ulaya na kusoma kama yeye atakuwa na mawazo gani? Hakuna mtanzania wa karibu naye akamstopisha kwa upuuzi huo?

Watanzania na hasa wana Dar es salaam nawaombeni mpeni Rais Magufuli mda wa kumaliza malengo yake, tusipofanya hivyo tutakuja jijutia huko mbeleni. Challenge tunayo kabiliana nayo sio haki za binadam, njaa, ajira na miundo mbinu ya uhakika ambayo itatuwezesha sisi kuishi kwa amani.

Msitegemee mkiwa na demokrasia, haki za binadam, utawala bora na kadhalika na kadhalika wazungu watawakimbilia na kuleta maendeleo yenu, hilo msahau. Waulizeni watunisia. Walitegemea wakimtoa Rais wao Madarakani, watakuwa na maisha bora, kwani wazungu wangewakimbilia na kuanza ku invest Tunisia. Kimetokea nini mpaka sasa? Na kwa nini wazungu hawaja invest Tunisia? Kwa sababu Tunisia hakuna kitu. Hawana utajiri kama wa kwetu.

Kwetu watakuja haraka haraka kwa sababu tuna utajiri ambao wao wanautaka. Lakini msitegemee eti watakuja ili kutuendeleza sisi. ACACIA si wapo na walikuwepo, je kuna maendeleo yeyote ambayo wameyaleta kwetu zaidi ya kusomba madini yetu na kuwanufaisha Shareholders wao?

Watanzania, don't be blind! Mzungu hana mpango wa kutuona sisi tunaendelea. Tukiendelea hawatakuwa na uwezo wa kuja kwetu na kusomba utajiri wetu wanavyo taka. Sio wajinga wao, kwani wanajua mtu aliye elimika atawapa shida. Watu kama hao hawa wezi kuwapa support. Waende basi waka invest Tunisia si wana demokrasia nzuri? Kwa nini hawa invest huko?

Haya mambo ya udemokrasia, haki za binadam na utawala bora ni njia zao za kutuvuruga sisi ili watu kandamize. Wanavyo Sema demokrasia hawamaanishi ukweli. Ni waongo, waongo, waongo wa kutupwa!
 
Hii Clip Mh. Rais Magufuli inaonyesha dhahiri namna gani RC Makonda amekuwa mtu wa porojo badala ya kusimamia miradi kikamilifu ili kuleta matokeo na maendeleo yanayo hitajika.

Mwanzoni nilimwamini sana RC Makonda na nikawa na matumaini makubwa na yeye kuwa huyu ndiye mtu ambaye alipaswa kweli kuwa mkuu wa mkoa wa DSM. Lakini kwa masikitiko makubwa siku zinavyo zidi kwenda naanza kuona kuwa kishindo alicho anza nacho kumbe ni nguvu ya soda tu.

Zaidi ya miradi mikubwa ya ujenzi kama ya Flyovers na barabara ambazo wewe Rais mwenyewe una i simamia, RC Makonda na wenzake sioni kama yuko makini katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya jiji ambayo inabeba uzito mkubwa wa kuleta maendeleo na mafanikio yanayo stahili katika jiji letu la DSM. RC Makonda, kama ambavyo nimekwisha eleza katika hoja zangu za siku za nyuma ambazo nimechangia humu, naona yuko mstari wa mbele sana katika kujionyesha kwa maneno na sio kwa vitendo.

Mh. Rais Magufuli kulingana na taarifa ambazo ninazo na wewe mmwenyewe umesha wahi sema wakati wa uzinduzi wa barabara ya kutoka Kimara mpaka Ubungo kuwa hela za ujenzi wa kituo cha Mabasi yaendayo Mikoani cha Ubungo umesha toa mda mrefu, lakini mandalizi ya utekelezaji wake yamekuwa yaki suasua mpaka hivi juzi juzi. Uboreshaji wa Soko la Kariako na mengine, Stands za uhakika wa Daladala, Coco Beach na kadhalika na kadhalika mpaka sasa zina sua sua. Anazunguka zunguka tu kukagua miradi ambayo wewe unaisimamia. Barabara ya kigamboni na malengo ya wakazi na parks za mapumziko yaani Gardens anashindwa kuboresha.

