Pongezi, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Antipas Lissu

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
20,807
26,162
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,...

Awali ya yote nichukue nafasi hii kumpongeza Sana Mh. Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, pongezi hizi zinaenda sambamba kwa viongozi wote wanaomfuatia akiwemo Makamu Mwenyekiti wake Mh. John Heche na wote watakaofuatia .

Wadau mnaoitakia mema CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu A. Lissu,

Naomba tuweze kutoa maoni yetu namna gani Chama kinaweza kujiendesha kwa tija na kutwaa madaraka kwa nafasi mbalimbali zinazokuja katika chaguzi zijazo.
 
Lema was a man of the show.

He has completely dismantled an old blood libel and scandalous rumor that CHADEMA is a CHAGGA Party. CCM's propaganda machine is currently disarmed and docile.

CCM has no other weapon. It's game on.

Personal Advice.
1. Focus on reforms, not election.

2. Be watchful, but never isolate Mbowe.

3. CCM is going indignant and berserk, so use MARIDHIANO to buy yourself time. Use caution, don't turn the tables completely. Be wise, be prudent, play smart.

4. Spend every party resource in rejuvenating grassroot party branches, and enhance transparency in expenditure.

5. The main agenda for CHADEMA, 2025 and beyond, should be themed upon Major Constitutional Reforms. This will help, transform CHADEMA from a mere political party into a living ideology, making a party relevant for the coming years.​
 
Binafsi nashauri Chama kiongeze nguvu katika kusajili wanachama wapya na kuhuisha usajili wa wanachama.

Kadi ziwepo za kutosha kwani kuna mamilioni ya Watanzania wameanza kuwa na Imani na hiki Chama chini ya Uongozi mpya wa Mh Lisu.

Hii itasaidia pia kuongeza mapato ya Chama na kuongeza uchumi wa Chama, hivyo kuweza kufika mashinani ambapo haswa ndipo uhai wa Chama chochote cha Siasa ulipo.
 
Uchaguzi uneisha saa moja lakini ikabidi kurudia uchaguzibwa Zanzibar. Who the eff cares ?

Tumechoka na hili li complication la Muungano na kakisiwa kamoja..

Siku CCM ikianguka na Zanzibar nayo out the window...

Complications zote hizi za nini ?

Halafu wapiga kura ni Watanganyika, yanatuhusu nini ya Zanzibar huko ?
 
Hakuna ubishi kuwa Lissu ni msomi wa kiwango cha juu kabisa. Kutokana na majukumu mapya aliyopewa na wanachama wa CDM, anatakiwa awe kiongozi anaeamini katika;
1. Aache kutuhumu bila kuwepo kwa ushaidi.
2. Amwombe Mzee Mbowe Msamaha hadharani kwa kumwita mla rushwa.
Huo ndio ukweli wenyewe.
Wanachama wanaomkubali ni sawa wanaomkubali Mbowe ni wala rushwa.
 
Huo ndio ukweli wenyewe.
Wanachama wanaomkubali ni sawa wanaomkubali Mbowe ni wala rushwa.
Yaani Mzee Mbowe wamemnyanganya SACCOS kwa aibu kubwa sana.Wanajitetea kuwa nindemokrasi?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Hakuna ubishi kuwa Lissu ni msomi wa kiwango cha juu kabisa. Kutokana na majukumu mapya aliyopewa na wanachama wa CDM, anatakiwa awe kiongozi anaeamini katika;
1. Aache kutuhumu bila kuwepo kwa ushaidi.
2. Amwombe Mzee Mbowe Msamaha hadharani kwa kumwita mla rushwa.
Tume ya uchunguzi itatoa majibu yote
 
Hakuna ubishi kuwa Lissu ni msomi wa kiwango cha juu kabisa. Kutokana na majukumu mapya aliyopewa na wanachama wa CDM, anatakiwa awe kiongozi anaeamini katika;
1. Aache kutuhumu bila kuwepo kwa ushaidi.
2. Amwombe Mzee Mbowe Msamaha hadharani kwa kumwita mla rushwa.
Acha kamdomo
 
Jamaa atamkimbiza sana wa kibanda maiti tusubirie ockoba

Mwenye mvuto vs wasio na mvuto
 
Hakuna ubishi kuwa Lissu ni msomi wa kiwango cha juu kabisa. Kutokana na majukumu mapya aliyopewa na wanachama wa CDM, anatakiwa awe kiongozi anaeamini katika;
1. Aache kutuhumu bila kuwepo kwa ushaidi.
2. Amwombe Mzee Mbowe Msamaha hadharani kwa kumwita mla rushwa.
Kwani kuitwa mla rushwa ni dhambi
 
Hakuna ubishi kuwa Lissu ni msomi wa kiwango cha juu kabisa. Kutokana na majukumu mapya aliyopewa na wanachama wa CDM, anatakiwa awe kiongozi anaeamini katika;
1. Aache kutuhumu bila kuwepo kwa ushaidi.
2. Amwombe Mzee Mbowe Msamaha hadharani kwa kumwita mla rushwa.
Kwahiyo Lissu akusikilize wewe uharo wako huu?
 
Mchakato na uchaguzi wa CHADEMA umetundisha mengi sana. Hapa ndo tulipojua kuwa, kumbe uchaguzi wa CCM hauna uwanja mpana wa Demokrasia ni kama tu danganya toto.
Uchaguzi wa CHADEMA umefanyika kwa viwango vya juu kukaribia chaguzi za Marekani.

Hongerereni sana CHADEMA kwa kutufundisha demokrasia.
CCM nendeni CHADEMA mkajifunze demokrasia.
 
Back
Top Bottom