johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 96,975
- 170,017
Rais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Source: BBC
Dhambi inamtafunaRais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Kweli?Rais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Ni jambo jema hata Samia na Mbowe wamekutana na yakaishaRais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Source?? Ni Putin au kinyume chake?? Hakuna propaganda kutokana na source yako?? Jana vyanzo mbalimbali vya habari vilisema aliyeomba uso kwa uso ni Rais wa Ukraine. Kama ni Putin au Zelenidky litakuwa ni jambo jema ili uhai wa watu usiendelee kupotea!!!Rais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Hahaha !Rais wa Ukraine ndio anapenda raia wake waendelee kupigwa lakini Putin anaonekana mwenye huruma kuanzia mwanzo wa vita hii.
Hata Uhuru na Raila!Ni jambo jema hata Samia na Mbowe wamekutana na yakaisha
Uhai wa watu ni muhimu.Source?? Ni Putin au kinyume chake?? Hakuna propaganda kutokana na source yako?? Jana vyanzo mbalimbali vya habari vilisema aliyeomba uso kwa uso ni Rais wa Ukraine. Kama ni Putin au Zelenidky litakuwa ni jambo jema ili uhai wa watu usiendelee kupotea!!!
tuwekee sosi yakoBBC nayo ni sources
Warusi wa jfNGOJA WARUSI WEUSI WAJE KUKUSHAMBULIA
Mwongo mkubwa! BBC ya kuona peke yako ya wapi hiyo? Screen shot hiyo habari utuwekee hapa!! Huwa natembelea bbc zaidi ya mara tano kwa siku. baada ya kuona uzi wako nimetembelea tovuti tovuti ya bbc na hakuna kitu kama hicho.Rais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Endelea kukariri!Mwongo mkubwa! BBC ya kuona peke yako ya wapi hiyo? Screen shot hiyo habari utuwekee hapa!! Huwa natembelea bbc zaidi ya mara tano kwa siku. baada ya kuona uzi wako nimetembelea tovuti tovuti ya bbc na hakuna kitu kama hicho.
Mwongo mkubwa! BBC ya kuona peke yako ya wapi hiyo? Screen shot hiyo habari utuwekee hapa!! Huwa natembelea bbc zaidi ya mara tano kwa siku. baada ya kuona uzi wako nimetembelea tovuti tovuti ya bbc na hakuna kitu kama hicho.