Quran inakubali kuwa Injili ni kitabu cha Mungu na hapo ndio nakuwa na mashaka na Quran pia

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Feb 9, 2019
1,460
1,737
Ndugu waislam naamini humu wote mumesoma injili na mnayajua maisha ya issa yule mtoto wa mariamu,

Kuzaliwa kwake kuishi kwake na kufa kwake,.

Sasa huyu kijana ukimsoma maisha yake hakuna sehemu yeyote ile anakuwa kalibu na Mungu (allah),
Labda injili ingekuwa kitabu cha ADAMU sawa, maana Adamu alizungumza na Mungu, aliguswa na Mungu, na alionana na Mungu, ila baada ya kula tunda ndio Mungu akajitenga mbali nae, sio yesu.

Hakuna sehemu anazungumza na Mungu wala hakuna sehemu yeyote ile anaonana na mungu, hakuna sehemu anaoa wala kupata mtoto ni kama kilikuwa kitoto cha shetani, mara nyingi alikuwa akisema BABA,
kuna wakati alimuita baba yake mara tatu na hakumjibu siamini kama alikuwa anamlenga Mungu (allah)
Je mfumo wa kitabu anaupata wapi?,

Au tuseme matendo yote ya mitume na manabii ya maisha yao ni vitabu?,

Hata ukija kuitafuta injili yenyewe issa ambaye ni yesu hakuiacha,. Ilikuja andikwa baadae sana baada ya yeye kufa, yaani ni kama historia ya maisha yake.
Je historia na matendo ya issa yesu ndio tuseme kitabu cha Mungu?

Kwa Muhammad kuwa na kitabu sawa maana yeye alikuwa akipata wajhi kutoka kwa Mungu kwa njia Gebliru alai salamu (yaani ni kama alikuwa anaota )

Pia kwa mussa kuwa na kitabu sawa maana yeye alionana na Mungu moja kwa moja pale mlimani na kumpa amri kumi.

Kuhusu Zaburi na daudi pia ni Matango poli,. Hakuna sehemu daudi anashushiwa kitabu kutoka kwa Mungu, zaidi ya mateso makali ya maisha yake, na hatuwezi sema ni kitabu kutoka kwa Mungu.
Leo hii inakuja Qur-an inasimama mbele za watu inasema Mungu kashusha vitabu vinne (ikiwemo na injili)
Huu ni uzushi,
Bora tungekuwa na kitabu cha ADAMU

Mwisho kabisa kwenye binadamu aliyewahi onana na Mungu au kusikia sauti yake ISSA (YESU) Hayupo.


Ni (ADAMU, MUSSA, na MUHAMMADI japo kwa Muhammad sio kwa ana kwa ana.

Issa yesu yeye alijulikana tu kwa mazingaombwe yake ya kiini macho na tukio lake kubwa ni kusurubiwa msarabani,.

Sasa Quran inapokuja kukitambua kitabu cha issa na kusema ni kitabu cha mungu mimi kama
UWESU TANZANIA nakuwa na mashaka na hata ukweli wa quran yenyewe.


Uwesutanzania . Una hoja tatu mm naziona

1. Yesu au Nabii Issa ingawa maisha yake yako kwenye Quran ila hauamini uhalisia wake.

2. Kwasababu Quran imeitambua Injili kama moja ya vitabu vinne basi unatilia shaka kuwa hata Quran haiongei ukweli

3. Unaamini Amri za Mussa .
Na Torati zake zilizotolewa kwa wana wa Israel ndio zimeshushwa na Mungu.

Hizi zote ni Mapitio tu Dini za Mashariki na kati zilizopotia.

1. Kuna Dini had Leo zinashika torati ya Mussa na haiamini hata Injili wala yesu.
Wameishia hapo kuweka mising yao ya Kumuamini Mungu (wayahudi)

2. Kuna wanao iamini Torat ya Mussa na Injili
Na kumuamini Yesu. (Wakristo)

3. Kuna wanaoiamini Torati , Injili na Quran (wasislamu)
 
Ndugu waislam naamini humu wote mumesoma injili na mnayajua maisha ya issa yule mtoto wa mariamu,

Kuzaliwa kwake kuishi kwake na kufa kwake,.