Sisemi kuwa RC Makonda hatekelezi wajibu wake, la hasha, ila naona jiji la Dar es salaam limemwelemea, linahitaji nguvu kubwa. RC Makonda anaweza kuwa mkuu wa mkoa wa Rukwa au katika Mambo ya Entertainments na Tourisim au kazi ya kupiga siasa na ku-deal na wasanii, lakini sio kuwa kiongozi wa jiji kubwa kama Dar. DSM ni jiji kubwa na linahitaji watu wenye misuli na maarifa mapana. Watu ambao wako serious na maendeleo na mji na dhamira ya kulitangaza jiji letu.

Huyu mkurugenzi kulingana na maelezo aliye yatoa hapo kwenye hiyo Clip kwa jinsi ninavyo kujua Rais wangu alitakiwa awe amekwisha tolewa mda mrefu na kuwekwa mwingine ambaye ni competative na anaye jua kazi na wajibu wake katika malengo mazima ya kuboresha maisha na maendeleo ya watu katika jiji na nchi kwa ujumla. Porojo porojo na uongo uongo kama huo Mh. RC alimwita mkurugenzi, naona sio wakati wake. Sitaki kumsema vibaya ila naona hana competence ya kuwa mkurugenzi wa mkoa. Amepitwa na wakati huyo Mh. Rais. Watu kama hao hawastahili kushika positions kama hizo katika jiji kama hili. Wapelekwe wakawe wakurugenzi mikoani.
au kufanya shughuli nyingine na sio kulala lala na kudai pesa kila wakati, wakati matokeo hatuyaoni.

Kwa vile Dar es salaam ni jiji ambalo wakazi wake wanaongezeka mwaka hadi mwaka exponentially na kwa vile ni mji ambao ni kioo chetu nje linahitaji kuwa na viongozi ambao wana nguvu na ueledi mkubwa wa kubuni na kutekeleza mambo ambayo yatauendeleza mji kwa Speed kubwa. Dar es salaam inakabiliwa na changamoto kubwa sana usoni. Kama Dar es salaam ni mji ambao una wakazi wengi kuliko hata Hamburg mji mkuu wa tatu wa Ujerumani, maendeleo ya miundo mbinu yake ni hafifu sana. Nguvu kubwa inahitajika katika kuleta vitu vya maendeleo ambavyo vitakidhi mahitaji ya wakazi na hivyo kuleta unafuu wa maisha na maendeleo ya kibiashara na kukuza uchumi wa nchi yetu. Dar es salaam inahitaji mbali na majibu mbadala ya miundo mbinu ya madaraja na barabara bali pia fursa kubwa za ajira na uondoaji wa maji machafu na taka. Sioni maswala nyeti kama haya yakipewa kipao mbele kama wa Flyovers na barabara. Beach zetu DSM ni chafu na zinatoa harufu mbaya kwa sababu takataka na maji machafu yote yanaenda baharini. Tusipo chukua hatua za haraka za kusafisha maji yaendayo baharini sasa itakuwa shida sana huko mbele.

Rais Magufuli tukifanikiwa kusafisha fukwe zetu kwa kuzingatia ubora wa maji tunayo yamwaga baharini, tuna weza uza teknologia hiyo kwenye nchi nyingine kama hivi sasa nchi jirani zinavyo kopi mtindo wetu wa mabasi ya mwendo kasi. Idea ya mabasi ya mwendo kasi ni wazo zuri sana ila tunashindwa kwenye ubora wake, kwa sababu hakuna watu wanao ona kuwa ni wajibu wao kuhakikisha kuwa wananchi wanyonge wanapata huduma wanayo stahili kama binadam. Na hii ni kazi moja wapo ya mkuu wa mkoa kuhakikisha kuwa kila kitu katika huduma hii kinaenda smoothly.

Nasikitika sana kila ninapo sikia ujenzi wa barabara mara nyingi naona barabara nzuri za magari tu, lakini sioni au sisikii ujenzi wa barabara au njia za waendesha baiskeli na mikokoteni na za waenda kwa miguu. Kwa mji kama huu unatakiwa kuwa na mpangilio wa haya yote kwa hali ya juu. Njia nzote ambazo watu wana zitumia kwenda maofisini na kwa shughuli nyingine zinatakiwa ziwe zimeboreshwa kwa kuwekwa pavements
na kuwa na wafanyakazi wanao lipwa vizuri ambao ni kazi yao kuziangalia na kufanya repairments ndogo ndogo kila wakati inapotokea mashimo au uharibifu. Hizo pia ndio ajira zenyewe. Usafi wa njia za waendesha baiskeli na waenda kwa miguu utasababisha mitaro ya maji machafu kuto kuwa na mchanga mwingi mara kwa mara na kusababisha kuziba kwa mitaro hiyo.

