Prof. Ndalichako awatupia lawama Bodi ya Mikopo kufanya kazi kwa mazoea, arejesha posho ya 8,500

Ndalichako ni Mama jasiri. Anatosha sana. Tatizo serikali yote haina fedha, sasa mnataka afanyaje?. Inni la tatizo liko pale karibu na IFM, sio Ndalichako

sasa kama serikali haina hela na yy ni mtu jasiri kwa nn asiutangazie umma ili yeye aondokane na hizo lawama???????
 
sasa kama serikali haina hela na yy ni mtu jasiri kwa nn asiutangazie umma ili yeye aondokane na hizo lawama???????
Kipaumbele ni kununua Bombadia Keshi. Elimu mlikataa ya bure kwa hiyo inaonekana pesa mnayo.
 
Aliyesema watu wananunua tv na pombe ni nani? Tuanzie hapo kabla hajarusha lawama kwenye board
Mkuu chukua tano kwanza
Unajua wanataka kutufanya kama maboya flani hv, eti anakuja kushangaa bodi ya mkopo, yule mama yule mnafiki sana ameona watu wameanza vuguvugu lawama anazihamisha kwa bodi. Huyu mama ni zaidi ya jipu
 
Naona wazee wa pale Makumbusho wanafanya kazi kweli kweli...hili la mikopo tutalijadili kule wanafunga goli la kisigino kwenye muswada wa upatikanaji wa habari..Safi sana
Halafu Mswada Ukishapitishwa na Kusainiwa na Rais,Boom Linaachiwaaa...eti?
 
A good move kwa DARUSO kwa kulisimamia hili. UDSM kimekuwa chuo pekee cha kuwatetea wanavyuo wengine nchini katika masuala ya mikopo na wengi wananufaika kwa sauti ya UDSM.

Pamoja na fanikio hili, bado majibu ya waziri ni tatanishi hasa kwa idadi ya wanafunzi watakaopata ufadhili mwaka huu. Idadi ni ile ile ya 21000 au itaongezeka?

2012 UDSM palikuwa hapatoshi pale baada ya wanafunzi 1000 wa mwaka wa kwanza kunyimwa mikopo. Kaka zao kwa kushirikiana na DARUSO ya wakati huo walilisimamia na hatimaye wanafunzi wakanufaika.

Lakini pia kuweni makini kwa kupendelea zaidi majadiliano badala ya maandamano katika kutafuta haki zenu ili isipatikane sababu ya kupunguzwa chuoni.
 
Nakumbushia tu





Uchaguzi wa mwaka jana 2015 tulipewa option mbili kwenye suala la Elimu

(1). ELIMU BURE MPAKA CHUO KIKUU
(2). ELIMU BURE MPAKA FORM FOUR

watanzania waliowengi walichagua elimu bure mpaka form four labda walijipanga nakuona Elimu kuanzia Advanced mpaka chuo kikuu wanaweza kujigaramia. Nashindwa kuelewa ivi haya malalamiko yanayotolewa kwa wanafunzi zaidi ya 66 elfu kukosa mkopo yanatoka wapi.
Atuna pakukimbilia eee mungu tuokoe mackin
 
Kipindi nasoma walipandishaga hadi 7500 kwa siku toka 5000 kumbe imepanda 1000 tu ila sio mbaya 8500 x 60 maisha yanaenda live long old times....
 
Picha la kihindi tu, mi nilivoona anaweka vigezo vya juu kuingia chuo nikajua first year wote watakula boom, kilichokuja ni kichekesho hata nauli ya daladala haitoshi, leo anakuja kwe vyombo vya hbr kuagiza, seriously! Kuna maswali mengi najiulza sana huyu mama, hawez kuniaminisha wakati wanahainisha vigezo na kupiga mkwara kununua tv kwa wakopwaji et hakujua itatoka kiasi gan. Jiuzuru tu bi ndalichuku hakuna namna na mkuu wa kaya asipokutumbua basi nayeye mwoga tu
 
Halafu Mswada Ukishapitishwa na Kusainiwa na Rais,Boom Linaachiwaaa...eti?
Mkuu nchi hii ni ya matukio..Huoni baada ya watu kupaza sauti wameachia..nani anajadili tena muswada? Supu ya mbwa hunywewa ikiwa ya moto..
 
Kuna wakati Real Madrid ilikuwa na mastaa wengi sn km ronaldo de lima,zidane,louis figo,david bekham na roberto carlos...lkn Madrid walikuwa wanafungwa kuliko wakati wowote ule...hapa kwetu viongozi wa awamu hii wengi wao ni maprof na madokta kwny cabinet, lkn mchango wao kwny maisha ya watu ni F!
 
Kuna wakati Real Madrid ilikuwa na mastaa wengi sn km ronaldo de lima,zidane,louis figo,david bekham na roberto carlos...lkn Madrid walikuwa wanafungwa kuliko wakati wowote ule...hapa kwetu viongozi wa awamu hii wengi wao ni maprof na madokta kwny cabinet, lkn mchango wao kwny maisha ya watu ni F!
 
Back
Top Bottom