Picha: Rais mteule wa Ghana, Nana Akufo-Addo akiwakaribisha Mbowe na Besigye Ikulu kwa mazungumzo

CCM kuinunua hoja ni vigumu sana kwanza demokrasia haimo katika DNA ya wanasiasa wetu wawe upinzani ama serikalini
Nitakuwa wa kwanza kuunga mkono kwa hali na mali movement yoyote isiyo ya kisiasa(labda iongozwe na taasisi ya kiraia) itakayojinasibu kudai katiba mpya!!
 
Back
Top Bottom