6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 2,812
- 5,989
Niaje waungwana
Chini ya miamba hii, nchi yetu ilikuwa salama, imara na tishio zaidi kuliko kipindi chochote kile kilichopita, kilichopo na pengine kinachokuja.
Joyce Banda alitest mitambo, kuona kikosi tu na vifaa vichache kwenye taarifa ya habari, huku boss mkuu Kikwete akizungumzia swala la kumshikisha adabu, na kuteka au kuchukua hata kile kipande kidogo walichokuwa nacho, mwenyewe akaondoa wanajeshi wake mipakani, akawaambia wakae mbali na mpaka ili wasijikute wameangukiwa na vitu vizito kutoka Tz.
Congo napo mdhamini mkuu wa M23 na boss wa nchi fulan akataka kumletea Kikwete dharau, akiamini kuwa yeye ndio mbabe wa eneo zima (EAC). Kikwete akawaita vijana wake ikulu ili kujadili namna ya kumshikisha adabu huyo boss na mdhamini wa M23(pichani).
Baada ya kikao kile, kilichofuata ilikuwa ni msiba mkubwa kwa boss wa M23 na genge lake. Na ndomaana mpaka leo hawawezi kusahaulika kamwe kwa operations kabambe na uwezo mkubwa wa kulinda mipaka ya nchi. Mpaka JK anabana meno hapo pichani, basi ujue boss wa nchi nyingine alikuwa amezingua kweli kweli.
Tanzania kwanza, mengine baadae 🇹🇿💪🇹🇿
Chini ya miamba hii, nchi yetu ilikuwa salama, imara na tishio zaidi kuliko kipindi chochote kile kilichopita, kilichopo na pengine kinachokuja.
Joyce Banda alitest mitambo, kuona kikosi tu na vifaa vichache kwenye taarifa ya habari, huku boss mkuu Kikwete akizungumzia swala la kumshikisha adabu, na kuteka au kuchukua hata kile kipande kidogo walichokuwa nacho, mwenyewe akaondoa wanajeshi wake mipakani, akawaambia wakae mbali na mpaka ili wasijikute wameangukiwa na vitu vizito kutoka Tz.
Congo napo mdhamini mkuu wa M23 na boss wa nchi fulan akataka kumletea Kikwete dharau, akiamini kuwa yeye ndio mbabe wa eneo zima (EAC). Kikwete akawaita vijana wake ikulu ili kujadili namna ya kumshikisha adabu huyo boss na mdhamini wa M23(pichani).
Baada ya kikao kile, kilichofuata ilikuwa ni msiba mkubwa kwa boss wa M23 na genge lake. Na ndomaana mpaka leo hawawezi kusahaulika kamwe kwa operations kabambe na uwezo mkubwa wa kulinda mipaka ya nchi. Mpaka JK anabana meno hapo pichani, basi ujue boss wa nchi nyingine alikuwa amezingua kweli kweli.
Tanzania kwanza, mengine baadae 🇹🇿💪🇹🇿