mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 41,096
- 48,729
Hata Kama chadema wasingeshinda basi iwe kihalali.
Hyo haihalalishi WIZI WA KURA ULIOFANYWA.
Cha ajabu magufuli anasema uchaguzi umekwisha.kweli?
Mnachukulia vitu kirahisi rahisi kana kwamba hamuoni huu udanganyifu uliofanywa?hata Kama chadema wanahusika na kura feki kwanini MSIWACHUKULIE HATUA?kwanini ili Jambo la kura feki lizidi kututesa kila uchaguzi.nani yupo nyuma ya hizi kura feki? Anamsaidia Nani?na kwanini NEC wamekaa kimya mpaka leo hawajachukua hatua yoyote?.
Mna sababu zipi za kutuaminisha kuwa magufuli,NEC ,zec na ccm HAWAHUSIKI NA KURA FEKI?
Hyo haihalalishi WIZI WA KURA ULIOFANYWA.
Cha ajabu magufuli anasema uchaguzi umekwisha.kweli?
Mnachukulia vitu kirahisi rahisi kana kwamba hamuoni huu udanganyifu uliofanywa?hata Kama chadema wanahusika na kura feki kwanini MSIWACHUKULIE HATUA?kwanini ili Jambo la kura feki lizidi kututesa kila uchaguzi.nani yupo nyuma ya hizi kura feki? Anamsaidia Nani?na kwanini NEC wamekaa kimya mpaka leo hawajachukua hatua yoyote?.
Mna sababu zipi za kutuaminisha kuwa magufuli,NEC ,zec na ccm HAWAHUSIKI NA KURA FEKI?
CDM washinde??? Kwa sera zipi kifano??? Yale matusi, kashfa batili, uongo wa wazi, kuwatetea mabeberu badala ya wazalendo, kugawa rasilimali zetu, kuifanya nchi yetu kuwa koloni la Mr Amsterdam, sera na maadili butu, ushari, ghasia, machafuko & kupinga kila kitu. Hakika kabisa "ulimwengu wote ungetushangaa Watanzania kwamba tumelewa amani!" (Mwl. Nyerere). Wananchi wote wamefanya uamuzi mkubwa wa kihistoria wa kuwakataeni mchana kweupe.