JAMII-ASM
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,305
- 524
- Thread starter
- #21
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100%..Idara ya wanyamapori iwe chini ya Wizara ya Ulinzi.Raia wameshindwa kazi.Mkuu unaongea point sana tatizo kubwa la nchi yetu mambo kupekeka kisiasa ile operation ilikua ina maana sana ila watu wakataka umaarufu wa kisiasa na Jeshi haliwezi kufanya kazi na wanasiasa Dawa ni moja tu tuwaruhusu Wanajeshi watulindie Mbuga zetu baas!