Raila hatari Uchaguzi wa marudio

ecolizer baba

Member
Sep 29, 2010
88
310
Wadau wasalamu

Nianze kwa kuiomba nanii ya kimataifa iwe macho. Nguvu nyingi zielekezwe Kenya ili yale ya 2007/2008 yasijirudie.

Mahakama ya juu nchini Kenya ilitengua matokeo ya Urais yaliyompa ushindi Kenyatta na kuamuru Uchaguzi urudiwe ndani ya siku 60 kwa mujibu wa katiba. IEBC wakatii agizo la Mahakama na kuanza kuandaa Uchaguzi. October 17 ikawa ndiyo tarehe ya awali lakini baada ya NASA kudai kuwa Uchaguzi usogezwe mbele( of course hata Safran nao walichangia kwenye hili) Uchaguzi ukasogezwa hadi October 26. Na maandalizi yanaendelea toka kwa wadau wote na UNDP imejitolea kubeba baadhi ya gharama za marudio hayo ya Uchaguzi. In short kila kitu kinakwenda as planned.

Sasa cha ajabu Raila Odinga ameibuka na madai mapya. Eti Safaricom ilimuibia kura. Hiki ni kichekesho cha karne. Na hii unakuja baada ya IEBC kutangaza kuwa Al Guhair watachapisha karatasi za kura, Safran watasupply KIEMS kits na Safaricom watasupply Network kwenye vituo vyote vya upigaji kura. Eti from nowhere Odinga anakuja na tuhuma mpya dhidi ya watu wapya ambao ni Safaricom. Kwa nini kama alikuwa na ushahidi hakuwaunganisha kwenye kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta?? Very pathetic.

Hii inazidi kuonesha kuwa NASA are not ready for the polls. Wanachotakani vurugu, Uchaguzi ushindwe kufanyika then waseme wa nataka coalition government.

Na hili kudhihirisha hili la NASA kutakuwa tayari kwa Uchaguzi ni kitendo chao cha kutofanya kampeni. Eti wanadai kuwa kampeni walifanya kabla ya Uchaguzi wa kwanza na wakamaliza. Sasa kama ni hivyo ni kwa nini waluchangisha hela za kufanyia kampeni??

Kingine chao wenzao wa Jubilee wakionhozwa na uhuruto wako kwenye kampeni kali as if hawakufanya hizo kampeni before. Ni kwa sababu wanajua kuwa wananchi ndio watawapa kura na hivyo wanatafuta kura za nyongeza toka kwa wale ambao hawakuwapigia previously huku wakiendelea kumaintain zile 8.4M walizopata last time.

Nimalizie kwa kusema kuwa matendo na maneno ya NASA vinaonesha kuwa they are not ready for the repeat elections rather they want to bring about political turmoil that will distort the peace that Kenyans are enjoying. Hence the international community should be aware and be ready to take actions whenever it deems necessary.

Asanteni sana.
 
Mleta mada unamlaumu Raila for nothing, unajuwaje kama ana taarifa nyeti za ndani zinazo husisha safaricom na matokeo ya uchaguzi? Pande zote mbili (Jubilee na NASA) zina watu wao walio wapachika kwenye idara nyeti.
 
Mleta mada unamlaumu Raila for nothing, unajuwaje kama ana taarifa nyeti za ndani zinazo husisha safaricom na matokeo ya uchaguzi? Pande zote mbili (Jubilee na NASA) zina watu wao walio wapachika kwenye idara nyeti.
We subiri hivo hivo. Nina furaha nikiona watanzania wakifata siasa z Kenya kwa umakini. Kabla ya sisi kumaliza mchakato wa marudio ya uchaguzi natumai mtakuwa mmemjua Raila Amolo Odinga vizuri. Sina masihara nikisema haya. Huyu jamaa ni bonge la chizi, we skiza tu madai yake ya kila mara. Anapenda sana kuona damu ya wakenya ikimagika. Atokomee kuzimu. Milele na milele amina!
 
We subiri hivo hivo. Nina furaha nikiona watanzania wakifata siasa z Kenya kwa umakini. Kabla ya sisi kumaliza mchakato wa marudio ya uchaguzi natumai mtakuwa mmemjua Raila Amolo Odinga vizuri. Sina masihara nikisema haya. Huyu jamaa ni bonge la chizi, we skiza tu madai yake ya kila mara. Anapenda sana kuona damu ya wakenya ikimagika. Atokomee kuzimu. Milele na milele amina!
Kwani madai yake yakisikilizwa kuna shida gani?
 
We subiri hivo hivo. Nina furaha nikiona watanzania wakifata siasa z Kenya kwa umakini. Kabla ya sisi kumaliza mchakato wa marudio ya uchaguzi natumai mtakuwa mmemjua Raila Amolo Odinga vizuri. Sina masihara nikisema haya. Huyu jamaa ni bonge la chizi, we skiza tu madai yake ya kila mara. Anapenda sana kuona damu ya wakenya ikimagika. Atokomee kuzimu. Milele na milele amina!
Nashindwa kuamini madai yako, maana miaka yote Odinga amekuwa kwenye ulingo wa siasa hakuna hata siku moja amewahi kuhusishwa na mauaji ya mtu binafsi au kundi la watu. Majibu ya nini kilimkuta Fidel Castro Odinga hayajapatikana mpaka leo hii, halafu mnasema yeye ndio anapenda damu, that is so unfair.
 
We subiri hivo hivo. Nina furaha nikiona watanzania wakifata siasa z Kenya kwa umakini. Kabla ya sisi kumaliza mchakato wa marudio ya uchaguzi natumai mtakuwa mmemjua Raila Amolo Odinga vizuri. Sina masihara nikisema haya. Huyu jamaa ni bonge la chizi, we skiza tu madai yake ya kila mara. Anapenda sana kuona damu ya wakenya ikimagika. Atokomee kuzimu. Milele na milele amina!

Kuna kitu hakiko sawa kichwani mwako na unataka tukuunge mkono kwa ujinga wako!!
 
Kuna kitu hakiko sawa kichwani mwako na unataka tukuunge mkono kwa ujinga wako!!
Anasema nani? Makada wa CCM kama wewe? Angalau mi najua Uhuru Kenyatta ndo chaguo bora kabisa kwa nchi yangu ya Kenya, wala sioni haya kusema hayo!
 
Mleta mada unamlaumu Raila for nothing, unajuwaje kama ana taarifa nyeti za ndani zinazo husisha safaricom na matokeo ya uchaguzi? Pande zote mbili (Jubilee na NASA) zina watu wao walio wapachika kwenye idara nyeti.
That's pure hogwash ,unataka kutwambia Safaricom,Al Ghuraih ,IEBC ,idara ya ulinzi ,kampuni ya Safran-Morpho ,wale observers wa kimataifa ...hawa wote wanamwonea Odinga tu na kumharibia kura?

Odinga akipoteza uchaguzi hulaumu kila mtu na kila kitu kingine ila yeye mwenyewe.Huo ndio mtindo wake
 
That's pure hogwash ,unataka kutwambia Safaricom,Al Ghuraih ,IEBC ,idara ya ulinzi ,kampuni ya Safran-Morpho ,wale observers wa kimataifa ...hawa wote wanamwonea Odinga tu na kumharibia kura?

Odinga akipoteza uchaguzi hulaumu kila mtu na kila kitu kingine ila yeye mwenyewe.Huo ndio mtindo wake
Ukiwa mjanja, hao wote uliowataja unaweza kuwatumia na ukashinda uchaguzi. But the point is, if NASA didn't go to court, we would still think the observers we're right that the election was legit. We would still believe no one could log into IEBC server and delete some vital information. We wouldn't know there forms 34 A-B which where written by hand with not stamped. What stop Safaricom from doing the same mistake kama IECD? Considering Safaricom's future lays with the outcome of this election.
 
We subiri hivo hivo. Nina furaha nikiona watanzania wakifata siasa z Kenya kwa umakini. Kabla ya sisi kumaliza mchakato wa marudio ya uchaguzi natumai mtakuwa mmemjua Raila Amolo Odinga vizuri. Sina masihara nikisema haya. Huyu jamaa ni bonge la chizi, we skiza tu madai yake ya kila mara. Anapenda sana kuona damu ya wakenya ikimagika. Atokomee kuzimu. Milele na milele amina!

Umesema ukweli kwani kipindi hiki wanakufa wafuasi wake kwenye ngome zake mbili yaani Kibra na Nyanza sehemu nyingine zote Kenya ni shwari. Pili yupo kama ni chizi kwani anaitisha maandamano akidai Abaluhya mr Chiloba na Chebukati na pia Wasomali wawili Prof Guliye na mama mmoja wote wa Tume ya uchaguzi yaani IEBC wafukuzwe LAKINI analinda makamishena wakutoka kwenye kabila lake na kuwasifu!!!! Sasa Abaluhya na Wasomali wametambua ujinga huo kwa hiyo wameapa hawatampigia kura. Hii ni dhahiri kuwa kura za Raila zitashuka sana kipindi hiki labda mpaka 3.6 million kutoka 6.7 million kwani viongozi wengi wanamkimbia(defecting) na kumwunga mkono Jubilee ya Uhuru! Kule Kilifi Pwani wanalia kwani ametoa wajumbe kutoka nyumbani kwake Kisumu na kuwapachika katika county ya Kilifi akawaacha wana Kilifi.
 
Odinga amekuwa na visingio million kidogo,anataka apewe ushindi wa mezani kwa huruma
 
Ukiwa mjanja, hao wote uliowataja unaweza kuwatumia na ukashinda uchaguzi. But the point is, if NASA didn't go to court, we would still think the observers we're right that the election was legit. We would still believe no one could log into IEBC server and delete some vital information. We wouldn't know there forms 34 A-B which where written by hand with not stamped. What stop Safaricom from doing the same mistake kama IECD? Considering Safaricom's future lays with the outcome of this election.

