Rais Magufuli azidi kuiandama mitandao ya kijamii

Kama ya hovyo hovyo kwa nini anawashwa kuipitia?

Rais kuna kitu kimoja anakisahau nacho ni kuwa haya magazeti anayoyashutumu sio magazeti yenye mjomba kama Daily na Sunday News pamoja na Mzalendo ambayo husaidiwa na ruzuku toka serikalini!! Magazeti yasiyokuwa ya serikali ni lazima yahakikishe kuwa yanauzika na ili yauzike ni lazima yaweke vichwa vya habari vitakavyowavutia wasomaji ili wayanunue ili waweze kuwa na mtaji wa kuyachapisha!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
At least Jembe B.W.Mkapa alikuwa anasoma critically na akiona kuna upotoshaji, anaingia front na kuandika makala na zinakuwa published. Huyu wenu sijui hata kama anajua kilichoandikwa kwenye dissertations zake, especially ile ya PhD
PhD ipi hiyo? Au ile ya maganda ya korosho?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanabodi,

Naangalia mubashara tukio la kuapishwa kwa mawaziri, kumbe jamaa jana usiku alishinda JF, sasa kikawaida kwenye sherehe za kuapishwa hakunaga hotuba.

Lakini kufuatia rais kufuatia Jamii Forums na kilichosemwa humu kumhusu Mwakyembe,
Hivyo akamuelekeza Msigwa kutoa fursa kwa Mwakyembe asalimie kwa niaba ya wote.

Baada ya salaam za Mwakyembe Mkuu akadokeza kuhusu mitandao ya Kijamii ilivyo ya hovyo, jana ilitangazwa Mwakyembe atagomea uteuzi, hivyo amempa fursa ili watu waone.

This is good, yaani licha ya hii mitandao ilivyo ya hovyo, na hadi kutamani kugeuka malaika na kuifunga lakini bado anaisoma na hadi kubadili protokali.

This is very big impact. Hivyo tuendelee kwa nguvu sana kupeleka ujumbe nyumba kuu kupitia JF, ujumbe utafika.

Paskali
Message sent and delivered.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yy anasema HAPANGIWI na mtu chochote kile lkn AJABU kubwa yy anataka KUPANGIA wahariri cha kuandika ktk magazeti binafsi!
Ww hupangiwi na wao hawapangiwi!
 
Habari wanabodi,

moja kwa moja naenda kwenye mada.
Pamekuwa na sintofahamu kubwa juu ya nani na nani wasiandike habari za mkuu wa mkoa wa Dar mwenye kashfa ya kufanya uvamizi akiwa na kundi linalodhaniwa huenda ni maaskari kwenye chombo cha habari.

Sasa sehemu mbalimbali mijini na vijijini ndani na nje ya nchi wamekuwa wakihoji kama ni vipi vyombo hivi vya habari vitamudu kutoandika habari za mtuhumiwa wao kwani mtuhumiwa wao ndio amekuwa akifanya magazeti yauzike kutokana na mtuhumiwa huyo kuandamwa na wingi wa kashfa mbalimbali.

Je, dharau hizi zinazoelekezwa kwa vyombo vya habari vilivyoapa kutovipa kipaumbele habari za mtuhumiwa wao zitashinda?

Je, ni kweli vyombo vya habari vina njaa?
 
Wadau nilikuwa napita tu pale Lumumba nikakumbuka kuwa Mh.Kinana sijamwona Siku nyingi ila nikakumbuka kuwa alitumwa je amerudi au bado?
 
Back
Top Bottom