Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Teh Azam wamekuboa kwanini usiangalie TBC ?Azam wameniboa!!
Teh Azam wamekuboa kwanini usiangalie TBC ?Azam wameniboa!!
Channel ya bure kivipi we fisi kwani huwa hulipi kodi?? Au unadhani hizo pesa nani analipa...heri ukae kimya kuliko kuonyesha uzuzu wakoLipa kifurushi achana na chanel ya bure hiyo au chama hakitoi posho siku hizi
Tbc wanatia aibuuu.Tbc mbona mnazingua
usiambaeambae mbali,ruka ruka karibu na tv,just in case!Naona yanajirudia tu yale yale ya "hatutajenga nyumba za wananchi, watu wasijinufaishe na misaada. Sijui nimekaa kwenye konstiraksheni indasitiry kwa zaidi ya miaka 20. Sijui hakuna nchi yoyote duniani serikali ikaanza kujenga nyumba za wananchi kwenye majanga.. Naona amerudi kwenye majizi na mafisadi
Namuacha aendelee kuongea mimi naambaa ambaa kama mwewe!
Arudishe na viwanja vyote vya michezo vilivyo chini ya sisiemu, aanze na Kaitaba.Shule ya chama imerudishwa serikalini. (Shule ya wazazi) Wanafunzi wote waingie kwenye serikali.
Hii Tv ingefungwa tu, yaani hata kukopi pesti wameshindwa?? Dah!Tbc mbona mnazingua
Hahahaha..uraya...kama namuona.Kupanga ni kuchagua, Tutajenga hapa patakuwa kama uraya, by magufuli
Amna!Mbona uyu mzee ni muongo sana? Kila siku Israel inajenga nyumba yeye anasema amna nchi duniani?
Yaani wanashindwa hata kukopi pesti, ni kichefuchefu!TBC imetia aibu leo
Amesema na kingine kinaitwa kangono. Anataja vijiji vya huko!Eti katerero.... Duh!!
mkuu,unaweza nipa jina la huo uzi?Kwanini kwanza hajawaadhibu waliochagua shule ya CCM badala ya za serikali?Sasa anawaokoa kw akuichukua hiyo shule baada ya malalamiko kuwekwa huku jukwaani long time?Au ndi ulikuwa mpango wa CCM sasa umebuma ndio wanaamua piga changa la macho tena?Na huo usajili utangazwe mapema kwamba shule imeshahamishwa na isisrudishwe tena kinyemela.
Habari wakuu,
Tuwe pamoja kujuzana yanayojiri Bukoba ambapo Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anahutubia wakazi wa Bukoba na watanzania kwa ujumla.
=====
Magufuli: Cement imechangwa zaidi ya 30,600 na mabati zaidi 31,000. Wananchi wameshaanza kupewa, wengine wamejengea na wengine wameuza.
Kamati ya maafa Mkae na mfahamu kila senti imeenda wapi, kuna pesa hainekani imetumika wapi.
Magufuli: Hatutajenga nyumba za wananchi, hakuna sehemu yeyete duniani tetemeko likitokea, serikali inajenga nyumba za wananchi. Nyumba zimebomoka zaidi ya 2,000.
Rai Magufuli ametaifisha shule ya Omumwani inayomilikiwa na Jumuiya ya wazazi(CCM) mkoani Kagera.