Poleni sana Wabongo ambao ni homeless huko Marekani kwa sababu baridi huko kwa sasa sio ya mchezo.

Bongo hakuna madawa? Chid benz, Hawa, Lord Eyez, RayC, Langa nk walikua Marekani?

Mnajua hao diaspora/homeless wanatuma kiasi gani kwa mwaka? Kama wanatuma hela nyingi hivyo ni bora kuwa homeless kiwanja kuliko bongo.
Hao madiaspora wanaotuma hela huku sio homeless kwakuwa wanakazi zao zinazowaingizia kipato. Homeless wa kule wengi wanakazi za kubangaiza. We mtu atume hela huku alafu hana hata uwezo wa kupanga.
 
Aibu ya nini kwa kipi wabongo walichowazidi hasa?

Mtu utoke kula vumbi urudi tena kula vumbi utakua sio mzima.

Unajua remittances wanazotuma diaspora/homeless bongo kwa mwaka? Ni hela ya kuendesha bajeti ya wizara kadhaa hapo Tanganyika. Hao ndo homeless wa kiwanja endelea kujifariji.
Screenshot_20250110-154036_Facebook.jpg
 
Wapi? Weka address hapa.

Sijawahi kuachwa na mwanamke maisha yangu yote. Na niliowaacha wote mpaka kesho bado wananitaka.

Unataka jimbo uniunganishie kwa mama yako?

Simtaki mama yako ana gono sugu.
Unaishi jimbo la Dallas jiji la Texas na ulikuwa mbeba box na bibi wa kizungu anaitwa michelle pellosi mstaafu katika bank ya first hirizon bank in Texas niendeleee?
 
Unaishi jimbo la Dallas jiji la Texas na ulikuwa mbeba box na bibi wa kizungu anaitwa michelle pellosi mstaafu katika bank ya first hirizon bank in Texas niendeleee?
I have never been to Dallas Texas in my life.

Endelea kuotaota tu.

As a matter of fact nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona post yako naona una matatizo ya akili uko obsessed na mimi wakati hunijui.
 
Back
Top Bottom