Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 26,416
- 80,693
Lile like Kundi ambalo linawapitisha Msoto akina Lissu na Heche.
Kundi lilelile ambalo lilikubali Samia awe Rais Kwa makubaliano naye.
Kundi lilelile ambalo lilimuacha Samia afanye anavyopenda huku likiendelea kumkusanyia taarifa za wanaojipendekeza Kwa Samia .
Kundi lilelile ambalo baada ya kumpa Samia Taarifa za wabaya wake Ndani ya CCM ,Samia akaamua kuwala Vichwa ( Makamba, Nape, Kinana ). Kundi hilohilo lilomuwekea Wassira kua Makamo wa chama/Dola.
Kundi hilohilo lilomlazimisha Samia kugombea mara nyingine.
Ndio kundi hilohilo Lilompa Mashariti ya Mwaka 2030 ,hasiusike kabisa kumteua Mgombea Rais .
Kundi Hilo ndio LINATAKA KUMPA MAKONDA URAIS , kwanini MAKONDA?.
Aina ya Maisha ya Makonda, na Tuhuma zote alizotuhumiwa nazo wakati wa JPM, ni kundi hili hili liloendelea kumuwekea kifua kwakua ni wamoja .
Kundi linataka wapate MTU wa kufanana nao ili wawe na Matendo sawiaaa.
Mshawahi jiuliza ,kwann Rais Samia anaagiza kufuta Kwa Kesi ya Mbowe, na Kingai anapandishwa na kua DPP??.
Kwa namna Kingai alivyokua anaburuzwa na Wakili Kibatala, Mnadhan Kingai ni wa kufaa kua DCI?.
KUNDI lilelile ambalo mkono wake ulogusa Maisha ya Lissu, Ukagusa Clouds TV, Ukagusa Mbowe, Ukamfungulia Mbowe kesi za ugaidi, Ndio kundi hilohilo ambalo sahizi limemkamata LISSU, Heche, ndio kundi Hilo Hilo.
KUNDI LINATAKA KUHAKIKISHA PAUL MAKONDA NI RAIS
Angalieni wanavyompelekea Matukio makubwa makubwa ya kimataifa, Angalieni anavyotetewa .
WATANZANIA SIKU MKIONA MAKONDA KAWA RAIS , NCHI ITAKUA ZAIDI YA KOREA KASIKAZIN.
Kundi lilelile ambalo lilikubali Samia awe Rais Kwa makubaliano naye.
Kundi lilelile ambalo lilimuacha Samia afanye anavyopenda huku likiendelea kumkusanyia taarifa za wanaojipendekeza Kwa Samia .
Kundi lilelile ambalo baada ya kumpa Samia Taarifa za wabaya wake Ndani ya CCM ,Samia akaamua kuwala Vichwa ( Makamba, Nape, Kinana ). Kundi hilohilo lilomuwekea Wassira kua Makamo wa chama/Dola.
Kundi hilohilo lilomlazimisha Samia kugombea mara nyingine.
Ndio kundi hilohilo Lilompa Mashariti ya Mwaka 2030 ,hasiusike kabisa kumteua Mgombea Rais .
Kundi Hilo ndio LINATAKA KUMPA MAKONDA URAIS , kwanini MAKONDA?.
Aina ya Maisha ya Makonda, na Tuhuma zote alizotuhumiwa nazo wakati wa JPM, ni kundi hili hili liloendelea kumuwekea kifua kwakua ni wamoja .
Kundi linataka wapate MTU wa kufanana nao ili wawe na Matendo sawiaaa.
Mshawahi jiuliza ,kwann Rais Samia anaagiza kufuta Kwa Kesi ya Mbowe, na Kingai anapandishwa na kua DPP??.
Kwa namna Kingai alivyokua anaburuzwa na Wakili Kibatala, Mnadhan Kingai ni wa kufaa kua DCI?.
KUNDI lilelile ambalo mkono wake ulogusa Maisha ya Lissu, Ukagusa Clouds TV, Ukagusa Mbowe, Ukamfungulia Mbowe kesi za ugaidi, Ndio kundi hilohilo ambalo sahizi limemkamata LISSU, Heche, ndio kundi Hilo Hilo.
KUNDI LINATAKA KUHAKIKISHA PAUL MAKONDA NI RAIS
Angalieni wanavyompelekea Matukio makubwa makubwa ya kimataifa, Angalieni anavyotetewa .
WATANZANIA SIKU MKIONA MAKONDA KAWA RAIS , NCHI ITAKUA ZAIDI YA KOREA KASIKAZIN.