Kwer kabsa hapo atapaka kiki ya nguvuHarmo rapa kashaskia....soon atafanya yake
Mama mkwe wake Kapinda sana yule Bihindu wa Simba na ni mswahilli sana
Nilitaka kulisema hilo.Tatizo analeta usela mwingi sanaa
Serenget boy amlee kama.....................................Atafute humo humo wasafi .
Namimi naitaji kujuaYupi?
Dakota Dela Vida abdra kadabra mtoto wa Bihindu wa kariakoo, Shabiki wa Simba Sport Club
Tatizo kakaa kisela sanaa, lakn cio kitu namkaribisha kwangu aje amibembelezeAhahaaaa muonekano wake unaogopesha wanaume