Dawa hapa ilikuwa kuhesabu kura upya kwa kufungua masanduku ya kura na siyo kupiga kura upya!kura zilizopo ndani ya sanduku lenye lakiri ndo la kutegemea tu(most reliable), achana na transmission, forms 34a 34B or any type of form save for actual kura!
 
Dawa hapa ilikuwa kuhesabu kura upya kwa kufungua masanduku ya kura na siyo kupiga kura upya!kura zilizopo ndani ya sanduku lenye lakiri ndo la kutegemea tu(most reliable), achana na transmission, forms 34a 34B or any type of form save for actual kura!
Hadhi ya uchaguzu ilikuwa imevurugika kutokana na dosari kuzidi kipimo cha uhalali. Masanduku mengine yameokotwa porini yakiwa na kura halali na zingine sio halali. Kura zingime zimepigwa majumbani kwa watu na kuwekwa alama zote za halali huku zikihesabiwa kama kura halali. Mitambo ya teknohama ili ingiliwa na watu wasio na wasio julikana na kufuta baadhi ya nyaraka muhimu. Kwa hali hiyo hata kama wangehesabu kura ni vivumu kujuwa kura gani ilipigwa kituoni na gani ilipigwa nyumbani kwa mtu.
 
Wadau wasalamu

Nianze kwa kuiomba nanii ya kimataifa iwe macho. Nguvu nyingi zielekezwe Kenya ili yale ya 2007/2008 yasijirudie.

Mahakama ya juu nchini Kenya ilitengua matokeo ya Urais yaliyompa ushindi Kenyatta na kuamuru Uchaguzi urudiwe ndani ya siku 60 kwa mujibu wa katiba. IEBC wakatii agizo la Mahakama na kuanza kuandaa Uchaguzi. October 17 ikawa ndiyo tarehe ya awali lakini baada ya NASA kudai kuwa Uchaguzi usogezwe mbele( of course hata Safran nao walichangia kwenye hili) Uchaguzi ukasogezwa hadi October 26. Na maandalizi yanaendelea toka kwa wadau wote na UNDP imejitolea kubeba baadhi ya gharama za marudio hayo ya Uchaguzi. In short kila kitu kinakwenda as planned.

Sasa cha ajabu Raila Odinga ameibuka na madai mapya. Eti Safaricom ilimuibia kura. Hiki ni kichekesho cha karne. Na hii unakuja baada ya IEBC kutangaza kuwa Al Guhair watachapisha karatasi za kura, Safran watasupply KIEMS kits na Safaricom watasupply Network kwenye vituo vyote vya upigaji kura. Eti from nowhere Odinga anakuja na tuhuma mpya dhidi ya watu wapya ambao ni Safaricom. Kwa nini kama alikuwa na ushahidi hakuwaunganisha kwenye kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta?? Very pathetic.

Hii inazidi kuonesha kuwa NASA are not ready for the polls. Wanachotakani vurugu, Uchaguzi ushindwe kufanyika then waseme wa nataka coalition government.

Na hili kudhihirisha hili la NASA kutakuwa tayari kwa Uchaguzi ni kitendo chao cha kutofanya kampeni. Eti wanadai kuwa kampeni walifanya kabla ya Uchaguzi wa kwanza na wakamaliza. Sasa kama ni hivyo ni kwa nini waluchangisha hela za kufanyia kampeni??

Kingine chao wenzao wa Jubilee wakionhozwa na uhuruto wako kwenye kampeni kali as if hawakufanya hizo kampeni before. Ni kwa sababu wanajua kuwa wananchi ndio watawapa kura na hivyo wanatafuta kura za nyongeza toka kwa wale ambao hawakuwapigia previously huku wakiendelea kumaintain zile 8.4M walizopata last time.

Nimalizie kwa kusema kuwa matendo na maneno ya NASA vinaonesha kuwa they are not ready for the repeat elections rather they want to bring about political turmoil that will distort the peace that Kenyans are enjoying. Hence the international community should be aware and be ready to take actions whenever it deems necessary.

Asanteni sana.




WEWE UMEANDIKA HABARI HURU AU UMEKUKA KUMSHAMBULIA RAILA?
 
Raila ni gwiji wa siasa za kenya, na wala usidhani kuwa hata shiriki kwenye uchaguzi wa marudio, atashiriki na atasumbua sana, sema tu kuwa janja yake ya kuwazubaisha Jubilee imegundulika na hiyo ndo itakayo mletea shida kwenye marudio ya uchaguzi na kama Jubilee wange bweteka wasifanye kampeni angeli wachapa kichapo cha hatari any way siasa za kenya hazitabiriki tusubiri muda ukifika ndo itaeleweka mbichi na mbivu.
 
Back
Top Bottom