Sasa huyu kijana ukimsoma maisha yake hakuna sehemu yeyote ile anakuwa kalibu na Mungu (allah),

Hakuna sehemu anazungumza na Mungu wala hakuna sehemu yeyote ile anaonana na mungu,
Je mfumo wa kitabu anaoupata wapi?,

Au tuseme matendo yote ya mitume na manabii ya maisha yao ni vitabu?,

Hata ukija kuitafuta injili yenyewe issa ambaye ni yesu hakuacha,. Ilikuja andika baadae sana baada ya yeye kufa, yaani ni kama historia ya maisha yake.
Je historia na matendo ya issa yesu ndio tuseme kitabu cha Mungu?

Kwa Muhammad kuwa na kitabu sawa maana yeye alikuwa akipata wajhi kutoka kwa Mungu kwa njia Gebliru alai salamu (yaani ni kama alikuwa anaota )

Pia kwa mussa kuwa na kitabu sawa maana yeye alionana na Mungu moja kwa moja pale mlimani na kumpa amri kumi.


Mwisho kabisa kwenye binadamu aliyewahi onana Mungu au kusikia sauti yake ISSA (YESU) Hayupo.


Ni (ADAMU, MUSSA, na MUHAMMADI japo kwa Muhammad sio kwa ana kwa ana.

Issa yesu yeye alijulikana tu kwa mazingaombwe yake ya kiini macho na tukio lake kubwa ni kusurubiwa msarabani,.

Sasa Quran inapokuja kukitambua kitabu cha issa na kusema ni kitabu cha mungu mimi kama
UWESU TANZANIA nakuwa na mashaka na hata ukweli wa quran yenyewe.
Waarabu wa Almasry walivyokuwa wanajiangusha juzi pale kwa Mkapa,nimeingiwa wasiwasi sana na dini yangu
 
Tua mzigo, tafuta ukweli, ukweli ukuweke huru. Dini ni representative way of life of ancestors, including their faith on imaginaries.
Hata babu zetu walikuwa hivyo, ila walifeli kwenye annexation superiority. Wao ndio Wakawa Annexed.
 
Tua mzigo, tafuta ukweli, ukweli ukuweke huru. Dini ni representative way of life of ancestors, including their faith on imaginaries.
Hata babu zetu walikuwa hivyo, ila walifeli kwenye annexation superiority. Wao ndio Wakawa Annexed.
Mzee kizungu kingi umeniacha mbali
 
Mbona kama ISSA na YESU ni watu wawili tofauti Mangi
Hata kama wanakuwa tofauti lakini historia zao ni kama moja, hivyo kwenye swala langu ukimlenga
YESU poa na hata ukimlenga ISSA poa pia maana wote

(Hakuna sehemu wanazungumza na Mungu wala hakuna sehemu yeyote ile wanaonana na mungu, hakuna sehemu wanaoa wala kupata mtoto ni kama vilikuwa vitoto vya shetani, mara nyingi walikuwa wakisema BABA,
kuna wakati walimuita baba yao mara tatu na hawakujibiwa siamini kama walikuwa wanamlenga Mungu (allah)
Je mfumo wa kitabu wanaupata wapi?,
 
Issa sio Yesu.
Hata kama wanakuwa tofauti lakini historia zao ni kama moja, hivyo kwenye swala langu ukimlenga
YESU poa na hata ukimlenga ISSA poa pia maana wote

(Hakuna sehemu wanazungumza na Mungu wala hakuna sehemu yeyote ile wanaonana na mungu, hakuna sehemu wanaoa wala kupata mtoto ni kama vilikuwa vitoto vya shetani, mara nyingi walikuwa wakisema BABA,
kuna wakati walimuita baba yao mara tatu na hawakujibiwa siamini kama walikuwa wanamlenga Mungu (allah)
Je mfumo wa kitabu wanaupata wapi?,
 
Back
Top Bottom