KUNA WATU WALIKUWA WANASEMA ZITTO ANATAFUTA KIKI.SERIKALI imesema itatuma wataalamu kwenda kukagua ndege ya Boeing 787 Dreamliner kabla haijaja nchini kwa ajili ya kuanza kutumika rasmi.
Hiyo ni baada ya kuwapo taarifa mbalimbali zinazodai ndege hiyo haina viwango.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, alisema utengenezaji wa ndege hufanywa kwa awamu na kwamba kila hatua wataalamu huwa wanakwenda kukagua.
“Nitafuatilia taarifa hizo lakini kwa kawaida huwa tunalipia kiasi fulani na kila hatua huwa tunaitwa kuikagua…lakini najua wataalamu watakwenda kuikagua,” alisema Profesa Mbarawa.
Hivi karibuni, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT – Wazalendo), alisema ndege hiyo ni sehemu ya ndege zilizokuwa chini ya kiwango zikiitwa Terrible Teens.
“Nimefanya utafiti kidogo na nimethibitisha kuwa tumenunua ndege zilizokataliwa hata na Rwanda rafiki zetu, kinachofuata ni kikubwa zaidi,” alisema Zitto.
Katika mwaka wa fedha wa 2016/17 Serikali iliweka maazimio ya kununua ndege nne kwa ajili ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) ili kuboresha safari za anga nchini.
Ndege mbili ndege mpya za Bombardier Q400 zilinunuliwa katika awamu ya kwanza, Septemba mwaka jana na Rais Dk. John Magufuli ndiye aliyezizindua.
Rais Dk. Magafuli alisema Serikali ina mpango wa kununua ndege nyingine mbili zenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 150 kuboresha usafari wa anga na kuleta ushindani wa biashara katika mataifa.
Hakuna cha ukaguzi hapo.. Halafu mbona hamjiulizi je wenzenu wanafanya hivyo katika manunuzi..!?Waziri amefanya vizuri kufuatilia taarifa hiyo yenye utata ni Ombi uchunguzi uwekwe hadharani mapema ili kuweka kumbukumbu sawa.
Hao watakaokwenda kuikagua report yao imeishaandikwa na ikulu ili boss asiumbuke.Wakaguzi watatoka wapi wakati hatujawahi kuwa na ndegr kama hiuo?Waziri amefanya vizuri kufuatilia taarifa hiyo yenye utata ni Ombi uchunguzi uwekwe hadharani mapema ili kuweka kumbukumbu sawa.
Labda wanaenda kuangalia rangi kama zimepakwa vizuri wakirudi watuambie zimependeza kweli kweli.Wataalamu kutoka Tanzania kwenda kukagua Boeing 787 Dreamliner. Hii hatari sana, yaani kutengeneza pikipiki tu huwezi unakaguaje ndege ..!?
SERIKALI imesema itatuma wataalamu kwenda kukagua ndege ya Boeing 787 Dreamliner kabla haijaja nchini kwa ajili ya kuanza kutumika rasmi.
Hiyo ni baada ya kuwapo taarifa mbalimbali zinazodai ndege hiyo haina viwango.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, alisema utengenezaji wa ndege hufanywa kwa awamu na kwamba kila hatua wataalamu huwa wanakwenda kukagua.
“Nitafuatilia taarifa hizo lakini kwa kawaida huwa tunalipia kiasi fulani na kila hatua huwa tunaitwa kuikagua…lakini najua wataalamu watakwenda kuikagua,” alisema Profesa Mbarawa.
Hivi karibuni, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT – Wazalendo), alisema ndege hiyo ni sehemu ya ndege zilizokuwa chini ya kiwango zikiitwa Terrible Teens.
“Nimefanya utafiti kidogo na nimethibitisha kuwa tumenunua ndege zilizokataliwa hata na Rwanda rafiki zetu, kinachofuata ni kikubwa zaidi,” alisema Zitto.
Katika mwaka wa fedha wa 2016/17 Serikali iliweka maazimio ya kununua ndege nne kwa ajili ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) ili kuboresha safari za anga nchini.
Ndege mbili ndege mpya za Bombardier Q400 zilinunuliwa katika awamu ya kwanza, Septemba mwaka jana na Rais Dk. John Magufuli ndiye aliyezizindua.
Rais Dk. Magafuli alisema Serikali ina mpango wa kununua ndege nyingine mbili zenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 150 kuboresha usafari wa anga na kuleta ushindani wa biashara katika mataifa.
Lisemwalo lipo jamani.SERIKALI imesema itatuma wataalamu kwenda kukagua ndege ya Boeing 787 Dreamliner kabla haijaja nchini kwa ajili ya kuanza kutumika rasmi.
Hiyo ni baada ya kuwapo taarifa mbalimbali zinazodai ndege hiyo haina viwango.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, alisema utengenezaji wa ndege hufanywa kwa awamu na kwamba kila hatua wataalamu huwa wanakwenda kukagua.
“Nitafuatilia taarifa hizo lakini kwa kawaida huwa tunalipia kiasi fulani na kila hatua huwa tunaitwa kuikagua…lakini najua wataalamu watakwenda kuikagua,” alisema Profesa Mbarawa.
Hivi karibuni, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT – Wazalendo), alisema ndege hiyo ni sehemu ya ndege zilizokuwa chini ya kiwango zikiitwa Terrible Teens.
“Nimefanya utafiti kidogo na nimethibitisha kuwa tumenunua ndege zilizokataliwa hata na Rwanda rafiki zetu, kinachofuata ni kikubwa zaidi,” alisema Zitto.
Katika mwaka wa fedha wa 2016/17 Serikali iliweka maazimio ya kununua ndege nne kwa ajili ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) ili kuboresha safari za anga nchini.
Ndege mbili ndege mpya za Bombardier Q400 zilinunuliwa katika awamu ya kwanza, Septemba mwaka jana na Rais Dk. John Magufuli ndiye aliyezizindua.
Rais Dk. Magafuli alisema Serikali ina mpango wa kununua ndege nyingine mbili zenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 150 kuboresha usafari wa anga na kuleta ushindani wa biashara katika mataifa.