Nawapa pongezi sana lakini wasiwasi wangu ni umri wa hiyo ndege na matengenezo yake yako vipi? Nawaomba maofisa wa TCAA waifanyie uchunguzi ndege hiyo kabla haijatua bongo. Ni ndege kubwa kwa safari za medium range kama south na Dubai. Keep it up precision.
Let us support our lovely wing of Kilimanjaro (air Tanzania with a leased Airbus 320-214). Hii mapato yake tunauhakika yanarudi serikalini kwa maendeleo ya Taifa.
Wasafiri tuwe na moyo wa utaifa.