ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Naangalia mgogoro huu kama kuna kitu nyumaa! Malawi sio wajinga kuna wqtu nyuma yao hawataki utawala huu! Unaweza kuona tutachapika vizuri tuu ! Ukute kuna nchi kibao nyuma ya malawi! So wakati mwingine ukichokozwa inabidi uangalie mara mbili mbili kuna nani nyumaa! Anaweza kaja mtu kukupiga ukadhani yupo peke yake kumbe wapo wengi
Peter, humjui John? Huyu siyo JK ati!!View attachment 488578
Rais wa Malawi Peter Mutharika ametangaza kuwa hakuna nchi ambazo zinamiliki kwa pamoja Ziwa Nyasa na kwamba hajafikia makubaliano na nchi yoyote, hivyo ameahidi kulinda umiliki na maslahi yake.
Je, kwa uonavyo wewe ili ziwa ni la wapi ?
1. Tanzania
2. Malawi
3. Tanzania na Malawi
Source eatv
Mkuu ni kweli si kila mwanasheria ANAWEZA. Ila ni wale waliosomea LAW of the SEA- MARITIME law in Boundaries Dispute Settlements. Hata kama ni wa NJE ni sawa tu.Wanasheria wapi unakusudia kuwatumia?!
Kama ni hawa wa serikali wenye kuzuia dhamana kwa kesi yenye dhamana mtakuwa mmeliweka ziwa rehani.
Kifaa cha chuga sio cha kipumbavu hivi kile kinakupa namna nzuri ya ku reason ikiwa sambamba na kutumia LogicMutharika kaathirika ubongo labda anapuliza kile kifaa cha chuga.
hata Mimi nasubiri kwa bashasha kubwa kuona ujasiri wa ngosha ktk Ku deal na masuala tata yanayohusu Tz na majirani zake.Kwa hili tutampima Ngosha kama ni 'wakimataifa' au atawakumbatia kama Koromije.
WakHalafu kama ikibidi kuzichapa basi wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama ndio wawe mstari wa mbele, wakifuatiwa na wana ccm.
magufuli alisema ukimlazimisha kufanya ndo hafanyi, sasa mutharika analazimisha magufuli ajue ziwa lake... ngoja afuatwe huko huko lilongweView attachment 488578
Rais wa Malawi Peter Mutharika ametangaza kuwa hakuna nchi ambazo zinamiliki kwa pamoja Ziwa Nyasa na kwamba hajafikia makubaliano na nchi yoyote, hivyo ameahidi kulinda umiliki na maslahi yake.
Je, kwa uonavyo wewe ili ziwa ni la wapi ?
1. Tanzania
2. Malawi
3. Tanzania na Malawi
Source eatv
Kweli kabisa MkuuNaangalia mgogoro huu kama kuna kitu nyumaa! Malawi sio wajinga kuna wqtu nyuma yao hawataki utawala huu! Unaweza kuona tutachapika vizuri tuu ! Ukute kuna nchi kibao nyuma ya malawi! So wakati mwingine ukichokozwa inabidi uangalie mara mbili mbili kuna nani nyumaa! Anaweza kaja mtu kukupiga ukadhani yupo peke yake kumbe wapo wengi
acha ukenge, utakwenda kupigana, unaleta uccm kwenye maisha wa watotot wa wenzako.Anataste radha ya sumu eeeh.
acha ushabiki wa ukenge, utakwenda kupigana, unaleta uccm kwenye maisha wa watotot wa wenzako.Walichukue sasa, wanangoja nini? Kama wanajiona vidume walete jeshi lao lilinde mipaka yao wakione cha mtema kuni. Wasipige kelele tuu kama mbwa koko, wajeeeee.
Hizi kelele zimeanza toka enzi ya JK kwa JPM ni muendelezo tu!Naangalia mgogoro huu kama kuna kitu nyumaa! Malawi sio wajinga kuna wqtu nyuma yao hawataki utawala huu! Unaweza kuona tutachapika vizuri tuu ! Ukute kuna nchi kibao nyuma ya malawi! So wakati mwingine ukichokozwa inabidi uangalie mara mbili mbili kuna nani nyumaa! Anaweza kaja mtu kukupiga ukadhani yupo peke yake kumbe wapo wengi
Nchi zetu zilitawaliwa na ujerumani (tanganyika) na uingereza(Malawi )
Wakoloni walichora Ramani hizi wakazitumia kuonyesha mipaka yao(mambo ya Berlin Conference
Hata baada ya ujerumani kunyanganywa Tanganyika baada ya vita ya kwanza ya dunia,Tanganyika iliwekwa chini ya usimamizi wa uingereza(proctorate )
Makabidhiano yote haya lazima yaambatane na Ramani ya kinachokabidhiwa
Mfano,wakati wa mkutano wa Berlin kuigawa afrika,mjerumani alitawala tanganyika,muingereza akatawala Malawi,mahasimu hawa wasingekaa jirani kiasi hicho bila Ramani
Baada ya Tanganyika kuwekwa chini ya usimamizi wa uingereza,Ramani zilizoongoza Umoja wa mataifa kipindi hicho kuikabidhi tanganyika kwa muingereza ni zipi?
Wakati wa Uhuru,nchi ipi ilianza kupata Uhuru,ilikabidhiwa Ramani ipi na inasemaje kuhusu ziwa Nyasa.
Umoja wa mataifa lazima una nyaraka zote,ofisi za nchi za uingereza na ujerumani zilizojihusisha na makoloni zina Ramani na mikataba yote ya kiutawala ya makoloni