Brown14
Member
- Apr 10, 2024
- 15
- 15
Benki mbona kama hakuna usalama Tena..
Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa.
Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi, wakati naenda kutoa nakuta hamna hata mia. Naenda kuuliza ndani wananiambia nimecheza michezo ya kubashiri wakati sina hata simu banking, nilipigwa na butwaa
Baada ya kupatwa na hasira na kufuatilia serious nikaambiwa pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo humo bank
Nikaenda hadi ngazi za juu wakanirudishia, sasa hili sakata limetokea tena kwa bibi yangu na mjomba wangu mmoja laki saba mwingine milioni moja
Ina maana bank hakuna usalama kabisa kiasi hicho...?
Hivi hiii hali ya kupoteza hela benki inatokana na nini maana mimi naona kama hii hali imezidi sasa.
Siku mmoja nimeingiziwa Benki pesa kama laki 5 hivi, wakati naenda kutoa nakuta hamna hata mia. Naenda kuuliza ndani wananiambia nimecheza michezo ya kubashiri wakati sina hata simu banking, nilipigwa na butwaa
Baada ya kupatwa na hasira na kufuatilia serious nikaambiwa pesa ilichukuliwa na mfanyakazi wa humo humo bank
Nikaenda hadi ngazi za juu wakanirudishia, sasa hili sakata limetokea tena kwa bibi yangu na mjomba wangu mmoja laki saba mwingine milioni moja
Ina maana bank hakuna usalama kabisa kiasi hicho...?