Picha: Team Zari wamshambulia mrembo huyu kisa Diamond

Binamu asante kwa ubuyu ndugu yangu
Kwa maoni yangu tu ni kwamba, kwanza huyu binti hata awe mzuri vipi chance na Diamond hana. Namaanisha chance yoyote ya relationship. Yaan hiyo aendelee kuota tu kichwani mwake na usingizin. Yeye na Zari ni kama kifo na usingizi very two different things in two different worlds. Zari is a WOMAN and fully established in everything on the other hand she is just a girl that doesn even know yet what she wants in life i doubt if she even goes to collage. Ni kama kumfananisha Amber Rose na Michelle Obama..yaan haileti maana
Chibu anaweza akapiga kishkaji au daily tu kwani nn..ila kuhamisha majeshi hiyo wahindi wenyewe wanasema NEHI BOLO
 
Binamu asante kwa ubuyu ndugu yangu
Kwa maoni yangu tu ni kwamba, kwanza huyu binti hata awe mzuri vipi chance na Diamond hana. Namaanisha chance yoyote ya relationship. Yaan hiyo aendelee kuota tu kichwani mwake na usingizin. Yeye na Zari ni kama kifo na usingizi very two different things in two different worlds. Zari is a WOMAN and fully established in everything on the other hand she is just a girl that doesn even know yet what she wants in life i doubt if she even goes to collage. Ni kama kumfananisha Amber Rose na Michelle Obama..yaan haileti maana
Chibu anaweza akapiga kishkaji au daily tu kwani nn..ila kuhamisha majeshi hiyo wahindi wenyewe wanasema NEHI BOLO
kweli binamu
 
Kila siku mnam promoti DIAMOND kisha mnalalamika oooh kwa nini kila siku aonekane yeye tu kwenye kila ubalozi wa "mihela" mnasahau kuwa kila siku ndio msanii mnayemuongelea ( iwe kwa mabaya au kwa mazuri ndio promo hizo,rejea wasanii wa marekani wanafanyaje ili waandikwe ili watoe kazi zao)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom