Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

Unafanyaje uwezekujiunga? Nisaidieni namna ya kujiunga na payoneer
Tembelea website yao ya payoneer ila hakikisha akaunti yako ya bank iwe imefunguliwa internet banking iliuweze kutumiwa pesa toka payoneer kwa Swift code pia hakikisha una kitu kimoja kati ya passport, leseni au national id bila hivyo watakusumbua Sana.
 
tembelea website yao ya payoneer ila hakikisha akaunti yako ya bank iwe imefunguliwa internet banking iliuweze kutumiwa pesa toka payoneer kwa Swift code pia hakikisha una kitu kimoja kati ya passport, leseni au national id bila hivyo watakusumbua Sana.
Haiwezekani ukajiunga na payoneer huku Card yako ikiwa sio mastercad then muda ambao unasubiri watume card ya payoneer ndio unafanya utaratibu wa kuwa mastercad n activated ??
 
Haiwezekani ukajiunga na payoneer huku Card yako ikiwa sio mastercad then muda ambao unasubiri watume card ya payoneer ndio unafanya utaratibu wa kuwa mastercad n activated ??
Ni akaunti namba ya benki ndiyo inayohitajika sio aina ya kadi Wala namba ya kadi
 
Nina card hii lakini ime expired nifanyaje ili niweze kuitumia tena. Hasa sasa ninahitaji hii card.
 
Nina card hii lakini ime expired nifanyaje ili niweze kuitumia tena. Hasa sasa ninahitaji hii card.
Mkuu hii swift/ bic naijaza vipi?
Kwamaana nimeclik lakini ikanirudisha hapo hapo.
Naomba kujua wanamaanisha kitu gani hapo
Screenshot_20200725-180603.jpg
 
Tembelea website yao ya payoneer ila hakikisha akaunti yako ya bank iwe imefunguliwa internet banking iliuweze kutumiwa pesa toka payoneer kwa Swift code pia hakikisha una kitu kimoja kati ya passport, leseni au national id bila hivyo watakusumbua Sana.
Asante Sana
 
Kuhusu 'MONEY WITHDRAW' ... YES mkuu Transparen, utaweza kutoa pesa from Payoneer to Local bank.

Basically, Ukishajisajiri (sign up) Payoneer, watakupatia vitu viwili:

1. Payoneer Account (ambayo ni online/mtandaoni), na
2. Payoneer Master Card. (watakutumia Card yenyewe kabisa real kwa njia ya Posta).

Sasa umefanya mambo yako mtandaoni... mfano umeuza kitu fulani mtandaoni na mteja akakulipa kwa Payoneer, ama rafiki yako yupo nje ya nchi akakutumia pesa kwa Payoneer, n.k , that means pesa itaingia kwenye online Payoneer Account yako. Kwamba unapo-sign in or ku-log in utaona kiasi cha pesa kilichomo humo (balance/salio) mfano USD 200 ama GBP 150 ama EURO 125 (it depends alikutumia kwa currency ipi).

Kisha, utaweza kuitoa (withdraw) humo hiyo pesa kwa namna/njia mbili :

  • Kuichomolea kwenye ATM yoyote inayosupport Master Card, popote pale duniani, kwa kutumia hiyo Payoneer Master Card. Card hii itachomoa currency ya nchi husika, mfano ukitolea kwenye ATMs za hapa Tanzania itatoa Tsh, ama ukisafiri ukaenda kutolea kwenye ATMs za Kenya itatoa Ksh, n,k popote pale duniani. Kuhusu njia hii, mkuu Powder ameshaielezea vizuri sana mara nyingi tu.
  • Kuihamisha pesa from Payoneer Account to any local bank account. Kwamba utatoa pesa kutoka kwenye Payoneer Account na kuiingiza kwenye Local bank account yako. Upo huru kuiingiza kwenye ANY local bank account.
Sasa basi, ni jinsi gani ya kuhamisha pesa from Payoneer Account to your/any local bank account ?

Imeelekezwa vizuri sana step by step kwenye hii link ya Payoneer (maelezo, na video pia ipo): [VIDEO] How to withdraw funds from Payoneer to your bank account - The Payoneer Blog

  1. Log-in / Sign-in to your Payoneer Account,
  2. From the menu, go to Withdraw >> To Bank Account,
  3. Select the currency balance you want to withdraw funds from, (mfano kama Payoneer Account yako ina more than one currencies).
  4. Select the bank account you want to send funds to / Enter the bank account number you want to send funds to,
  5. Enter the amount you want to withdraw,
  6. Click REVIEW. The withdrawal summary will be displayed,
  7. Review the details of your withdrawal and make sure everything is correct. If you need to change anything, click Edit and make the necessary changes,
  8. After you’re sure that all is correct, mark the checkbox I approve this transaction and click Withdraw .
  9. That’s it! You will receive an email confirmation after completing the withdrawal and your funds will be available in your bank account within 3-5 business days.

