Polisi na wanajeshi wa FARDC wajiunga na M23

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Jan 31, 2025
228
437
Kwa hiali yao,askali Polisi 2,100 na wanajeshi 890 huko Kivu kusini, wameamuwa kutoka walikokuwa wamejificha na kukubali kujiunga na M23 kwa hiali.
Akiongea nao Gen Byamungu, amewashukuru kwa uamzi huo, na kuwaomba wawe watulivu,kwamba wao ni raia wa Congo, na tatizo halipo kwao bali kwa uongozi. Wote hao wamepelekwa katika kambi za M23 kwa ajili ya mafunzo mapya kabla hawajapelekwa kwenye maeneo mapya watakayopangiwa.




View: https://x.com/StanysBujakera/status/1893285577656611122
 
Kwa hiali yao,askali Polisi 2,100 na wanajeshi 890 huko Kivu kusini, wameamuwa kutoka walikokuwa wamejificha na kukubali kujiunga na M23 kwa hiali.
Akiongea nao Gen Byamungu, amewashukuru kwa uamzi huo, na kuwaomba wawe watulivu,kwamba wao ni raia wa Congo, na tatizo halipo kwao bali kwa uongozi. Wote hao wamepelekwa katika kambi za M23 kwa ajili ya mafunzo mapya kabla hawajapelekwa kwenye maeneo mapya watakayopangiwa.




View: https://x.com/StanysBujakera/status/1893285577656611122

Wamefanya vyema, isipokuwa sasa waache kuwaonea raia au kupora mali zao kwa nguvu za kutumia silaha. Wakumbuke kwamba silaha walizonazo zimenunuliwa kwa fedha za Kodi za Wananchi, hivyo Basi silaha hizo zinatakiwa zitumike katika kazi za kuwalinda hao Wananchi na Mali zao wala siyo vinginevyo.
 
Kwa hiali yao,askali Polisi 2,100 na wanajeshi 890 huko Kivu kusini, wameamuwa kutoka walikokuwa wamejificha na kukubali kujiunga na M23 kwa hiali.
Akiongea nao Gen Byamungu, amewashukuru kwa uamzi huo, na kuwaomba wawe watulivu,kwamba wao ni raia wa Congo, na tatizo halipo kwao bali kwa uongozi. Wote hao wamepelekwa katika kambi za M23 kwa ajili ya mafunzo mapya kabla hawajapelekwa kwenye maeneo mapya watakayopangiwa.




View: https://x.com/StanysBujakera/status/1893285577656611122

Nlisikia bbc kuwa wanajeshi wanalipwa $82 na serikali sasa nani akafe kwa malipo hayo wakati wanaowalinda wao mabilionea.
 
Kwa hiali yao,askali Polisi 2,100 na wanajeshi 890 huko Kivu kusini, wameamuwa kutoka walikokuwa wamejificha na kukubali kujiunga na M23 kwa hiali.
Akiongea nao Gen Byamungu, amewashukuru kwa uamzi huo, na kuwaomba wawe watulivu,kwamba wao ni raia wa Congo, na tatizo halipo kwao bali kwa uongozi. Wote hao wamepelekwa katika kambi za M23 kwa ajili ya mafunzo mapya kabla hawajapelekwa kwenye maeneo mapya watakayopangiwa.




View: https://x.com/StanysBujakera/status/1893285577656611122

walikuwa wana option nyingine ili waweze kuwa huru ? happ hiari inaingiaje iwapo ili wabakie huru lzm wauache upande wao
 
walikuwa wana option nyingine ili waweze kuwa huru ? happ hiari inaingiaje iwapo ili wabakie huru lzm wauache upande wao
Kwa nini hawakuwa nayo!!! Si wangebaki huko huko walikokuwa!? Hivi, wakati mwingine mnachekesha. Mpaka mtu anafanya kazi, linchi lote hilo, hadi miezi 6 hujalipwa mshahara, na wewe si mkazi wa jimbo hilo, hata nauli huwezi kupata. Yaani kikubwa unajuta kuajiliwa. Hiyo option nyingine unayoiona ni ipi?! Wameishi kwa kupora watu mali zao, unadhani walizaliwa hivyo au walikuwa wanaona raha!?
 
Wamefanya vyema, isipokuwa sasa waache kuwaonea raia au kupora mali zao kwa nguvu za kutumia silaha. Wakumbuke kwamba silaha walizonazo zimenunuliwa kwa fedha za Kodi za Wananchi, hivyo Basi silaha hizo zinatakiwa zitumike katika kazi za kuwalinda hao Wananchi na Mali zao wala siyo vinginevyo.
Na ndo maana sasa hivi katika maeneo inayotawala M23, vibaka na wezi wanachezea shaba kinoma. Mtu chake. Fanya kazi upate chako. Tabia za awali, utajuta. Na raia wanafurahia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom