Peter Mutharika: Ziwa Malawi ni letu, hakuna umiliki wa pamoja, lazima tulinde mali yetu

Naangalia mgogoro huu kama kuna kitu nyumaa! Malawi sio wajinga kuna wqtu nyuma yao hawataki utawala huu! Unaweza kuona tutachapika vizuri tuu ! Ukute kuna nchi kibao nyuma ya malawi! So wakati mwingine ukichokozwa inabidi uangalie mara mbili mbili kuna nani nyumaa! Anaweza kaja mtu kukupiga ukadhani yupo peke yake kumbe wapo wengi

Kuna tetesi ya kuweko mafuta ndani ya ziwa kwa hiyo makaburu na wakoloni ambao ni marafiki wa asili wa Malawi huenda wana mkono wao hapo.0
 
Sheria ya umoja wa mataifa ya ugawaji mipaka juu ya ziwa lililoko kati ya nchi mbili ni kwamba mpaka utapita katikati ya ziwa sasa sijui ni nchi gani ambazo zimepakana kisha inchi moja ikachukua ziwa lote na mpaka wake ukawa pembezoni mwa ziwa.!?
Huyu atakuwa na jambo lake si bure.
Hapo kwenye suala la Utaifa utofauti huwa tunaweka pembeni kabisa huwa hututaki ujinga kabisa.
 
Wanasheria wapi unakusudia kuwatumia?!
Kama ni hawa wa serikali wenye kuzuia dhamana kwa kesi yenye dhamana mtakuwa mmeliweka ziwa rehani.
Mkuu ni kweli si kila mwanasheria ANAWEZA. Ila ni wale waliosomea LAW of the SEA- MARITIME law in Boundaries Dispute Settlements. Hata kama ni wa NJE ni sawa tu.
 
Kwa hili tutampima Ngosha kama ni 'wakimataifa' au atawakumbatia kama Koromije.
hata Mimi nasubiri kwa bashasha kubwa kuona ujasiri wa ngosha ktk Ku deal na masuala tata yanayohusu Tz na majirani zake.

afahamu tu kwamba huku "mikurupuko" ya kutoa kauli za kukurupuka haitakiwi.

awaachie magwiji akina mahiga wamalizane nayo.
 
Baba Magufuli hapa ndio tunapotakiwa kuongea kwa mamlaka, kwa Vitendo na kuonyesha hata Cm moja ya nchi hii haiwezi kumegwa.

Kuna njia mbili za kufanya mheshimiwa rais, Waambia wale vijana wako walinda mipaka wafanye route matching mbili maeneo hayo, pitisha ndege zikiwa na kwenye mazoezi na wafanye low altitute flyover with banging noisy, na mazoezi ya wanamaji ndani ya eneo letu la mipaka majini.

Toa statement moja tu, tunafanya mazoezi ya kawaida
 
Chondechonde mjomba ccm ni chama cha mapinduzi kilishapindua hapa nchini unataka kikafanye mapinduzi na huko?
Halafu kama ikibidi kuzichapa basi wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama ndio wawe mstari wa mbele, wakifuatiwa na wana ccm.
Wak
 
View attachment 488578
Rais wa Malawi Peter Mutharika ametangaza kuwa hakuna nchi ambazo zinamiliki kwa pamoja Ziwa Nyasa na kwamba hajafikia makubaliano na nchi yoyote, hivyo ameahidi kulinda umiliki na maslahi yake.

Je, kwa uonavyo wewe ili ziwa ni la wapi ?

1. Tanzania
2. Malawi
3. Tanzania na Malawi

Source eatv
magufuli alisema ukimlazimisha kufanya ndo hafanyi, sasa mutharika analazimisha magufuli ajue ziwa lake... ngoja afuatwe huko huko lilongwe:D:D:D
 
Gesi ya Mtwara bado mpaka leo haijaondoa tatizo la umeme Tanzania.Siungi mkono kupokwa ziwa Malawi ila haki itendeke kwa Tanzania na Malawi pia, Mwenye chake apewe.Am lready to go in the battle for my country but not in every battle.
 
Huyo Muthalika ana beep..hamjui Magu huyo ngoja achokoze aje aone moto..nchi yenyewe ndogo na masikini lakini hawatulii na hilo ziwa
 
Naangalia mgogoro huu kama kuna kitu nyumaa! Malawi sio wajinga kuna wqtu nyuma yao hawataki utawala huu! Unaweza kuona tutachapika vizuri tuu ! Ukute kuna nchi kibao nyuma ya malawi! So wakati mwingine ukichokozwa inabidi uangalie mara mbili mbili kuna nani nyumaa! Anaweza kaja mtu kukupiga ukadhani yupo peke yake kumbe wapo wengi
Kweli kabisa Mkuu
Ukiona Mbuzi yuko Juu ya Mnazi ujue kuna aliyempandisha
 
Walichukue sasa, wanangoja nini? Kama wanajiona vidume walete jeshi lao lilinde mipaka yao wakione cha mtema kuni. Wasipige kelele tuu kama mbwa koko, wajeeeee.
acha ushabiki wa ukenge, utakwenda kupigana, unaleta uccm kwenye maisha wa watotot wa wenzako.
 
Naangalia mgogoro huu kama kuna kitu nyumaa! Malawi sio wajinga kuna wqtu nyuma yao hawataki utawala huu! Unaweza kuona tutachapika vizuri tuu ! Ukute kuna nchi kibao nyuma ya malawi! So wakati mwingine ukichokozwa inabidi uangalie mara mbili mbili kuna nani nyumaa! Anaweza kaja mtu kukupiga ukadhani yupo peke yake kumbe wapo wengi
Hizi kelele zimeanza toka enzi ya JK kwa JPM ni muendelezo tu!
 
Nchi zetu zilitawaliwa na ujerumani (tanganyika) na uingereza(Malawi )

Wakoloni walichora Ramani hizi wakazitumia kuonyesha mipaka yao(mambo ya Berlin Conference

Hata baada ya ujerumani kunyanganywa Tanganyika baada ya vita ya kwanza ya dunia,Tanganyika iliwekwa chini ya usimamizi wa uingereza(proctorate )

Makabidhiano yote haya lazima yaambatane na Ramani ya kinachokabidhiwa

Mfano,wakati wa mkutano wa Berlin kuigawa afrika,mjerumani alitawala tanganyika,muingereza akatawala Malawi,mahasimu hawa wasingekaa jirani kiasi hicho bila Ramani

Baada ya Tanganyika kuwekwa chini ya usimamizi wa uingereza,Ramani zilizoongoza Umoja wa mataifa kipindi hicho kuikabidhi tanganyika kwa muingereza ni zipi?

Wakati wa Uhuru,nchi ipi ilianza kupata Uhuru,ilikabidhiwa Ramani ipi na inasemaje kuhusu ziwa Nyasa.

Umoja wa mataifa lazima una nyaraka zote,ofisi za nchi za uingereza na ujerumani zilizojihusisha na makoloni zina Ramani na mikataba yote ya kiutawala ya makoloni

Wakati huu wote hakukuwa na Nchi, yote yalikuwa ni makoloni... Katika ziwa hili Tanzania ina maslahi yake kama ilivyo Malawi....

Malawi akijaribu Wtz tutakuwa wamoja na tutaifanya hiyo nchi iwe mkoa wetu.....
 
Back
Top Bottom