Pole Frank, mchumba hasomeshwi

Pole yako Frank wazazi ndio wenye majukumu ya kumsomesha ww Frank kazi yako kubwa ilikua ni kugegeda tu!!!

100,000,000,000,like Received....yaani hakuna kosa kubwa kwenye mahusiano kama kumsomesha mpenz...we we we lazima ujute wanawake waacha kama walivyo mimi nawaheshim hapo kweny kubadili maamuz ni dk 1 atakacho fanya huto amini....FRANK wakowengi we acha tu
 
Pole Sana Frank, niliwahi kulipa ada na mimi yakanikuta zaid..afadhali wako katiwa mimba, mimi wangu aliolewa kabisaa.. Ni changamoto tu za maisha, ila @KUSOMESHA NO..
Yaani wanaume hata kama tunapenda vipi..tusomeshe ndugu zetu jamani na wake zetu, sio mademu..USISOMESHEEEEEE...WANAWAKE HAWANA SHUKRANI..yaani ukianza kusomesha tu anakudharau..pesa zako za matumizi anapiga zege na ---- mwengine..
Salute kwa wanawake..mimi hata hela ya daftari silipi, sio kusomesha tu..Nishajifunza siku nyingi!!
 
Usije ukalogwa ukawa pimbi km frank...

Alafu namshukuru Mungu haijatokea kwangu tuu

thy could have taken me to segerea by now
 
100,000,000,000,like Received....yaani hakuna kosa kubwa kwenye mahusiano kama kumsomesha mpenz...we we we lazima ujute wanawake waacha kama walivyo mimi nawaheshim hapo kweny kubadili maamuz ni dk 1 atakacho fanya huto amini....FRANK wakowengi we acha tu

kabisa
 
Pole yako Frank wazazi ndio wenye majukumu ya kumsomesha ww Frank kazi yako kubwa ilikua ni kugegeda tu!!!

Na huenda hakuwahi kugegenda kwamba siku anaoa akute kitu mnato.au bikra....
Hii dunia hiii
 
pole sana frank, niliwahi kulipa ada na mimi yakanikuta zaid..afadhali wako katiwa mimba, mimi wangu aliolewa kabisaa.. Ni changamoto tu za maisha, ila @kusomesha no..
Yaani wanaume hata kama tunapenda vipi..tusomeshe ndugu zetu jamani na wake zetu, sio mademu..usisomesheeeeee...wanawake hawana shukrani..yaani ukianza kusomesha tu anakudharau..pesa zako za matumizi anapiga zege na ---- mwengine..
Salute kwa wanawake..mimi hata hela ya daftari silipi, sio kusomesha tu..nishajifunza siku nyingi!!

Pole na wewe kina frank mpo wengi
 
Mwambie Frank wala asiumie sana kesha tenda wema basi na amuache aende zake.
Siku zote majuto ni mjukuu, wanawake wabaya sana.
 
Kuna wanaume wengi sana wametendwa na wanawake ...na wengi wameweka nadhiri kutokuoa maisha YOTE
Wengi Hawana Tena wala hawajui msamiati unaitwa mapenzi .....
 
Ipo humu mijanajike ambayo imeshawahi au inayotarajia kuwatenda boy friends zao kama huyo kenge alivyomtenda frank !Ione mimachoyao kwanza inavyoukodolea huu uzi!Me nitaiwest gate kabisa ni bora tukose wote shenz!!
 
Back
Top Bottom