Pongezi, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Antipas Lissu

1737545628960.png

Kwa hakika katika siasa, adui wa jana ni rafiki wa kesho.
CCM , hasa bwana Nchimbi, lini mtampongeza Mwenyekiti mpya wa CHADEMA. Tundu Antipas Lissu?
 
Kwani hata siku haijapita, si asubiri kupongezwa ana haraka gani, alafu kwani lazima? Msitu force
 
Majizi ya Ccm hayana raha wabunge wanaenda kupoteza majimbo mengi sana kwa kitendo tu cha Lissu kuwa mwenyekiti wa Cdm
 
Najiuliza hii hali tuliyoiona baada ya matokeo kujulikana,,,kama mshindi angekua ni Mbowe,,,Lissu angeweza kuwa na ujasiri huu aliounesha Mbowe??
 
Msigwa atampongeza kwa niaba ya CCM.
Huko CCM muwe makini na Msigwa,Kila siku siri za chama ,mtazikuta kwa Lissu!
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,...

Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .

Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,

Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
Watu watachanga mpaka utashangaa. Halafu ruzuku ipo. Kadi zitauzwa. Ni suala la muda tu Chadema will become billionaires.
 
Mh, lissu namtabulisha kwako ndugu Robert Heriel ambaye amekuwa akitoa sapot kubwa Kwa Chadema na kwako hasa nyakati za uchaguzi Kama hizi .


Kitaaluma huyu Kijana ni Mwalimu Ila pia ningeomba apewe nafasi ya yeye kuhudumu hapo makao makuu .


Najua utaongeza tija kufanya Kazi na watu smart na wenye maono makubwa.

Asante.🤝🏿
 
Back
Top Bottom