- Thread starter
- #21
Ndio nilidownload Tapatalk, ndo iliyonisaidiaNaona ulifanikiwa mkuu'
Ndio nilidownload Tapatalk, ndo iliyonisaidiaNaona ulifanikiwa mkuu'
kwani wew ni mwanaume?Naona ina matiti!!.. itakuwa ya kike hii..
bado hajafanikiwa sana..tulimuambie na dada aonekane..hahaa natania tuNaona ulifanikiwa mkuu'
Mi naitaka,kama bado ipo!Ni pikipiki ndo maarufu kama piki piki za kuendea kazini,ipo katika hali nzuri kabisa. Injini yake haijawahi kuguswa na spana.
Ni automatic
Sanya 110-12
Nyekundu.
Bei-1M.
2litres-100.1 km.
Anayehitaji ani-pm. Ilikuwa ikitumiwa na Dada kuendea kazini.
Tupia kapicha ka pikipiki mtumiaji (dada) akiwa ana kata kona kuingia kazini.
Mandhari, lafudhi na ushawishi wa muuzaji vinamchango mkubwa kwenye kupatania bei.Haha wewe jamaa ni mtukutu sana
Amweke na huyo Dada basi pic.Ilikuwa ikitumiwa na Dada kuendea kazini.
Naona ina matiti!!.. itakuwa ya kike hii..
Njoo pmMi naitaka,kama bado ipo!
Pm ihusikeMkuu haishuki bei
Achana nae,ananitaniaHaha wewe jamaa ni mtukutu sana
karibuni kaka acha maneno ya kangabado hajafanikiwa sana..tulimuambie na dada aonekane..hahaa natania tu