hongera sana Jeshi la Polisi,
Of what benefit to you?
hongera sana Jeshi la Polisi,
JumatatuHivi mbowe anaenda lini kuhojiwa?
Tatizo hujui serikali inafanya kazi vip wala TRA.Kesi ndogo sana kwa hao watumishi, wakifika huko wawaambie kama TRA ni TFDA, TBS au Wazuia madawa wa kulevya. Na kama walipewa mafunzo yoyote juu ya viwatilifu hivyo au ni KODI TU. Kama documents za waagizaji zipo na wakati wa kulipa kodi kuna TIN si wakawakamate walioagiza?.
Entry point zote duniani kuna watu wa kuzuia madawa ya kulevya, hili sio jukumu la mamlaka ya kukusanya kodi hata siku moja. Hapa hawa jamaa wanamficha alieagiza huo mzigo kwa kuwafunga wafanyakazi wa TRA. Watanzania hebu muwe mnazungusha vichwa.
One of the ingredients that enables the making of the final productChemikali ya precusor ndio nini.......tajeni kwa majina rahisi hizo chemicals zinazotumika kutengeza madawa ya kulevya ili watu waelimike......inawezekana wengine wanazibeba bila kujua.......elimisha jamiiii
Ni rahisi kusema kwenye mitandao kuliko kuongea kwa kuulizwa maadili ya kazi. Kila kazi ina taratibu zakeKesi ndogo sana kwa hao watumishi, wakifika huko wawaambie kama TRA ni TFDA, TBS au Wazuia madawa wa kulevya. Na kama walipewa mafunzo yoyote juu ya viwatilifu hivyo au ni KODI TU. Kama documents za waagizaji zipo na wakati wa kulipa kodi kuna TIN si wakawakamate walioagiza?.
Entry point zote duniani kuna watu wa kuzuia madawa ya kulevya, hili sio jukumu la mamlaka ya kukusanya kodi hata siku moja. Hapa hawa jamaa wanamficha alieagiza huo mzigo kwa kuwafunga wafanyakazi wa TRA. Watanzania hebu muwe mnazungusha vichwa.
Bado weweWengi watakamatwa. Nategemea kelele kutoka kwa chadema zitazidi
Kinachofanyika hapo ni kumficha alieagiza mzigo mtumish wa tra atatambuaje hio ni chemicali ya kutengeneza unga?wkt mamlaka za kiuchunguzi zipo?Tra kazi yao ni kuhakikisha taratibu za ulipaji kodi zimefuatwa c kuchunguza kemikali.hao wanawaficha hao wauzaji watumbuliwe wao kwanza wawatajeNi rahisi kusema kwenye mitandao kuliko kuongea kwa kuulizwa maadili ya kazi. Kila kazi ina taratibu zake
Serious? Unaongelea TRA hawa au wengine? Upitishe mzigo bila wao kujua?Kinachofanyika hapo ni kumficha alieagiza mzigo mtumish wa tra atatambuaje hio ni chemicali ya kutengeneza unga?wkt mamlaka za kiuchunguzi zipo?Tra kazi yao ni kuhakikisha taratibu za ulipaji kodi zimefuatwa c kuchunguza kemikali.hao wanawaficha hao wauzaji watumbuliwe wao kwanza wawataje
Inawezekana huo mzigo hata kodi haikulipwa hata hao TFDA au mamlaka nyingine inawezekana zilifichwa kuhusu huo mzigo kuingiaTRA huwa wanautaalamu kwenye maswala ya kodi. Hapa mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) ndo wanautaalam zaid kuhusu hizo chemical. Kama walikagua mzigo na kuurusu officers wa TRA watakua safe kabisa
Kama haukulipiwa kodi ndo kutakua na kesi ya kujibu. But kama umelipiwa kodi mwenye uelewa wa kutambua athar za mzigo ni officer wa TFDA au officer from chemical department. Hawa ndo wana authorize import ya chemicals na drugs. TRA ni maswala ya kodi na kuchek procedure zmefatwaInawezekana huo mzigo hata kodi haikulipwa hata hao TFDA au mamlaka nyingine inawezekana zilifichwa kuhusu huo mzigo kuingia
Kesi ndogo sana kwa hao watumishi, wakifika huko wawaambie kama TRA ni TFDA, TBS au Wazuia madawa wa kulevya. Na kama walipewa mafunzo yoyote juu ya viwatilifu hivyo au ni KODI TU. Kama documents za waagizaji zipo na wakati wa kulipa kodi kuna TIN si wakawakamate walioagiza?.
Entry point zote duniani kuna watu wa kuzuia madawa ya kulevya, hili sio jukumu la mamlaka ya kukusanya kodi hata siku moja. Hapa hawa jamaa wanamficha alieagiza huo mzigo kwa kuwafunga wafanyakazi wa TRA. Watanzania hebu muwe mnazungusha vichwa.
Nafikiri zipo specific precursors za hizo dawa za kulevya zinazozungumziwa......kama zinafahamika ni vizuri watu waelimishwe.......mfano mzuri ni Pseudoephedrine and ephedrine which are the main precursors used for production of methamphetamine ambayo ni mojawapo ya dawa ya kulevya.........sasa mtu unaweza kubebeshwa zigo la SUDAFED (Pseudoephedrine) ukaambiwa hizo ni kama Panadol tu tufikishie sehemu kumbe unaingizwa kwenye matatizo.......ni wakati wa jamii kueleweshwa ya kuwa dawa za kulevya si Cocaine na Heroine tu, na kuna dawa kama Pseudoephedrine tunazotumia tukipata mafua ambazo zinaweza kutumika kama PRECURSOR kutengeneza Methamphetamine ambayo nayo ni dawa ya kulevya..... na mifano iko mingi.......wataalamu karibuniOne of the ingredients that enables the making of the final product
Jeshi la Polisi LIPO MAKINI walala hoi NDO FURAHA YETUOf what benefit to you?
Haendi tena ameshinda kesi asiguswe mileleHivi mbowe anaenda lini kuhojiwa?