Barack Obama jr
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 592
- 982
Ikulu imekaliwa na washambaHivi Msigwa hana kazi zingine za kufanya zaidi ya kututaarifu maongezi ya simu. Sifa za kijinga.
Ikulu imekaliwa na washambaHivi Msigwa hana kazi zingine za kufanya zaidi ya kututaarifu maongezi ya simu. Sifa za kijinga.
Aibu naona mimi ndg yangu.
Kulikuwa na haja ya kutuambia wanayoongea kwenye simu? Mbona wakiongea na wa chato hawatoi press release?Kampgia simu jana kummweleza kuwa wapo pamoja,
======
Mhe. Rais Magufuli azungumza kwa simu na Kansela wa Ujerumani Mhe. Angela Merkel. Wazungumzia kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wa Tanzania na Ujerumani hususani katika uchumi.
View attachment 1050530
Wajerumani wanajitambua hawawezi kufanya ujinga wa aina hiyo hata siku moja,..kule hakuna viongozi wenye akili kama jiwe na mpenzi wake bashite.Ujerumani nao wamechapisha hii habari au ni Bongo tu?
Hivi Msigwa hana kazi zingine za kufanya zaidi ya kututaarifu maongezi ya simu. Sifa za kijinga.
Obama care!WHO CARE??
Na ni beberusimu ya kiongozi nayo ni Presi lilizi? ama lweli kazi ipo tena kubwa!!
Wako pamoja kivipi, kimwili, kiakili ama kiroho..
Isijekuwa kibibi merkel kamzimia mnigga maguf00l, akiwin magu tunawin tz nzima, ujeruman wanakuwa mama zetu wa kambo..
Sent using Jamii Forums mobile app