Rais Magufuli nakuomba uboreshaji wa jiji hili ulichukue mwenyewe katika usimazi wake na sio kuwaachia watu kama akina RC Makonda au kama huwezi weka kikundi cha wataalam ambao wana uzoefu wa mipango miji na sio mtu mmoja kusimamia kila kitu. Huu mji hauhitaji kuwa na mkuu wa mkoa tu bali unahitaji pia Ma-Experts wenye utaalam mkubwa katika sekta mbali mbali za maendeleo ya miji. Nakuahidi Mh. Rais kwa hali hii utakapo ondoka madarakani hakuna kitu cha maana kitakacho kuwa kimefanyika katika jiji hili. Hili jiji ili lije kuwa na vigezo ambavyo nime dokeza hapo juu linahitaji TURBO SPEED na msimamizi mwenye nguvu na ubunifu mkubwa sana.

Rais Magufuli kwa vile wewe ni chaguo la Mungu na Mwenyeezi Mungu alijua kwa nini amekuweka wewe madarakani, kwa hiyo naona ingekuwa faraja kwetu pamoja na kuwa unamajukumu mengi ya nchi na ujenzi wa makao makuu, pia kuliendeleza hili jiji. Hili jiji lina hitaji msimamizi mwenye dhamira kubwa ya kuleta maendeleo na maisha bora kwa wakazi wake na wageni. Wewe peke yako ndiye unaye weza kazi hii na hakuna mwingine kama wewe.

Hili jiji lina wajanja na matapeli wengi wenye mizizi ambayo imeenda chini sana na ambao matawi yao yamesambaa mpaka mikoani. Hili jiji lina hitaji mtu au kiongozi wa kuliona tatizo na kuchukua hatua mara moja ya kukabili tatizo hilo kama ulivyofanya Ukonga kwenye nyumba za Magereza. Kwa hatua ile ulioichukua kweli Rais uliwafariji sana watanzania na hasa familia za wafanyakazi wa magereza. Na ndiyo maana nasema tungeona faraja kama maendeleo ya hili jiji unge yasimamia mwenyewe.

Zaidi ya hayo ninge penda pia Mweshimiwa Rais kusisitiza kitu kimoja, kulingana na uzoefu wangu wa maisha duniani nimegundua kuwa maendeleo ya watu katika nchi hayaletwi na watu wenye akili moja ya walio zaliwa na kukua katika.eneo moja, bali huletwa na watu wenye akili tofauti na wa kutoka maendeo tofauti na nchi. Kwa kusema hivi nasisitiza swala la Diaspora. Swala na Role ya wana Diaspora katika maendeleo ya nchi na hasa tukiongelea mambo ya technology transformation Mh. Rais naona bado hujalipa kipao mbele kikubwa sana.

Najua bado una imani kubwa ya kuwa maendeleo ya watanzania yataletwa na watanzania wenyewe, sawa lakini Experience inaonyesha kuwa maendeleo ya nchi huletwa na wananchi wa ndani na nje ya nchi. Watanzania wa ndani wataleta maendeleo lakini watu wa nje wenye asili ya kitanzania wa tachochea maendeleo hayo. Diaspora ndiyo mara nyingi ni watu wenye kuleta maendeleo katika nchi ambazo wao wenyewe wanatoka au vizazi vyao. Tujifunze tu jinsi ya kufanya nao kazi pamoja.

Mfano mkubwa kwangu ni waturuki. Waturuki leo wanajenga SGR Tanzania ambao ni mradi mkubwa kuliko yote kwa knowledgy ambayo imetoka Ujerumani. Kabla ya waturuki hawaja anza kuwa na utaalam huo wajerumani ndiyo walikuwa wakijenga system zao za Transport. Lakini baada ya mda vizazi vya Diaspora wao ambao wengi wao walikuwa wamefanya kazi kwenye makampuni ya Ujerumani nchini Ujerumani au wamezaliwa huko, wakapeleka technology ya wajerumani uturuki. Hata hivi sasa bado wanashirikiana na wajerumani na wataalam kutoka nchi nyingine kubadilishana utaalam. Waturuki wenyewe peke yao bila Diaspora wasingeweza kuwa na maendeleo makubwa namna hiyo kwa haraka.