-Kaveli-
Habari Wakuu!
Binafsi ni mtu ambaye niliathiliwa na kutokubaliwa kwa PayPal Tanzania, kwa wale wenzangu na Mimi ambao tumekua tukiuza kazi zetu online, watakubaliana nami kuwa Clients wengi wanajisikia salama wakilipa kwa PayPal, Clients wengi hawataki kusikia Western Union, Moneygrams na hata Bank Transfer.

Ilipelekea wengi kupata shida namna kupokea malipo Yao, hapa jf Kuna thread kadhaa za members wakitoa malalamiko Yao.

Kwa wale wote waliokua wanakwazwa na kutokuwepo PayPal, sasa wanaweza kutumia Payoneer Master Card, uta apply Card yako toka America na ndani ya week 2 au 3 utatumiwa Master card ya Payoneer ambayo itakuwezesha Ku withdraw pesa yako kwenye ATM yoyote inayo support Master card Worldwide, pia unaweza Kuhamisha pesa yako toka Payoneer kwenda kwenye account yako ya bank!

Binafsi Mimi ndo naitumia, mpaka sasa nimesha withdraw pesa zaidi ya Mara 3.

Nakuwekea link hapo chini, huduma zote ikiwemo Card ni bure.

Una swali au chochote Karibu.

https://share.payoneer.com/nav/1IYl...XyTobBfQIlfYwJKEZGoAAd7S9xVGy2c5HvirbrcC8syA2
Sipati verification code kwenye namba yangu, please naomba msaada niwaze kufungua account ya Payoneer
Screenshot_20201117-030742.jpeg
 
Habari Wakuu!
Binafsi ni mtu ambaye niliathiliwa na kutokubaliwa kwa PayPal Tanzania, kwa wale wenzangu na Mimi ambao tumekua tukiuza kazi zetu online, watakubaliana nami kuwa Clients wengi wanajisikia salama wakilipa kwa PayPal, Clients wengi hawataki kusikia Western Union, Moneygrams na hata Bank Transfer.

Ilipelekea wengi kupata shida namna kupokea malipo Yao, hapa jf Kuna thread kadhaa za members wakitoa malalamiko Yao.

Kwa wale wote waliokua wanakwazwa na kutokuwepo PayPal, sasa wanaweza kutumia Payoneer Master Card, uta apply Card yako toka America na ndani ya week 2 au 3 utatumiwa Master card ya Payoneer ambayo itakuwezesha Ku withdraw pesa yako kwenye ATM yoyote inayo support Master card Worldwide, pia unaweza Kuhamisha pesa yako toka Payoneer kwenda kwenye account yako ya bank!

Binafsi Mimi ndo naitumia, mpaka sasa nimesha withdraw pesa zaidi ya Mara 3.

Nakuwekea link hapo chini, huduma zote ikiwemo Card ni bure.

Una swali au chochote Karibu.

https://share.payoneer.com/nav/1IYl...XyTobBfQIlfYwJKEZGoAAd7S9xVGy2c5HvirbrcC8syA2
Payoneer haiwezi kuwa mbadala wa paypal kwasababu zifuatazo.
1. Payoneer inapokea pesa kutoka kwenye makampuni tu. Huwezi pokea pesa kutoka kwa rafiki yako au mwanafamilia aliyeko nje au kokote. Inapokea pesa kutoka kwenye makampuni tu mfano. Kama unauza vitu kwenye online platform kama allibaba, amazon, au unafanya freelancing kma upwork, freelancer, feverr. Tofauti na hapo labda pesa kwanza uitume mfano skrill ndo uilete payoneer .
2. Huwezi kufund payoneer kama unavyofund paypal kwasababu payoneer japo inakuja na account lakini huwezi deposit pesa hata kama una lengo la kufund mastercard yako ili ulipie kitu.
3. Payoneer hata kama ukipokea pesa huwezi kumtumia mwenzako mwenye account ya payoneer. Ukitaka fanya hivyo process ni ndefu sana na unaweza qualify au usiquallify.

Payoneer itabaki kuwa payoneer na paypal itabaki kuwa paypal.
 
Back
Top Bottom