gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Muulize mshauri wa mgambo.Ishhhh!Wee niaje aisee!Kwani cheo cha Amiri Jeshi Mkuu ni kipi? Tufahamishane maana wengine hatujui vyeo vya kijeshi
Muulize mshauri wa mgambo.Ishhhh!Wee niaje aisee!Kwani cheo cha Amiri Jeshi Mkuu ni kipi? Tufahamishane maana wengine hatujui vyeo vya kijeshi
Kiprotokali aliye kulia kwako ndiye bosi wako. Cheki pichaView attachment 318572
Hii picha imenifurahisha kitu kimoja,CDF kawa boss wa CINC kwa muda.Leo nyange kakalia kiti kwa muda
Pamoja na kwamba huwa nakupinga kwa hili upo right. Huyo kibo ana lake jambo si bureKwa sisi wanajeshi wa zamani ili wala siyo tatizo jinsi walivyosimama tu boss anajulikani anasimama sehemu gani.
Huyu ni 5star General wa kuchovya,kama wale madokta wetu wale wa china
Obama alivaa jacket ya Air force huko Afghanistan baada ya kupewa kwa heshima, kwa hiyo huenda na president wetu alivaa kuwapa morale wanajeshi wetuWewe unayejua ebu nipe siku ambayo Obama au Waziri Mkuu wa uingereza ulimwona amevaa kombati. diyo Hivyo tu huko nyuma Nyerere, Mkapa, Mwinyi na hata Kikwete sikuwaona wameyavaa makombati wakati wa uongozi wao!
Kwani yeye malaika?Kwanin sister umeuliza hivo??? Mi nadhani sio fresh kwa kiongoz mkuu wa nchi kumhusisha na tendo la jinai.
Avae vyeo vya nini wakati kaenda kupiga kazi tu mbembwe za nini wakati kila anayeona hii picha anajua amiri jeshi mkuu ni nani na mkuu wa majeshi ni naniView attachment 318572
Hii picha imenifurahisha kitu kimoja,CDF kawa boss wa CINC kwa muda.Leo nyange kakalia kiti kwa muda
HahahaIla naona angepewa gwanda lenye nyota maana hapo makamanda wanaweza mwita we private okota ming'ao hiii..
Wakija kuangalia usoni Ni raisi wao