Tusiwe na mawazo ya wana Diaspora wa kuja kununua viwanja vya kujenga nyumba na kuleta magari ya kuwakoga wazawa, Tanzania tunahitaji Diaspora ambao wako innovative na wenye Vision. Tanzania inahitaji Diaspora wenye mwamko wa kuleta Technology Transformation. Hii italetwa kwa haraka endapo serikali itakuwa tayari ku work together with Diaspora wetu kwa kuwawezesha wao kuweza kuchukua mikopo huko waliko ili kuwekeza nchini na hivyo kuleta Technology Transformation.

Technology Transformation ndiyo ufunguo wa kuproduce products ambazo zina compitte na products za nchi nyingine. Tukifanikiwa kuteka soko letu la ndani kwa bidhaa tunazo zalisha wenyewe tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana katika kuleta uaminifu wa vizazi vyetu na hivyo ndivyo tutakapo weza leta mabadiliko ya maisha ya kijamii. Mabadiliko ya maisha ya jamii huletwa na taifa lenye watu wanao jiamini na products zao.

Tulikuwa tuna wacheka wachina kwa products zao zisizo kuwa na quality kubwa, lakini sasa wana compete na wazalishaji wakubwa wa nchi kama South Korea na Amerika na baadi ya nchi za Ulaya kwa ubora wa products zao. Huawei na 5G zinatoka China. China imewa bid Europeans na sisi tukitumua Ressources zetu vizuri katika mambo yanayo husu technology na research institutions iko siku tutafanikiwa.

Rais Magufuli kuwawezesha wazawa peke yao haita saidia kitu, kwani kuna kitu kina kinakosekana kwao. Kuna kitu kina itwa exposure. Wengi wao hawaja panuka mawazo ki hivyo kiasi kwamba wanaweza wakaleta Transformation ya technology. Transformation ya Technology inaletwa na watu wenye mawazo mapana au watu walio Experience vitu vingine zidi ya vile wazawa wamevizoea.

Ukiwangalia wazawa wengi Mh. Rais nafikiri utakubaliana na mimi kuwa, ndiyo wamesoma sana, lakini hawana uwezo wa kutransform yale waliyo yasoma katika real World. Sababu ni kwamba tuna kosa maarifa. Na ndiyo maana unapata tabu sana na watendaji wako wa kazi. Hawana maarifa na ubunifu. Wanafanya kazi Kama wewe mwenyewe unavyo sema kwa "mazoea".

Tanzania tuna Maprofessors wengi, Madaktari wengi, wanauchumi na mahasibu wengi, Civil Engineers wengi, Ma-geologist wengi, wanasiasa wengi lakini nchi yetu bado ina hitaji wataalam kwenye sekta za Design and process Engineering na wataalam wa metallurgical Technologies na pia ITs na Programmers. High Tec. Products huwezi uka tengeneza bila utaalam wa hawa watu.


mkuu wa mkoa hasimamii mradi wowote

kuna mamlaka, agency, organization husika na wizara haswaa....

umeongozwa na chuki na umepoteza muda
 
mkuu wa mkoa hasimamii mradi wowote

kuna mamlaka, agency, organization husika na wizara haswaa....

umeongozwa na chuki na umepoteza muda

Sawa mkuu hasa aache kujiganyia kama kwamna anakagua na kutathmini hiyo miradi. Atumie mda wake kufanya mambo mengine ya kimaendeleo.

Pamoja na haya nimeandika kuhusu Mambo tofauti yanayo to have mbeleni ikiwemo kujazana kwa watu mijini Dar na hilo hujalitafutia ufumbuzi. Maswala ya maji machafu hujatoa komment yeyote ile. Swala la ajira nalo kwa vijana in The Future ans now nalo huja Sema kitu.

Unafikiri Chaos ikitokea wewe na familia yako mtakuwa salama nyie? So indahani kuwa wewe ni mtu wa chuma?
 
Back
Top Bottom