Pengine keshapewa karipio lakini ndio hivyo tayari keshaharibu...neno ni kama risasi likitoka limetokaMpaka mtu anajaribu kumuona raisi wa nchi ili ampe rushwa na anamtajia hela atakayomhonga na anaachwa anaondoka salama ndiyo anakuja polepole kumwaga pumba zake huku uraiani, kama ni hivyo kuna tatizo kubwa sana
Huenda walimuonea huruma mtuhumiwa.... hahaha hahahaTaratibu zinafahamika, kwamba mtu akitaka kutoa au kupokea rushwa toa taarifa TAKUKURU, ina maana ikulu haifahamu huu utaratibu?, polepole asilete ujinga hapa
Bila kutafakari na akasema, atatumwa mengine makubwa zaidi!!Labda alitumwa akaseme
Yalikuwa madoa makubwa tu ila yalijulikana wazi mpaka rangi zake ...hili la sasa mmhSamahani mkuu hivi hizi tetesi kuwa;
askari wa mwamvuli alihongwa kipande cha dhahabu haikua DOA?.
vasco da gama alihongwa suti haikua DOA?.
madoa yameanza muda na kila zama na kitabu chake!..
Yani hawa wazungu tunaoaminishana wana akili wameshindwa jua weakness ya mkulu kwelii..hiki kitabu kipya hakihongeki kwa hela sijui kwanini hawashtuki tu!!Yalikuwa madoa makubwa tu ila yalijulikana wazi mpaka rangi zake ...hili la sasa mmh
Ilikua ndogoDAB nae alisema alikataa rushwa ya mil 50.
Sasa sijui alikataa kwa sababu ni ndogo au hapendi rushwa.
Kama hapend kwa nn hakuchukua hatua yoyote.
Polepole sijawai muona ujana wake hata akili yake ilishazeeka kabla hajabaleeHivi zile akili za Polepole wakati kuchambua maoni na mapendekezo ya katiba mpya zimeenda wapi?!!