Raha ya Mapenzi Kupendwa sio kujipendekeza

Mmh naona leo kila kidume kitasema kinapenda " usinikubali haraka haraka ", mnataka mzungushwe eti. Sasa nimeona mtu ananifaa jamani ( sijakurupuka ), nilete mapozi ya nini afu akighairi nijifanye nalia lol. ( Kidding )

Haya mambo hayana SI unit, kuna watu wamekutana within a short time na mambo yao yapo freshhhh, wengine yamebuma. Na kuna wengine wamezungushana weee wakaja wakadumu but wengine wakapigana vibuti vya toilet paper. Ni kuomba tu Mungu upate mtu sahihi na kuweka misingi sahihi basi. Afu kumsoma mtu hakuna fixed time, kuna package zinakuja as a whole jamani so unakuta unazielewa mapema teh. Inapohitajika basi utatumia muda mrefu pia kumuelewa mtu. Ila make sure kwa kiasi fulani unamfahamu mtu kabla ya kusema "YES"
Ndo maana nakupendaga my sister comment zako lazima nipate kitu kipya
 
Hahah...mummy wako kama namuonaga mtata hivi ila poa point mwambie jamaa sio muhuni bhaaas mengine baadaye!
Ila wewe mfilipino unaleta utani aisee, hiyo ndo CV ya kumletea bi mkubwa? unajidisqualify mapema, em ongeza mavigezo hapo lol
 
Kusotea poa sawa msichaana lazima awe na vipozi pozi flani ili mkuda usimchukulie poa

Ila swali ni aina gani ya msichana wa kumsotea kihivyo sio wote ni wa kuwasotea kiukweli utajichosha

Unajua kuna msichana unaeza kumpiga sound halafu ile anajifanya anakuzungusha na wewe unakua hutaki tena unakimbia jibu lako maana unajua akikukubali ni umejiongezea stress ya tatu mjini ukitoa jua na foleni.
Mkuu msichana mwenye vigeZo vipi upo radhi kumsotea
 
Ila wewe mfilipino unaleta utani aisee, hiyo ndo CV ya kumletea bi mkubwa? unajidisqualify mapema, em ongeza mavigezo hapo lol
Hahahah...

Nikiweka vyote hapa mpaka vile vya filipino itakua tabu kidogo

hiyo ni hatua ya pili ntakua kwa bi mkubwa uso kwa uso na vikombe vya kahawa mezani.
 
Hahahah...

Nikiweka vyote hapa mpaka vile vya filipino itakua tabu kidogo

hiyo ni hatua ya pili ntakua kwa bi mkubwa uso kwa uso na vikombe vya kahawa mezani.
Hahaha haya ngoja nichonge na bi mkubwa tuone kama yaliyomo yamo kweli
 
Mkuu unataka kuturudisha enzi za ujima! hizi nyapu za siku hizi zinapenda mavumba kinoma sasa ukiendekeza sound ya miezi sita si utafilisiwa na kipapa hupati!
Acha tuuuu....wengine hatuna uwezo Wa kufuatilia zaidi ya mwezi.....
 
Mmh naona leo kila kidume kitasema kinapenda " usinikubali haraka haraka ", mnataka mzungushwe eti. Sasa nimeona mtu ananifaa jamani ( sijakurupuka ), nilete mapozi ya nini afu akighairi nijifanye nalia lol. ( Kidding )

Haya mambo hayana SI unit, kuna watu wamekutana within a short time na mambo yao yapo freshhhh, wengine yamebuma. Na kuna wengine wamezungushana weee wakaja wakadumu but wengine wakapigana vibuti vya toilet paper. Ni kuomba tu Mungu upate mtu sahihi na kuweka misingi sahihi basi. Afu kumsoma mtu hakuna fixed time, kuna package zinakuja as a whole jamani so unakuta unazielewa mapema teh. Inapohitajika basi utatumia muda mrefu pia kumuelewa mtu. Ila make sure kwa kiasi fulani unamfahamu mtu kabla ya kusema "YES"
Ofcoz....Dada mtumish

No vigumu kuijua nia ya MTU kwa kumzunguusha. Some time mapenzi na kumpata MTU sahihi mwenye dhamira ya that no kaka kamali vile.....mwendo Wa trials and errors.

Kuna wanaume huwa wanamtindo Wa kusema haka kadem kamenizungusha saaana but akijiloga kunipa papuchi tuuuuu baaaaaaas......tamfunua tamwacha.

At the same time kuna wengine kadri msichana anavyo kuzunguusha ndipo value yake inazidi kupanda.....

Kuna walee wazeee Wa kujaribu jaribu na hawana mapenzi yakweli wala malengo....ukimzungusha Mara mbili tatu ka give up kasepaaa....
 
Dunia imebadilika. Tazama kila kitu kimebadilika. Wanawake si wale wa zamani, wanaume si wale wa zamani, watoto si wale wa zamani. mabadiliko everywhere...maisha yanasonga. Mnashangaa nini sasa?
 
Back
Top Bottom