Rachel Mashishanga, Christowaja Mtinda wahama CHADEMA na kujiunga CCM

Kuhamia kwao CCM wamebadilisha nini kwenye hali ngumu ya maisha inayowakabili watanzania?

pic+vyoo.jpg

Choo cha shule ya Msingi Mulupu singida vijijini!
 
Kwani Kabla Alikuwa Wapi!! Mashishanga Yule Aliyekuwa Kada Wa CCM ( STEVEN MASHISHANGA) NDIYE Mzazi Wake!!!?? KAMA Ni Kweli, Basi Kawaida Saana Tu!! MI Nasubiria Hao Vigogo Anaowasema Nape, Kuwa Wapo UWANJANI Hapo Kurudisha KADI Za Chadema!!! HAWA Wako Hawana Impact Yoyote Kwa Chadema / UKAWA!!!
Vipi Nape, anaendelea kuvuna wanachama wapya?
 
Back
Top Bottom