Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
- Thread starter
- #41
Kama mpaka muda huu hujagundua kosa lako basi kweli mimi nimerogwa halafu wewe ndo ukadata. Angalia haraka zako, eti unaogea, sema unaongea.
hata ufanyeje fimbo unazo umeoga bila sabuni eeeeeee,nyota ya jk hata msipowasha yenyewe inawaka mtazidi kununa hamtapata mnalotaka.