Sasa Hili swala laki nimeliookea kwa masikikitiko makubwa Sana, naahid ntalishughulikia haraka sana....siku moja nilitembelea Ifakara katika harakati zangu za kusaka noti. Sasa usiku wa saa nne nikawasha radio ya simu yangu nikakuta inakamata frequency za local radio, nikakuta wako na kipindi cha HURUMA YA MUNGU. Nikahubirika haswa!
Sasa kipindi hiki kiliisha majira ya saa 5. Hapo mtangazaji aliyejitambulisha kwa jina la Isdori alisikika akisema, " msikilizaji nakuacha na mrembo Zamaradi (kama sijasahau) akuletee kipindi cha mahaba...." acha sasa huyo Zamaradi aanze kusasambua matumizi ya shanga mwanaume na mwanamke wawapo kitandani!!! Mbaya zaidi aliyamwamwagula madude bila aibu mpaka nikaamua kuzima radio, maana upako wa huruma ya Mungu ulianza kunitoka na kuona mashetani ya ngono yakivamia chumba changu, mweeee!!
Jamani, radio za dini jitahidini basi kumtangaza huyo Mungu zaidi kuliko hayo malimwengu. Utakuta kipindi cha dini kinafuatiwa na nyimbo za taarabu za Mzee Yusufu, hivi hapo upako utabaki? Halafu watangazaji wenyewe adabu hakuna, lugha mnayoongea utadhani wanywa viroba, full kiswahili mbofu,mbofu. Igeni basi mfano wa Radio Maria ya Dar au Safina, na ile ya Sauti ya Injili. Huyu Mungu hapendi michanganyo jamani. Utakuta radio asilimia 80 ni malimwenguuuuu, mambo ya dini kidogo tu. Hivi dini ni masikini kiasi hicho? Eti radio inakuwa na top 10 ya bongo fleva, manyimbo ya kusifia uzinifu tuuu ndo mnatupigia!!!hee, kwani Clouds, EFm na wengine hawatoshi? Mtadai eti inatafuta namna ya kujiendesha, hivi Mungu ni masikini kiasi hicho? Mbona wenzenu wanaweza?
Radio ya dini inayopiga taarabu HAIFAI KUITWA YA KIKRISTO!!!
Mm si isdor kamilisha habar yakoOyaa, we ndo Isdori? Aisee utangazaji wenu hauna utukufu wa Mungu kabisa. Nilifikia pale Cliffton. Hiyo radio yenu mnamtafutia shetani wafuasi zaidi ya Mungu aloo
Mi nilidhani Zamaladi kaongea udini..!! Hivi unadhani...'nyie wenye huruma ya Mungu'.. hamuhitaji tendo la ndoa kamilifu..!?Siku moja nilitembelea Ifakara katika harakati zangu za kusaka noti. Sasa usiku wa saa nne nikawasha radio ya simu yangu nikakuta inakamata frequency za local radio, nikakuta wako na kipindi cha HURUMA YA MUNGU. Nikahubirika haswa!
Sasa kipindi hiki kiliisha majira ya saa 5. Hapo mtangazaji aliyejitambulisha kwa jina la Isdori alisikika akisema, " msikilizaji nakuacha na mrembo Zamaradi (kama sijasahau) akuletee kipindi cha mahaba...." acha sasa huyo Zamaradi aanze kusasambua matumizi ya shanga mwanaume na mwanamke wawapo kitandani!!! Mbaya zaidi aliyamwamwagula madude bila aibu mpaka nikaamua kuzima radio, maana upako wa huruma ya Mungu ulianza kunitoka na kuona mashetani ya ngono yakivamia chumba changu, mweeee!!
Jamani, radio za dini jitahidini basi kumtangaza huyo Mungu zaidi kuliko hayo malimwengu. Utakuta kipindi cha dini kinafuatiwa na nyimbo za taarabu za Mzee Yusufu, hivi hapo upako utabaki? Halafu watangazaji wenyewe adabu hakuna, lugha mnayoongea utadhani wanywa viroba, full kiswahili mbofu,mbofu. Igeni basi mfano wa Radio Maria ya Dar au Safina, na ile ya Sauti ya Injili.
Huyu Mungu hapendi michanganyo jamani. Utakuta radio asilimia 80 ni malimwenguuuuu, mambo ya dini kidogo tu. Hivi dini ni masikini kiasi hicho? Eti radio inakuwa na top 10 ya bongo fleva, manyimbo ya kusifia uzinifu tuuu ndo mnatupigia!!!hee, kwani Clouds, EFm na wengine hawatoshi? Mtadai eti inatafuta namna ya kujiendesha, hivi Mungu ni masikini kiasi hicho? Mbona wenzenu wanaweza?
Radio ya dini inayopiga taarabu HAIFAI KUITWA YA KIKRISTO!!!